Wanawake hatupendi wanaume wazuri wala wavaaji sana

Wanawake hatupendi wanaume wazuri wala wavaaji sana

Me mpaka leo sielewi wanawake huwa mnaridhishwa na nini yan kuna wengine wanapenda kweli wanaovaa vizuri lakini mtoa mada haupo hvo ila nahc umeandika kujifurahisha sababu najua ukitoka out na bwana ako halaf ukawa unameet na rafiki zako wakiwa na mabwana zao ni lazima utataka mwenekano wake uwe mzuri ili na ww ucfiwe na wenzako. Kwa hyo mtoa mada umedanganya kidogo
 
Halaf naona km umemponda mbasha kwa kutumia lugha ya picha coz maneno yako hayana uhalisia na maisha halisi ya mwanamke wa sasa wa digitali
 
Nadhani unaojiongelea wewe sio wasichana wote maana kila mtu na mapenzi yake.
 
"Everything a woman does on a daily basis is colored by competition anxiety. Make up, clothing, shoes [etc]. Everything is borne from this competitive desire to achieve security with the best possible guy and make damn sure the girl next door doesn’t get him first." - RM

"Does not get him first"
 
Kabla ya yote..Picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!

Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana, tupo simple sana sema wanaume mmefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi.

Niwapeni siri, wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuhonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda na kukufurahia hata uwe bilionea wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka na anaevaa kiume standard. Standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh.

Siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz, mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? Na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
Siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipualipua unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?
17494570_1709586272673470_7269433054165204992_n-jpg.492777

Yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume. Wanawake ndo tulivyo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe. Mwanaume unajua kujipendezesha kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo.

So ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie.
Mm mnazidi kunichanganya walah😀
 
Kabla ya yote..Picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!

Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana, tupo simple sana sema wanaume mmefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi.

Niwapeni siri, wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuhonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda na kukufurahia hata uwe bilionea wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka na anaevaa kiume standard. Standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh.

Siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz, mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? Na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
Siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipualipua unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?
17494570_1709586272673470_7269433054165204992_n-jpg.492777

Yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume. Wanawake ndo tulivyo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe. Mwanaume unajua kujipendezesha kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo.

So ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie.
Kwa mwandiko huu, ndiyo nimeelewa umri halisi wa miss.
 
Sio kweli sio Kwa wote Kila mwanamke na vigezo vyake Ona kina kusah wanavyokimbiliwa, huyu mbasha mwenyewe pichani Kuna mwanamke hali halali Kwa kumpenda..... Kwahivo sio general... Ni kama wanaume Kuna akiona trako tu... Imeisha hiyo... Kuna mwingine anapenda sura nzuri.. mwingine sura personal.... Mwingine kimbaumbau... Kwahivo huwezi kugenorolize hivyo... Ila pesa imekuwa kigezo kikubwa sana Cha mapenzi ...
.
 
Kwa kweli kwenye hilo kundi mimi sipo. Napenda mwanaume msafi.
 
Sio kweli sio Kwa wote Kila mwanamke na vigezo vyake Ona kina kusah wanavyokimbiliwa, huyu mbasha mwenyewe pichani Kuna mwanamke hali halali Kwa kumpenda..... Kwahivo sio general... Ni kama wanaume Kuna akiona trako tu... Imeisha hiyo... Kuna mwingine anapenda sura nzuri.. mwingine sura personal.... Mwingine kimbaumbau... Kwahivo huwezi kugenorolize hivyo... Ila pesa imekuwa kigezo kikubwa sana Cha mapenzi ...
.
Chai
 
Back
Top Bottom