To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Inawezekana vp wakati wa kuoana lazima mtambulishaneMkeo na ndugu zako wasijuane.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana vp wakati wa kuoana lazima mtambulishaneMkeo na ndugu zako wasijuane.
Sasa utaki nimsaidie wifi ako?shida ni watu kuishi as if they are in competition na watu wengine, kila mtu ashinde mechi zake, kinachoumiza zaidi tusielewane saa zingine hata nyie mnachangia mtu umeoa lakini majukumu ya dada yako aliyeachika kwenye ndoa na watoto watatu unataka majukumu uyabebe wewe ukiambiwa unakaza shingo kwa nn tusigombane,??
ndugu za mume wengi huhisi kaka yao akishaoa mambo mengi atakua anafaidi mka mwana kumbe watu wanavumiliana tu
Duh!Inatakiwa wasijuane.
Kutambulishwa sio maana yake wanusane kila dakika.Inawezekana vp wakati wa kuoana lazima mtambulishane
na hii vita haitakuja ishaAiseee ni kazaaaa kazezeeeee bora mtu ubaki mweupe tuu kuwe na amani 😆
msaidie nduguyoSasa utaki nimsaidie wifi ako?
HakunagaTutaanza kupendana ,. Tutajirekebisha
Kuna watu wame tengana sabb hiyona hii vita haitakuja isha
mimi ndio wasijaribu mana nitahakikisha kaka yao anabakia kama tulivyokutana na tufungiane tu vioo kwan sh ngapKuna watu wame tengana sabb hiyo
Ndugu wa jamaa wamekuja juu wakamtafutia chuma mpya tena yenye pesa nyumba ikauzwa
Jamaa ame kubaliana na aliye kuwa mkewe jumba liuzwe kiroho safimimi ndio wasijaribu mana nitahakikisha kaka yao anabakia kama tulivyokutana na tufungiane tu vioo kwan sh ngap
Ukiwa na dada ambaye HAOLEKI kwa tabia mbaya, Nina maana ya haya mapaka shume yaliyozalishwa ovyo, yasiyopitwa na umbea usiruhusu mkeo awe na mawasiliano naye.
Okay,mipaka! Hapo nimekuelewa mkuuKutambulishwa sio maana yake wanusane kila dakika.
Kuna kitu kinaitwa "boundaries".
Ugomvi wa wanawake sio kipato au maslahi tu bali hii ni asili yao kutompenda mwanamke ngeni kuletwa au kuolewa na kaka au ntoto wao.Ni vita ambayo wao hudhani hatujui ipo lakini huwa tunajifanya washamba mambo yaende, kwa wanaume wengine huwa hawajui haya mambo wanaishia kuharibu.
Wanaume wengi wanavuta jiko pale mambo yanapoanza kukaa sawa panapokuwa na chanzo cha kipato, nguvu ya pesa inakuwepo unaanza kusaidia nyumbani na ndugu wengine.
Upande wa wanaume (baba, kaka zako, n.k) hawana tatizo, hata kaka zetu waliotutangulia kuoa wakipunguza msaada tunajua wanayopitia, suluhisho ni sisi wenyewe kuongeza juhudi kupambania tonge. shida inakuja kwa mama, dada zako na ndugu wengine wa kike !!
huwa kuna wivu wa wanawake unaanza, kina mama na dada wanaona mke anaingilia kati kwenye vitu ilivyobidi wavipate wao, hata kama hujapunguza kiasi na pengine umeongeza kuwatumia pesa huwa wanadhani mke anafaidi zaidi, inaweza tokea kwenu pesa zipo nyingi sana kina dada / mama hawana shida ya pesa lakini bado kunaweza kuwa na wivu kwamba mke analipata penzi lako kuzidi wao wanavyopendwa au walivyopendwa na waume zao.
Hata saa mbovu kuna muda ina faida, hii ishu kwa upande mwengine huwa inawanyoosha vizuri wale wake wasumbufu, yani mke awe mjuaji akutane na mama mke / mawifi konki zaidi, mambo huwa ni faya 😂
Hii ishu kitamaduni niliwahi kusikia ina elimu yake kwa wanawake wa Pwani lakini sikuwahi sikia kwa wanaume, Tuelimishane hapa.
Hayo mambo madogo, chamsingi maswala ya wanawake achana nayo na hata huyo mkeo akiomba support achana nae, dada zako wakiomba support achana nao na hata mama yako pia, wewe endelea na mambo yako ya msingi mpaka watakapo taka usuluhishi wao wenyeweNi vita ambayo wao hudhani hatujui ipo lakini huwa tunajifanya washamba mambo yaende, kwa wanaume wengine huwa hawajui haya mambo wanaishia kuharibu.
Wanaume wengi wanavuta jiko pale mambo yanapoanza kukaa sawa panapokuwa na chanzo cha kipato, nguvu ya pesa inakuwepo unaanza kusaidia nyumbani na ndugu wengine.
Upande wa wanaume (baba, kaka zako, n.k) hawana tatizo, hata kaka zetu waliotutangulia kuoa wakipunguza msaada tunajua wanayopitia, suluhisho ni sisi wenyewe kuongeza juhudi kupambania tonge. shida inakuja kwa mama, dada zako na ndugu wengine wa kike !!
huwa kuna wivu wa wanawake unaanza, kina mama na dada wanaona mke anaingilia kati kwenye vitu ilivyobidi wavipate wao, hata kama hujapunguza kiasi na pengine umeongeza kuwatumia pesa huwa wanadhani mke anafaidi zaidi, inaweza tokea kwenu pesa zipo nyingi sana kina dada / mama hawana shida ya pesa lakini bado kunaweza kuwa na wivu kwamba mke analipata penzi lako kuzidi wao wanavyopendwa au walivyopendwa na waume zao.
Hata saa mbovu kuna muda ina faida, hii ishu kwa upande mwengine huwa inawanyoosha vizuri wale wake wasumbufu, yani mke awe mjuaji akutane na mama mke / mawifi konki zaidi, mambo huwa ni faya 😂
Hii ishu kitamaduni niliwahi kusikia ina elimu yake kwa wanawake wa Pwani lakini sikuwahi sikia kwa wanaume, Tuelimishane hapa.
Sio lazima kusaidia ndg.Ila ndugu kuwa tegemezi nalo ni tatizo
Ila pia sio ttz sana maana lazima asaidie ndugu zake