Polisi jamii
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 2,604
- 1,381
na nyie akina rayyoungr mnadai haki sawa??Haki sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na nyie akina rayyoungr mnadai haki sawa??Haki sawa
Hahaaaaa kumbe mshachumbiana humu eeeh......Cc scorpio me njoo mke wangu umetajwa humu! Kuna mtu anakukubali sana!
Hawako sawaMimi naona wana jf members wote ni wazuri tu
Kweli mkuuMimi naona wana jf members wote ni wazuri tu
Tatizo hampendi changamoto na kukosolewa, mtu akikukosoa unamchukia...ufike wakati tukomae ki akili na kutambua kuwa hatuwezi kuwa na ufahamu sawa.Hawako sawa
Waweke niwaongezeee hapaaKweli mkuu
Wote wazuri peace & love, ila list yake amebagua wengi sana hajawaandika, mimi mwenyewe nimewaandika mpaka nahisi nitajaza sever
Shida ya wengi humu wanachukulia tofauti za kiitikadi na tofauti ya mawazo ndio ubaya/uadui. Tutofautiane kimtazamo/mawazo lkn mwisho wasiku tubaki wamojaKweli mkuu
Wote wazuri peace & love, ila list yake amebagua wengi sana hajawaandika, mimi mwenyewe nimewaandika mpaka nahisi nitajaza sever
Kuna aliyetukana hapa au kuomba hela? Kwa kutumia id fake?JF sasa hivi ni ngumu sana kuwaelewa member wake
Mods hamna acces ya kunisaidia nisione au kuniondolea kabisa hili jukwaa la MMU?
Wanawake hawaeleweki wanaume nao vile vile id za kike wanakuja nazo wanaume na za kiume wanakuja nazo za kike wtf!
Sawa mkuu ngoja niendelee kukutajia good people: usinichoke[emoji1]Waweke niwaongezeee hapaa
Hata duniani ingekuwa wote tupo sawa isingechangamka.Shida ya wengi humu wanachukulia tofauti za kiitikadi na tofauti ya mawazo ndio ubaya/uadui. Tutofautiane kimtazamo/mawazo lkn mwisho wasiku tubaki wamoja
Wanafaa kuigwa kwa yapi??1.sky elcat
2.miss chagga
3.miss natafuta
4.feitty
5.scorpio me
6.Nifah
7.cute b
8.heaven sent
Jamani nawakubali sana girls
Ilaa kuna huyu hapa
1.Monicca
Simuelewagi
Sijui kala maharage ya wapi huyuuuu[emoji38]
KweliHata duniani ingekuwa wote tupo sawa isingechangamka.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ongeza katika list
*Evely salt
*jje's
*Diva beyonce
*_Aysher
*Jimena
*Heaven on earth
*Joanah
*Geniveros
*Shunie
*Atoto
JF wanachama halisi hawazidi 150k ..Yaani umeingia JF siku ya Alhamis tarehe 27/10/2016 halafu umewajua tayari members wa humu na kuwakubali! ama kweli nimeamini waliosema kuwa JF members halali hawafiki hata 50 wengine wanarudia rudia kufungua ID za nyongeza kiasi kwamba tunaonekana tuko wengi! pole zake!
Hatujaribiwi🙄🙄🙄Tatizo hampendi changamoto na kukosolewa , mtu akikukosoa unamchukia...ufike wakati tukomae ki akili na kutambua kuwa hatuwezi kuwa na ufahamu sawa.