Ni vita ambayo wao hudhani hatujui ipo lakini huwa tunajifanya washamba mambo yaende, kwa wanaume wengine huwa hawajui haya mambo wanaishia kuharibu.
Wanaume wengi wanavuta jiko pale mambo yanapoanza kukaa sawa panapokuwa na chanzo cha kipato, nguvu ya pesa inakuwepo unaanza kusaidia nyumbani na ndugu wengine.
Upande wa wanaume (baba, kaka zako, n.k) hawana tatizo, hata kaka zetu waliotutangulia kuoa wakipunguza msaada tunajua wanayopitia, suluhisho ni sisi wenyewe kuongeza juhudi kupambania tonge. shida inakuja kwa mama, dada zako na ndugu wengine wa kike !!
huwa kuna wivu wa wanawake unaanza, kina mama na dada wanaona mke anaingilia kati kwenye vitu ilivyobidi wavipate wao, hata kama hujapunguza kiasi na pengine umeongeza kuwatumia pesa huwa wanadhani mke anafaidi zaidi, inaweza tokea kwenu pesa zipo nyingi sana kina dada / mama hawana shida ya pesa lakini bado kunaweza kuwa na wivu kwamba mke analipata penzi lako kuzidi wao wanavyopendwa au walivyopendwa na waume zao.
Hata saa mbovu kuna muda ina faida, hii ishu kwa upande mwengine huwa inawanyoosha vizuri wale wake wasumbufu, yani mke awe mjuaji akutane na mama mke / mawifi konki zaidi, mambo huwa ni faya 😂
Hii ishu kitamaduni niliwahi kusikia ina elimu yake kwa wanawake wa Pwani lakini sikuwahi sikia kwa wanaume, Tuelimishane hapa.
Wanaume wengi wanavuta jiko pale mambo yanapoanza kukaa sawa panapokuwa na chanzo cha kipato, nguvu ya pesa inakuwepo unaanza kusaidia nyumbani na ndugu wengine.
Upande wa wanaume (baba, kaka zako, n.k) hawana tatizo, hata kaka zetu waliotutangulia kuoa wakipunguza msaada tunajua wanayopitia, suluhisho ni sisi wenyewe kuongeza juhudi kupambania tonge. shida inakuja kwa mama, dada zako na ndugu wengine wa kike !!
huwa kuna wivu wa wanawake unaanza, kina mama na dada wanaona mke anaingilia kati kwenye vitu ilivyobidi wavipate wao, hata kama hujapunguza kiasi na pengine umeongeza kuwatumia pesa huwa wanadhani mke anafaidi zaidi, inaweza tokea kwenu pesa zipo nyingi sana kina dada / mama hawana shida ya pesa lakini bado kunaweza kuwa na wivu kwamba mke analipata penzi lako kuzidi wao wanavyopendwa au walivyopendwa na waume zao.
Hata saa mbovu kuna muda ina faida, hii ishu kwa upande mwengine huwa inawanyoosha vizuri wale wake wasumbufu, yani mke awe mjuaji akutane na mama mke / mawifi konki zaidi, mambo huwa ni faya 😂
Hii ishu kitamaduni niliwahi kusikia ina elimu yake kwa wanawake wa Pwani lakini sikuwahi sikia kwa wanaume, Tuelimishane hapa.