RealixT
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 1,547
- 2,751
Nakubaliana na wew mleta mada.
Hii ni kutokana na nilipomskia hivi karibuni mmoja wa mabinti wa maeneo Fulani ya uswazi akisimulia shoga zake wawili aliokuwa ameketi nao wakipga soga ya kwamba ndoa atakayoingia hv karibun yeye binafc amepanga kukaa na huyo mumewe mtarajiwa ndani ya miezi mi3 pekee na sio zaid ya hapo, baada ya hapo atarudi nyumbn kwaooo...[emoji848]
Kutokana na maelezo ya dada yule sabab iliyomfanya aolewe na Jamaa huyo maskini ya Mungu, ni ili aweze tu kumtetemesha/kumringishia aliyekua bwana wake wa hapo awali ( ex wake )...
Kusema ukweli kwa maneno Yale niliyomskia akizungumza yule dada yaliniumiza sna nikavuta picha huyo Jamaa wa watu huko alipo anajua kapata mke wa kujenga nae familia kumbe nyuma ya pazia m/mke huyu atageuka kuwa hasara tupu kwake...
Nashauri tu wanaume tusioe kwa mihemko mwsho wa cku itatukosti...
Hii ni kutokana na nilipomskia hivi karibuni mmoja wa mabinti wa maeneo Fulani ya uswazi akisimulia shoga zake wawili aliokuwa ameketi nao wakipga soga ya kwamba ndoa atakayoingia hv karibun yeye binafc amepanga kukaa na huyo mumewe mtarajiwa ndani ya miezi mi3 pekee na sio zaid ya hapo, baada ya hapo atarudi nyumbn kwaooo...[emoji848]
Kutokana na maelezo ya dada yule sabab iliyomfanya aolewe na Jamaa huyo maskini ya Mungu, ni ili aweze tu kumtetemesha/kumringishia aliyekua bwana wake wa hapo awali ( ex wake )...
Kusema ukweli kwa maneno Yale niliyomskia akizungumza yule dada yaliniumiza sna nikavuta picha huyo Jamaa wa watu huko alipo anajua kapata mke wa kujenga nae familia kumbe nyuma ya pazia m/mke huyu atageuka kuwa hasara tupu kwake...
Nashauri tu wanaume tusioe kwa mihemko mwsho wa cku itatukosti...