Wanawake hawapendi ndoa

Wanawake hawapendi ndoa

Nakubaliana na wew mleta mada.

Hii ni kutokana na nilipomskia hivi karibuni mmoja wa mabinti wa maeneo Fulani ya uswazi akisimulia shoga zake wawili aliokuwa ameketi nao wakipga soga ya kwamba ndoa atakayoingia hv karibun yeye binafc amepanga kukaa na huyo mumewe mtarajiwa ndani ya miezi mi3 pekee na sio zaid ya hapo, baada ya hapo atarudi nyumbn kwaooo...[emoji848]

Kutokana na maelezo ya dada yule sabab iliyomfanya aolewe na Jamaa huyo maskini ya Mungu, ni ili aweze tu kumtetemesha/kumringishia aliyekua bwana wake wa hapo awali ( ex wake )...

Kusema ukweli kwa maneno Yale niliyomskia akizungumza yule dada yaliniumiza sna nikavuta picha huyo Jamaa wa watu huko alipo anajua kapata mke wa kujenga nae familia kumbe nyuma ya pazia m/mke huyu atageuka kuwa hasara tupu kwake...

Nashauri tu wanaume tusioe kwa mihemko mwsho wa cku itatukosti...
Pamoja
 
Kuna mtoto mmoja wa kisimbe simbe
Nilimpenda sana , mzuri sana sema mswahili
Kasoma ana Elimu nzuri ila ndo hivo.
Ishu za ndoa hataki kusikia
Nkasema sawa.
Baadae kazi yangu aliipenda.
Demu mjinga mjinga muache kabla hajakuacha.
Utaumia sana Qumamaque
Wanazingua sana hawa
 
Njoo getto unitibu
Hapana sinaga hizo. Sina utaratibu wa kuwakuna wanaume wenzangu. Bado nina Imani wanawake wananitosheleza vizuri kabisa. Unisamehe Sana sihitaji ujinga wa ushoga

Nina kinyaa Sana na wanaume wenzangu. Sikulelewa hivyo.

Hiyo sehemu umepewa kuendea haja kubwa hukupewa kustareheshwa. Itumie vizuri.
 
Hapana sinaga hizo. Sina utaratibu wa kuwakuna wanaume wenzangu. Bado nina Imani wanawake wananitosheleza vizuri kabisa. Unisamehe Sana sihitaji ujinga wa ushoga

Nina kinyaa Sana na wanaume wenzangu. Sikulelewa hivyo.
Mimi nimekuambia njoo getto unitibu wewe unawaza ushoga. Kichwa umefungia kabatini ?
 
Wanakula ujana labda wakifika 60+ watahitaji.
 
Kuna tofauti kubwa ya Mwanamke na mke so wanawake wapo wengi Sana ila kumpata mke eh mpaka bwana Yesu ahusike
 
Ili wayapate hayo uliyosema wanayoyapenda, basi chanzo chake ni ndoa.

Yaani kwamba wanapenda kushiba lakini hawapendi chakula. Au wanapenda makande lakini hawapendi ugali na maharagwe.

Kama ndivyo, basi, hii nchi ngumu sana.
 
Back
Top Bottom