Wanawake hawa wa "jf" ni mfano wa kuigwa...nawapenda sana

Wanawake hawa wa "jf" ni mfano wa kuigwa...nawapenda sana

Kwa mwanamke yoyote ambae hajatajwa anijulishe. Nawapa shout out wote leo kama
*umesahaulika
*hujawahi kutajwa hata siku moja
Dawa ya mvuto pia nitawapa bure leo ofa. Natambua umuhimu na uwepo wenu
Hhahaa
 
ila we nae umeingilia mlango wa uwani ebu rudi kwa ID yako ya awali.
 
Sawa mkuu ngoja niendelee kukutajia good people: usinichoke[emoji1]
*cocochanel
*beutygal
*housegirl
*Afrodenz
*chikira mtabari
*iparamasa
*beth
*Msindikizaji
*Asmaa80
*Patience 123
*Madam b
*Chinchila coat
*Miss Nedy
*Lady furahiaaa
*Everhurt
*Donatila
*Angel Nylon
*Malyakishu
*Clkey
*Mulhat Mpunga
*Nimpende nani

Thank you
nafiti kabisa kuwa mwanamke.
 
Sawa mkuu ngoja niendelee kukutajia good people: usinichoke[emoji1]
*cocochanel
*beutygal
*housegirl
*Afrodenz
*chikira mtabari
*iparamasa
*beth
*Msindikizaji
*Asmaa80
*Patience 123
*Madam b
*Chinchila coat
*Miss Nedy
*Lady furahiaaa
*Everhurt
*Donatila
*Angel Nylon
*Malyakishu
*Clkey
*Mulhat Mpunga
*Nimpende nani
Huu kweli sio mchanyato huu!lazima kuna vidume vya mbegu humu!
 
Yaani umeingia JF siku ya Alhamis tarehe 27/10/2016 halafu umewajua tayari members wa humu na kuwakubali! ama kweli nimeamini waliosema kuwa JF members halali hawafiki hata 50 wengine wanarudia rudia kufungua ID za nyongeza kiasi kwamba tunaonekana tuko wengi! pole zake!
Ha ha haa...
 
1.sky elcat
2.miss chagga
3.miss natafuta
4.feitty
5.scorpio me
6.Nifah
7.cute b
8.heaven sent
9.Geniveros

Jamani nawakubali sana girls

Ilaa kuna huyu hapa
1.Monicca
Simuelewagi
Sijui kala maharage ya wapi huyuuuu[emoji38]
Kuna watu wanashobo hii dunia!! Kwa shobo hizi kweli ukipewa mimba utamkumbuka alokupa?
 
1.sky elcat
2.miss chagga
3.miss natafuta
4.feitty
5.scorpio me
6.Nifah
7.cute b
8.heaven sent
9.Geniveros

Jamani nawakubali sana girls

Ilaa kuna huyu hapa
1.Monicca
Simuelewagi
Sijui kala maharage ya wapi huyuuuu[emoji38]
Umemsahau Preta
 
Back
Top Bottom