Wanawake hatupendi wanaume wazuri wala wavaaji sana

Wanawake hatupendi wanaume wazuri wala wavaaji sana

Natafuta marafiki wa kuchati nao........[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kabla ya yote
picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana.tupo simple sana sema wanaume mefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka.na anaevaa kiume standard .
standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh. siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipua kajilipua . unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?
17494570_1709586272673470_7269433054165204992_n-jpg.492777

yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuuuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume . wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie
Aah
 
Mimi nina ndevu zisizo na mpangilio, macho mekundu, sauti yenye mikwaruzo, naoga mara chache kwa wiki.
Je nafaa kwako miss?
 
hahaha mimi binafsi, napenda mwanamke anuke kwapa kidogo na marashi kidogo na papuchi nayo pia inuke kwa harufu yake original sio mtu ananukia marashi full time harufu yake haijulikani ni ipi
Big up . . [emoji106]
 
kwa wanaume wenzangu wote mtaosoma hii thread, please dont believe it, its a trap.
Ila kuna watu kawakuna kwelikweli mi uanaume wa kuamka asubuhi mtu hata kitanda hatandiki,vipisi vya sigara mezani na jivu chini nguo hazieleweki zp safi zp chafu ghetto ukikanyaga michanga mitupu viatu vimetupwatupwa tu hata shoerack hakuna soksi zimedumbukizwa hmohmo havipumui harufu tupu hpo bdo kuna vyombo alivyolia chakula tangu juzi vpo chini ya kochi yaani alimradi tu km pangoni ah...uanaume huo nliushindwa kiukweli jpo pia siungi mkono mtoto wa kiume kujireeemba cheni,kusuka,hereni,kujichubu,manukato km jini ila "utanashati" muhimu ile standard yaani so msimamo wng ctokuwa bishoo sanaaaaa wala kuwa mgumu!
 
Et Mrs Van uwe na mwanaume ananuka kikwapa mbaya zaid ukitoka nae yupo rough tuu
Hapana kwakwel. Kwanza ktk kitu sipendi ni kikwapa. Kama mtu niko interested naye na anakikwapa zawadi ya kwanza ni deodorant, body spray na perfume.
 
Mwanaume awe na mawe na ajue kumrithisha mwanamke,
Una mawe alafu hujuimchezo utasaidiwa tu
Unaujua mchezo alafu una mawe utahudumiwa .
 
Nahisi degree ya kusomea wanawake ni miaka 10000000000000000000000
 
kabla ya yote
picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana.tupo simple sana sema wanaume mefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka.na anaevaa kiume standard .
standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh. siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipua kajilipua . unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?
17494570_1709586272673470_7269433054165204992_n-jpg.492777

yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuuuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume . wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie

Kwa kweli nimeipenda hii mpk dudu limesimama
 
Hamorapa apigiwa promo na Miss natafta
 
Wanawake it's your nature kutojiamin.. By the way hata Wanawake wenye Sura mbaya ndo wengi Wapo kwenye ndoa
 
Kidizaini hii wanaume tunakazi duh!
 
ebu subiri nivunge siku tatu bila kuoga alafu naenda kutongoza uku na smell kama beberu... naamini atanikubali tu! kwa mujibu wa Miss Natafuta
Hahahaaa umeacha niwe nacheka ovyo getoni kwang
 
Back
Top Bottom