mkabasia
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 2,966
- 2,634
Hii kwangu imenisaidia Sana.Hata simu Tu huwa sipigi.Tunakutana kwenye sherehe basi.Kutambulishwa sio maana yake wanusane kila dakika.
Kuna kitu kinaitwa "boundaries".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kwangu imenisaidia Sana.Hata simu Tu huwa sipigi.Tunakutana kwenye sherehe basi.Kutambulishwa sio maana yake wanusane kila dakika.
Kuna kitu kinaitwa "boundaries".
Kama ndugu wa familia moja mna shindwa kusaidiana nalo ni balaa hiloSio lazima kusaidia ndg.
Ni mila yetu nchi za kimaskini tu
Narudia...ni nchi masikini tu ndiio tuna huo utamaduni...elewa nchi maskini.Kama ndugu wa familia moja mna shindwa kusaidiana nalo ni balaa hilo
Ndio hapo unapojua mungu fundi. Hawa nakwambia kwanza wakipata hela wanataka kutuondoa kwenye maisha yaoKwa roho ya ubinafsi ya hawa viumbe wangepewa mamlaka ya kuoa siwafichi wanaume tungetapatapa kichizi
Tunashukuru Mungu aliepusha mapema
😂😂😂Hahaha..............kwahiyo tuanze kukaa Kwa machale sio?
Ukiendekeza hayo mambo ya ndugu, unaweza kukosana na Mkeo ndani halafu tunyimwe tamu bure
😂😂😂😂Kwa roho ya ubinafsi ya hawa viumbe wangepewa mamlaka ya kuoa siwafichi wanaume tungetapatapa kichizi
Tunashukuru Mungu aliepusha mapema
Imekuwaje umecomment nilichocomment na sikuwa nimesoma comment yako 🤣Ndio hapo unapojua mungu fundi. Hawa nakwambia kwanza wakipata hela wanataka kutuondoa kwenye maisha yao
Ndio ujue mungu anajaribu kukwambia kitu...ila shida unajidai binti kiziwi😜Imekuwaje umecomment nilichocomment na sikuwa nimesoma comment yako 🤣
Umeanza kamba mapema kabisa! 😀Ndio ujue mungu anajaribu kukwambia kitu...ila shida unajidai binti kiziwi😜
Bila kamba nyie hamkubaliUmeanza kamba mapema kabisa! 😀
Kweli Mungu fundi mkuuNdio hapo unapojua mungu fundi. Hawa nakwambia kwanza wakipata hela wanataka kutuondoa kwenye maisha yao
😂😂😂😂
Ulishawahi kusikia kauli ya Mungu fundi?
Mkuu hii sio poa. Hawawezi kukwambia tu ila moyoni Wana yaoNadhani ni suala la kuweka Mipaka na kuwa na Msimamo tu
Binafsi nimeweka Utaratibu inapotokea ndugu zangu Wana mahitaji ya msaada hasa ya Kifedha, nimewaelekeza wampigie Waifu. Kwahiyo waifu ndiyo atawatumia hiyo hela
Na Ndugu wa Waifu wakiwa na shida ya Kifedha, wananipigia simu then nawatumia.
Kwa kufanya hivyo nimeona kidogo maneno yamepungua kiasi
Wait, what?Nadhani ni suala la kuweka Mipaka na kuwa na Msimamo tu
Binafsi nimeweka Utaratibu inapotokea ndugu zangu Wana mahitaji ya msaada hasa ya Kifedha, nimewaelekeza wampigie Waifu. Kwahiyo waifu ndiyo atawatumia hiyo hela
Na Ndugu wa Waifu wakiwa na shida ya Kifedha, wananipigia simu then nawatumia.
Kwa kufanya hivyo nimeona kidogo maneno yamepungua kiasi
Wanawake huwa hawapendani ila watabisha sana kwenye hili.Hata kama huna hela hao watu hua haziivagi tu
Mpendane...Wivu roho mbaya na kuwashwa tu hakuna kingine lo!
Unakuta hao watu Mwanzo walikua vizuri tu tena uneza ambiwa walikua wanaitana rafiki / best kabesa inakuaje sasa wawe hivo kama si kuwashwa vinee???!
Nauliza tu inakuaje??