Wanawake hatupendi wanaume wazuri wala wavaaji sana

Wanawake hatupendi wanaume wazuri wala wavaaji sana

Mwanamke. Ukilinyambulisha hilj neno:
Mwana- Mtoto
mke- Mtu wa jinsia ya kike.
Mwanamke ni mtu ambaye Tabia zake ni kama mtoto, haeleweki nini anataka. Mtoto akiwa mdogo anaweza kukuambia akikua anataka kuwa mwalimu, kesho anataka kuwa nesi, kesho kutwa kuwa mama, mtondogo kuwa daktali.
Siku za mbele unaweza kushangazwa na mleta mada kuja na posti ya kinyume na hii.
 
Mwanamke. Ukilinyambulisha hilj neno:
Mwana- Mtoto
mke- Mtu wa jinsia ya kike.
Mwanamke ni mtu ambaye Tabia zake ni kama mtoto, haeleweki nini anataka. Mtoto akiwa mdogo anaweza kukuambia akikua anataka kuwa mwalimu, kesho anataka kuwa nesi, kesho kutwa kuwa mama, mtondogo kuwa daktali.
Siku za mbele unaweza kushangazwa na mleta mada kuja na posti ya kinyume na hii.
Mh sasa ukichukua mwanaume si yale yale?
Mwana...mtoto
Mume...jinsia ya kiume
 
IMG_20170408_181106_910.jpg
 
kabla ya yote
picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana.tupo simple sana sema wanaume mefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka.na anaevaa kiume standard .
standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh. siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipua kajilipua . unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?
17494570_1709586272673470_7269433054165204992_n-jpg.492777

yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuuuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume . wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie
Hayo unasema wewe...yani hizi ni perceptions zako... Usiseme wanawake wanapenda hivyo....ila wewe unaoenda hayo..[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
kabla ya yote
picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana.tupo simple sana sema wanaume mefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka.na anaevaa kiume standard .
standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh. siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipua kajilipua . unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?
17494570_1709586272673470_7269433054165204992_n-jpg.492777

yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuuuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume . wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie
Haaahaaaaa...umeniacha hoi

Una mambo wewe lol..picha inahusika hii
 
Jinsi mwanamme anavyojiweka hutegemea na shughuli zake anazofanya..Huyo uliyemuweka shughuli zake zaruhusu.
wanawake hatufanani..
Pia wapo wakaka wengi wazuri na wako vizuri pia kitandani.Pia wapo.hao sura ambazo hazirlezeki wako vibaya.
Nb..Wanawake hatufanani!!Kuwa na hb inabd uwe unajiamini haswaa
 
Duuuuh...!!! Miss labda kwa ww ndo unapenda hvo lkn wanawake wengi wanapenda wanaume smart
 
Mkuu huyu dada nikupa vp tena hujaweka vitu??
Hebu muite hapa tuyajenge mkuu maana kuna sehemu jukwaa fulani nilimwona nikamtamani. dada yako kajaliwa bwana
 
wanaume wazuri na wavaaji sana wanapendwa na wanaume.[emoji23]
 
Mmh mimi hapana kwakweli. Unaweza kua na sura mbaya hlf hamna lolote and vice versa is true.
 
Back
Top Bottom