Wanawake hatupendi wanaume wazuri wala wavaaji sana

Wanawake hatupendi wanaume wazuri wala wavaaji sana

wanawake hamueleweki mnataka mwanamme yupi yani, wakipiga pamba ndo madongo yote hayo, wakiwa ugly ndo vile vile ,Anyway you lady cant get enough in love but not to that standing

*so weird
 
Hadi Mchina ameanza kumgeuzia kibao maana ameona ni kichaa asiyetaka kushauriwa. Juzi Trump ameapa kufanya jambo la kweli kama Mchina hatomtuliza huyo dogo Kim, maana ana mihemko ya kichizi. Trump mwenyewe chizi asiyejali cha nini wala nini, hivyo China wameona balaa na wakawa tayari kulishughulkia hili suala.

kabla ya yote
picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana.tupo simple sana sema wanaume mefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka.na anaevaa kiume standard .
standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh. siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipua kajilipua . unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?
17494570_1709586272673470_7269433054165204992_n-jpg.492777

yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuuuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume . wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie
Hahahaha upo sawa sasa,mimi hapa chaguo lako njooooooo
 
wanawake hamueleweki mnataka mwanamme yupi yani, wakipiga pamba ndo madongo yote hayo, wakiwa ugly ndo vile vile ,Anyway you lady cant get enough in love but not to that standing

*so weird
We angalia wa kwako anataka nini, hayo mengine ukiyawaza kwa kugeneralize utapasuka kichwa bureeeee.
 
Upo sahihi sana Dada yangu.
Wengi hawajui thamani ya harufu mzuri ya asili.Unakuta kijana au binti anatumia gharama kubwa sana ya vipodozi ili tu aikate harufu yake ya asili.
Wajifunze mfano wa wasichana wa kazi wanapovunja ungo nyumbani kwa tajiri wake Mara nyingi ndoa zinavurugika.Moja ya sababu ni harufu mzuri ya asili inayowavutia wanaume.Wakati mama mwenye nyumba amejaza kabati vipodozi ambavyo vinaondoa harufu yake ya asili inayovutia wanaume.
Kwa mifano hii ndivyo wanawake wanavyotuona sisi ila wanashindwa ujasiri wa kutuambia ukweli.Asante sana sister kwa ukweli wako.
 
Hiki tu ndo nimeelewa, By da way any thin too much z harmfull, hata wanawake nao wakizidi Nayo n kero, nywele sio zako, kucha sio zako, ngozi sio yako makalio sio yako, kucha sio zako kope sio zako ,hakuna mwanaume mwenye akili atakayependa huo upuuzi. Live standard life n fight 4 dat lyf.
Nikweli mwanamke wa kweli huwa na urembo wa kiasi tuu .
 
Upo sahihi sana Dada yangu.
Wengi hawajui thamani ya harufu mzuri ya asili.Unakuta kijana au binti anatumia gharama kubwa sana ya vipodozi ili tu aikate harufu yake ya asili.
Wajifunze mfano wa wasichana wa kazi wanapovunja ungo nyumbani kwa tajiri wake Mara nyingi ndoa zinavurugika.Moja ya sababu ni harufu mzuri ya asili inayowavutia wanaume.Wakati mama mwenye nyumba amejaza kabati vipodozi ambavyo vinaondoa harufu yake ya asili inayovutia wanaume.
Kwa mifano hii ndivyo wanawake wanavyotuona sisi ila wanashindwa ujasiri wa kutuambia ukweli.Asante sana sister kwa ukweli wako.
Nakuunga mkono kwakweli
 
We angalia wa kwako anataka nini, hayo mengine ukiyawaza kwa kugeneralize utapasuka kichwa bureeeee.
nkianza kufkilia vile wangu anataka nn ntakuwanga nafanya change kila siku,leo atataka nipige pamba tena nguo ananchagulia , kesho kaona mtoko wa rafikie uko normal, ananipa matambala nivae eti utakuwa powa

*only my mam ndo huwanga namuamini akinambie umependeza au no , huwa na change but you dadaz put u on deep trash [emoji35] [emoji35]
 
kabla ya yote
picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana.tupo simple sana sema wanaume mefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka.na anaevaa kiume standard .
standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh. siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipua kajilipua . unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?
17494570_1709586272673470_7269433054165204992_n-jpg.492777

yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuuuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume . wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie

Uuuiiii!! Tumeingiliwa, hehehehe.... Hii nimeshare kwenye whatsapp group, aisei watu wamechangamka balaa.....bibie una mambo. Haya mimi hapa rough, tena huwa nanuna na mindevu hadi barabarani wananipisha.
 
Uuuiiii!! Tumeingiliwa, hehehehe.... Hii nimeshare kwenye whatsapp group, aisei watu wamechangamka balaa.....bibie una mambo. Haya mimi hapa rough, tena huwa nanuna na mindevu hadi barabarani wananipisha.
mmmh huo ndo uanaume sasa
 
Nilishawahi kutoswa kisa navaa nguo ile ile kumbe ninazo nyingi ila zinafanana!Utasikia wanasema,yule kaka smart jamani mi nampenda!Hawaeleweki hawa viumbe ndio maana ukiwasikiliza unaweza hats kuvalushwa gauni!Ni mwendo wa ubabe tu!Si wa kusikiliza hawa viumbe
 
Upo sahihi sana Dada yangu.
Wengi hawajui thamani ya harufu mzuri ya asili.Unakuta kijana au binti anatumia gharama kubwa sana ya vipodozi ili tu aikate harufu yake ya asili.
Wajifunze mfano wa wasichana wa kazi wanapovunja ungo nyumbani kwa tajiri wake Mara nyingi ndoa zinavurugika.Moja ya sababu ni harufu mzuri ya asili inayowavutia wanaume.Wakati mama mwenye nyumba amejaza kabati vipodozi ambavyo vinaondoa harufu yake ya asili inayovutia wanaume.
Kwa mifano hii ndivyo wanawake wanavyotuona sisi ila wanashindwa ujasiri wa kutuambia ukweli.Asante sana sister kwa ukweli wako.
kweli mkuu nimepata point kuhusu wanawake pia.huwezi kucheza na nature yaani
 
Nilishawahi kutoswa kisa navaa nguo ile ile kumbe ninazo nyingi ila zinafanana!Utasikia wanasema,yule kaka smart jamani mi nampenda!Hawaeleweki hawa viumbe ndio maana ukiwasikiliza unaweza hats kuvalushwa gauni!Ni mwendo wa ubabe tu!Si wa kusikiliza hawa viumbe
wewe nikidate na wewe utaanza kununua nguo upya wacha jeuri
 
Hizo zote story mwanamke akiweza kupata bigg Orgasm akiwa na wewe ambayo stim yake ni kama stim anayopata mbwia unga wallah hata uvae gunia...yuko na wewe tuu.... Hata akufumanie mara elfu... Ye anasema nampenda hivo hivo
 
Hata Mimi pia na mpenda demu ambaye yupo simpo si wale wanaovaa kila kitu cha bandia
 
Back
Top Bottom