Wanawake hatupendi wanaume wazuri wala wavaaji sana

Wanawake hatupendi wanaume wazuri wala wavaaji sana

kwa wanaume wenzangu wote mtaosoma hii thread, please dont believe it, its a trap.
It's not about trap huyo miss anachosema inshort ni kuwa normal don't do too much....unakuta wa kiume kiduku bandidu chake, hereni hapo bado hajaanza kunyanyua nyusi,mdomo kaweka kama samaki alafu unakuta anatoa sauti puani kha!!! Kwakwel she has a point
 
kabla ya yote
picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana.tupo simple sana sema wanaume mefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka.na anaevaa kiume standard .
standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh. siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipua kajilipua . unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?
17494570_1709586272673470_7269433054165204992_n-jpg.492777

yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuuuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume . wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie
Me ndo maana huwa nawakojoza tu nasepa zangu kimtindo..!!
 
Kwa hiyo tuogo mara mbili kwa mwezi siyo?..
 
hawa viumbe bana, wanapenda tuwe wasaf af wachaf, warefu af wafup, tuwe na hela af tucwe nazo, wakal af wapole, wanene af wembamba, wazur af tuwe na sura mbaya, tupendeze af tucpendeze duu, kama mung akuwaridhsha je? mwanaume ataweza?
Ukiwa na kibamia lawama,
Ukiwa na muhogo lawama
Kwel nyie mpo mpo tu kama sigara nyota mbele na nyuma kote sana tofauti maandishi...
 
Mwanamke kaumbiwa kuweke vitu rohoni hiyo ni nature but mwanamke ni mvumilivu hakuna mfano,ndomana mwanamke akitelekeza familia ni wanaume wachache wanaweza kumudu kuiendeleza lkini ni tofauti na mwanamke atasimama imala.
Alaa kumbe ee
 
It's not about trap huyo miss anachosema inshort ni kuwa normal don't do too much....unakuta wa kiume kiduku bandidu chake, hereni hapo bado hajaanza kunyanyua nyusi,mdomo kaweka kama samaki alafu unakuta anatoa sauti puani kha!!! Kwakwel she has a point
angeandika kama ulivyoandika ww ningemuunga mkono. alivyoandika yy, ni kuwa anataka wanaume "wasiojipenda" wasiojua kuvaa, wanuke makwapa, wasiwe wanamvuto etc. niamini ukifata alichosema utaambuliwa wanawake wa dizaini kama hiyo.
 
Usiangalie wanawake wanataka nini angalia mwanamke wako anataka nini,ukifwatilia ya kila mwanamke utawehuka tunatofautiana
Hiki tu ndo nimeelewa, By da way any thin too much z harmfull, hata wanawake nao wakizidi Nayo n kero, nywele sio zako, kucha sio zako, ngozi sio yako makalio sio yako, kucha sio zako kope sio zako ,hakuna mwanaume mwenye akili atakayependa huo upuuzi. Live standard life n fight 4 dat lyf.
 
Daima!...

Ndugu taifa la bwana leo ni jumapili ya 32 ya mwaka B wa kanisa.

[emoji445][emoji445]Bwanaaaaa aweee naaaanyiiii. Nimemiss.
Kesho uende church, usiishie kumiss tu.
 
Back
Top Bottom