aluta continyua
Senior Member
- Nov 19, 2016
- 143
- 221
Weraaa naomba nikuoe mimi. Una akili saaaana wewe mdada. Nimekupenda bureee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mdogo wangu, nitakupitia.Unipitie basi
Hadi Mchina ameanza kumgeuzia kibao maana ameona ni kichaa asiyetaka kushauriwa. Juzi Trump ameapa kufanya jambo la kweli kama Mchina hatomtuliza huyo dogo Kim, maana ana mihemko ya kichizi. Trump mwenyewe chizi asiyejali cha nini wala nini, hivyo China wameona balaa na wakawa tayari kulishughulkia hili suala.
Hahahaha upo sawa sasa,mimi hapa chaguo lako njoooooookabla ya yote
picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana.tupo simple sana sema wanaume mefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka.na anaevaa kiume standard .
standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh. siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipua kajilipua . unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?![]()
yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuuuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume . wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie
We angalia wa kwako anataka nini, hayo mengine ukiyawaza kwa kugeneralize utapasuka kichwa bureeeee.wanawake hamueleweki mnataka mwanamme yupi yani, wakipiga pamba ndo madongo yote hayo, wakiwa ugly ndo vile vile ,Anyway you lady cant get enough in love but not to that standing
*so weird
Nikweli mwanamke wa kweli huwa na urembo wa kiasi tuu .Hiki tu ndo nimeelewa, By da way any thin too much z harmfull, hata wanawake nao wakizidi Nayo n kero, nywele sio zako, kucha sio zako, ngozi sio yako makalio sio yako, kucha sio zako kope sio zako ,hakuna mwanaume mwenye akili atakayependa huo upuuzi. Live standard life n fight 4 dat lyf.
Nakuunga mkono kwakweliUpo sahihi sana Dada yangu.
Wengi hawajui thamani ya harufu mzuri ya asili.Unakuta kijana au binti anatumia gharama kubwa sana ya vipodozi ili tu aikate harufu yake ya asili.
Wajifunze mfano wa wasichana wa kazi wanapovunja ungo nyumbani kwa tajiri wake Mara nyingi ndoa zinavurugika.Moja ya sababu ni harufu mzuri ya asili inayowavutia wanaume.Wakati mama mwenye nyumba amejaza kabati vipodozi ambavyo vinaondoa harufu yake ya asili inayovutia wanaume.
Kwa mifano hii ndivyo wanawake wanavyotuona sisi ila wanashindwa ujasiri wa kutuambia ukweli.Asante sana sister kwa ukweli wako.
nkianza kufkilia vile wangu anataka nn ntakuwanga nafanya change kila siku,leo atataka nipige pamba tena nguo ananchagulia , kesho kaona mtoko wa rafikie uko normal, ananipa matambala nivae eti utakuwa powaWe angalia wa kwako anataka nini, hayo mengine ukiyawaza kwa kugeneralize utapasuka kichwa bureeeee.
kabla ya yote
picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana.tupo simple sana sema wanaume mefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka.na anaevaa kiume standard .
standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh. siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipua kajilipua . unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?![]()
yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuuuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume . wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie
mmmh huo ndo uanaume sasaUuuiiii!! Tumeingiliwa, hehehehe.... Hii nimeshare kwenye whatsapp group, aisei watu wamechangamka balaa.....bibie una mambo. Haya mimi hapa rough, tena huwa nanuna na mindevu hadi barabarani wananipisha.
kweli mkuu nimepata point kuhusu wanawake pia.huwezi kucheza na nature yaaniUpo sahihi sana Dada yangu.
Wengi hawajui thamani ya harufu mzuri ya asili.Unakuta kijana au binti anatumia gharama kubwa sana ya vipodozi ili tu aikate harufu yake ya asili.
Wajifunze mfano wa wasichana wa kazi wanapovunja ungo nyumbani kwa tajiri wake Mara nyingi ndoa zinavurugika.Moja ya sababu ni harufu mzuri ya asili inayowavutia wanaume.Wakati mama mwenye nyumba amejaza kabati vipodozi ambavyo vinaondoa harufu yake ya asili inayovutia wanaume.
Kwa mifano hii ndivyo wanawake wanavyotuona sisi ila wanashindwa ujasiri wa kutuambia ukweli.Asante sana sister kwa ukweli wako.
wewe nikidate na wewe utaanza kununua nguo upya wacha jeuriNilishawahi kutoswa kisa navaa nguo ile ile kumbe ninazo nyingi ila zinafanana!Utasikia wanasema,yule kaka smart jamani mi nampenda!Hawaeleweki hawa viumbe ndio maana ukiwasikiliza unaweza hats kuvalushwa gauni!Ni mwendo wa ubabe tu!Si wa kusikiliza hawa viumbe