Wanawake hawa wa "jf" ni mfano wa kuigwa...nawapenda sana

Hahahha! Mkuu Saint Ivuga mimi siwataki new member. Ninae mke tayari,we muhonge tu hiyo hela alafu baadae analeta home tuikandamize huku ukiwa huonji chochote.
Ha ha ha... Ila naona Voda network ipo chini nitumie namba yake ya Tigo nimrushie kwenye tigo pesa
 
duh kwa mfano ningekuta jina langu limeandikwa na mimi ni mwanamke wa kuigwa sijui ingekuwaje hizo fujo zake
 
Bebi meseji nimeiona ila nikijibu haziendi. Ukiiandika ten tuma namba ya wasapu kabisa
Aiseee! We Mkuu japo nina michepuko lakini angalia sana usimuambukize mke wangu maradhi. Nakuomba sana. Kula lakini iache salama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…