Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmtutawachuna tu tunasepa
Et Mrs Van uwe na mwanaume ananuka kikwapa mbaya zaid ukitoka nae yupo rough tuuMmh mimi hapana kwakweli. Unaweza kua na sura mbaya hlf hamna lolote and vice versa is true.
Aahkabla ya yote
picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana.tupo simple sana sema wanaume mefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka.na anaevaa kiume standard .
standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh. siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipua kajilipua . unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?![]()
yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuuuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume . wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie
[emoji13] [emoji13] [emoji13]sijasema usioge oga ila sio mwanaume unapaka deodorant,unapuliza tena body spray na pafyumu unanukia kuliko hata dada zako bna?
Big up . . [emoji106]hahaha mimi binafsi, napenda mwanamke anuke kwapa kidogo na marashi kidogo na papuchi nayo pia inuke kwa harufu yake original sio mtu ananukia marashi full time harufu yake haijulikani ni ipi
Ila kuna watu kawakuna kwelikweli mi uanaume wa kuamka asubuhi mtu hata kitanda hatandiki,vipisi vya sigara mezani na jivu chini nguo hazieleweki zp safi zp chafu ghetto ukikanyaga michanga mitupu viatu vimetupwatupwa tu hata shoerack hakuna soksi zimedumbukizwa hmohmo havipumui harufu tupu hpo bdo kuna vyombo alivyolia chakula tangu juzi vpo chini ya kochi yaani alimradi tu km pangoni ah...uanaume huo nliushindwa kiukweli jpo pia siungi mkono mtoto wa kiume kujireeemba cheni,kusuka,hereni,kujichubu,manukato km jini ila "utanashati" muhimu ile standard yaani so msimamo wng ctokuwa bishoo sanaaaaa wala kuwa mgumu!kwa wanaume wenzangu wote mtaosoma hii thread, please dont believe it, its a trap.
Hapana kwakwel. Kwanza ktk kitu sipendi ni kikwapa. Kama mtu niko interested naye na anakikwapa zawadi ya kwanza ni deodorant, body spray na perfume.Et Mrs Van uwe na mwanaume ananuka kikwapa mbaya zaid ukitoka nae yupo rough tuu
Mbona daily huwa mnawasifia?anaemtaka huyo handsome ni nani sasa?
kabla ya yote
picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana.tupo simple sana sema wanaume mefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka.na anaevaa kiume standard .
standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh. siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipua kajilipua . unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?![]()
yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuuuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume . wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie
Miss huku unajitahidi kuwa na maneno ya busara lkn Inst mhhhhh!hata mbuzi anato..
huwezi mamini sina account insta wala whatsup sipo uliza wanaonijua humuMiss huku unajitahidi kuwa na maneno ya busara lkn Inst mhhhhh!
Hahahaaa umeacha niwe nacheka ovyo getoni kwangebu subiri nivunge siku tatu bila kuoga alafu naenda kutongoza uku na smell kama beberu... naamini atanikubali tu! kwa mujibu wa Miss Natafuta