Wanawake hawapendani, Una deal vipi na vita ya kimya kimya ya mke, dada zako na mama yako?

Wanawake hawapendani, Una deal vipi na vita ya kimya kimya ya mke, dada zako na mama yako?

Nadhani ni suala la kuweka Mipaka na kuwa na Msimamo tu

Binafsi nimeweka Utaratibu inapotokea ndugu zangu Wana mahitaji ya msaada hasa ya Kifedha, nimewaelekeza wampigie Waifu. Kwahiyo waifu ndiyo atawatumia hiyo hela

Na Ndugu wa Waifu wakiwa na shida ya Kifedha, wananipigia simu then nawatumia.

Kwa kufanya hivyo nimeona kidogo maneno yamepungua kiasi
 
shida ni watu kuishi as if they are in competition na watu wengine, kila mtu ashinde mechi zake, kinachoumiza zaidi tusielewane saa zingine hata nyie mnachangia mtu umeoa lakini majukumu ya dada yako aliyeachika kwenye ndoa na watoto watatu unataka majukumu uyabebe wewe ukiambiwa unakaza shingo kwa nn tusigombane,??

ndugu za mume wengi huhisi kaka yao akishaoa mambo mengi atakua anafaidi mka mwana kumbe watu wanavumiliana tu
 
Nadhani ni suala la kuweka Mipaka na kuwa na Msimamo tu

Binafsi nimeweka Utaratibu inapotokea ndugu zangu Wana mahitaji ya msaada hasa ya Kifedha, nimewaelekeza wampigie Waifu. Kwahiyo waifu ndiyo atawatumia hiyo hela

Na Ndugu wa Waifu wakiwa na shida ya Kifedha, wananipigia simu then nawatumia.

Kwa kufanya hivyo nimeona kidogo maneno yamepungua kiasi
Ndugu zako wanavyompigia wife simu kuhusu mahitaji, anawatumia pesa zake au zako ?

Ni mbinu nzuri sana kama mume na mke mna kazi / biashara zenu na mnakusanya pesa zenu pamoja, maamuzi ya matumizi ni lazima mjuzane lakini kama mwisho wa siku inatumika pesa yako inabidi ujitathmini zaidi.
 
Sweetheart unakuta mwanamke anasema hampendi mwanamke mwezake...

Hizo sababu sasa... Yeye mwenyewe hata hajui kwa nini hampendi... Hahaha...
Wivu roho mbaya na kuwashwa tu hakuna kingine lo!
Unakuta hao watu Mwanzo walikua vizuri tu tena uneza ambiwa walikua wanaitana rafiki / best kabesa inakuaje sasa wawe hivo kama si kuwashwa vinee???!


Nauliza tu inakuaje??
 
Mwanamke ni kiumbe hatari sana usipokuwa naye makini. Mtu ambaye anaenda bafuni kuoga lakini nywele kaacha chumbani 😆😆.

Na maswali ya wanawake ni ya ajabu ajabu Kila wakati ni kuuliza maswali hayana kichwa Wala miguu ukimjibu fyongo ananuna hatari😄
 
ni lazima ndio siwez mkataza asisaidie nduguze lakini ukute kuna jambo halijasimama tunatakiwa liende aje wifi adai mtoto kameza shoka anatakiwa hela
Aiseee ni kazaaaa kazezeeeee bora mtu ubaki mweupe tuu kuwe na amani 😆
 
Back
Top Bottom