Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
- Thread starter
- #181
KAMA UNA NDEVU NAOMBA UJE NIKUSHIKE HALAFU UNIKISS KWA KUNISUGUA SUGUA HIVI LOH UNANITEEGA EEHKumbe unapenda hizi ndevu zangu kama brush ya chachandu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KAMA UNA NDEVU NAOMBA UJE NIKUSHIKE HALAFU UNIKISS KWA KUNISUGUA SUGUA HIVI LOH UNANITEEGA EEHKumbe unapenda hizi ndevu zangu kama brush ya chachandu!
Unazuga..KAMA UNA NDEVU NAOMBA UJE NIKUSHIKE HALAFU UNIKISS KWA KUNISUGUA SUGUA HIVI LOH UNANITEEGA EEH
Safi kabisa aache kukariri.Usiangalie wanawake wanataka nini angalia mwanamke wako anataka nini,ukifwatilia ya kila mwanamke utawehuka tunatofautiana
Akina nani hao?Kuna watu nasubiri maoni yao hapa.
Mh sasa ukichukua mwanaume si yale yale?Mwanamke. Ukilinyambulisha hilj neno:
Mwana- Mtoto
mke- Mtu wa jinsia ya kike.
Mwanamke ni mtu ambaye Tabia zake ni kama mtoto, haeleweki nini anataka. Mtoto akiwa mdogo anaweza kukuambia akikua anataka kuwa mwalimu, kesho anataka kuwa nesi, kesho kutwa kuwa mama, mtondogo kuwa daktali.
Siku za mbele unaweza kushangazwa na mleta mada kuja na posti ya kinyume na hii.
teh..alisahauMh sasa ukichukua mwanaume si yale yale?
Mwana...mtoto
Mume...jinsia ya kiume
Hayo unasema wewe...yani hizi ni perceptions zako... Usiseme wanawake wanapenda hivyo....ila wewe unaoenda hayo..[emoji15] [emoji15] [emoji15]kabla ya yote
picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana.tupo simple sana sema wanaume mefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka.na anaevaa kiume standard .
standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh. siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipua kajilipua . unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?![]()
yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuuuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume . wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie
Haaahaaaaa...umeniacha hoikabla ya yote
picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana.tupo simple sana sema wanaume mefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka.na anaevaa kiume standard .
standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh. siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipua kajilipua . unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?![]()
yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuuuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume . wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie
Mmmmh hiyo kwako mi Handsome na nina mrembo mzurii tututawachuna tu tunasepa
sijasema usioge oga ila sio mwanaume unapaka deodorant,unapuliza tena body spray na pafyumu unanukia kuliko hata dada zako bna?
picha haihusiki bna ni mfano tu kaushaHaaahaaaaa...umeniacha hoi
Una mambo wewe lol..picha inahusika hii
Mkuu huyu dada nikupa vp tena hujaweka vitu??Leo Nimevaa
Kioldskuld/kipapamafido kidogo maana swagga ni bongo ila hapa ni old.![]()
Hebu muite hapa tuyajenge mkuu maana kuna sehemu jukwaa fulani nilimwona nikamtamani. dada yako kajaliwa bwanaMkuu huyu dada nikupa vp tena hujaweka vitu??