Wanawake hatupendi wanaume wazuri wala wavaaji sana

Wanawake hatupendi wanaume wazuri wala wavaaji sana

Zamani kipindi nasoma Mbeya,nilikua natumia njia ya kuvaa jeans na t-shirt kuwanasa watoto wa st.Francis kila ijumaa wanapoenda weekend na yale mabegi yao yale.Tulikua na kasumba hiyohiyo kua ukiniga tai pamoja nakuchomekea suruali ya kitambaa,halafu ukiwa unaongea lugha yakwenye kitabu(kiswahili sanifu),huwapati wale watoto.
 
3190495ada3df4f1a91a06b3d8ad7469.jpg
25e6aaa6548d6893fca0f50d6791411f.jpg
8581449edc8fef4f7545b6cc882a83a3.jpg
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hicho kitabu mpaka leo sijakimaliza
 
kabla ya yote
picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana.tupo simple sana sema wanaume mefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka.na anaevaa kiume standard .
standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh. siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipua kajilipua . unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?
17494570_1709586272673470_7269433054165204992_n-jpg.492777

yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuuuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume . wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie
Miss Natafuta, kwa kukusaidia tu kidogo kuna madada aliwahi kuniambia kitu kama hicho, lakini akasema kuwa "wanawake wanaojitambua ndiyo huwapenda wanaume kama uliowaelezea wewe".

Wanawake wengi siku hizi wanawapenda wale wanaowaita "mahandsome boys".
 
Nazani unaongea kinyume maana kesi za wanaume kufanya vulugu na kujinyonga baada ya kuachwa ni nyingi kuliko za wanawake.
Mmh lakini kati ya mwanaume na mwanamke..maumivu yake ya kuachwa hudumu zaidi ni nani kama sio nyie wanawake
 
Wanawake kweli sigara nyota, hujui mbele wapi na nyuma! Ukinuka kwapa mwanaume hajipendi, ukinuka mguu masharti yakuingia ndani yanaanza hadi unawe miguu nje! Ukinuka mdomo unaitwa mchafu, kipi ni kipi.
 
Mmh lakini kati ya mwanaume na mwanamke..maumivu yake ya kuachwa hudumu zaidi ni nani kama sio nyie wanawake
Mwanamke kaumbiwa kuweke vitu rohoni hiyo ni nature but mwanamke ni mvumilivu hakuna mfano,ndomana mwanamke akitelekeza familia ni wanaume wachache wanaweza kumudu kuiendeleza lkini ni tofauti na mwanamke atasimama imala.
 
kabla ya yote
picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana.tupo simple sana sema wanaume mefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka.na anaevaa kiume standard .
standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh. siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipua kajilipua . unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?
17494570_1709586272673470_7269433054165204992_n-jpg.492777

yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuuuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume . wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie
Hapo kwenye jasho la kwapa umenipata, hua unapenda pia mavu-mba?😀😀
 
Wanawake mna vigezo na masharti mengi sana...

Mnapenda vingi sana na mnachukia vingi sana...

Ila kwa mwanaume anayevaa mavitu mengi mengi sana kiasi kwamba anaonekana kama duka linalotembea haijakaa sawa... Kiasi kwamba hata akipitishwa kwenye mashine ya ukaguzi...
Daah ni kupotezeana muda...


Cc: mahondaw
 
Wanawake kweli sigara nyota, hujui mbele wapi na nyuma! Ukinuka kwapa mwanaume hajipendi, ukinuka mguu masharti yakuingia ndani yanaanza hadi unawe miguu nje! Ukinuka mdomo unaitwa mchafu, kipi ni kipi.
 
hawa viumbe bana, wanapenda tuwe wasaf af wachaf, warefu af wafup, tuwe na hela af tucwe nazo, wakal af wapole, wanene af wembamba, wazur af tuwe na sura mbaya, tupendeze af tucpendeze duu, kama mung akuwaridhsha je? mwanaume ataweza?

Kuwa msafi, mrefu fulani kama nanii..., Uwe na hela, kuwa mkali (sio mpigaji au mtukanaji, ukali fulani hivi yani nawaza hapa nimechelewa hubby namtafutia hubby pozi la kumuelewesha),

Usiwe Kagame wala Le Mburalaz,( Hivi Maulid Kitenge ni Mwembamba eeh?

Sura sisemi ila kuna mkaka enzi zileee EATV inaitwa Chanel 5 anaitwa Adam Mubago ile sura yake.

Kupendeza muhimu.
 
Back
Top Bottom