Mashemeji zangu mkuje hapa mjibu hoja kama ina ukweli hapa.
cc: Shunie
Demiss
Saida Said
Mama Sabrina
Da Vinc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashemeji zangu mkuje hapa mjibu hoja kama ina ukweli hapa.
cc: Shunie
Demiss
Saida Said
Mama Sabrina
Da Vinc
Tapika zaidi ila hatuvai kwa ajili yenu. Wakato wewe unatapika mwanaume mwenzio ndo ananinunulia bby nivaeWanawake kama wana laana fulani. Wanakaa nayo kichwani hadi yananuka au kutoa vumbi yeye hata hasikii harufu, kila siku asubuhi anapilizia manukato. Mvua ikinyesha ananunua mfuko warambo anavaa kichwani.
Siyapendi, siyapendi, siyapendi. Nikiliona nahisi kutapika. Yakinyeshewa yakalowana yananika kama Vyoo vya sokoni.
Dunia simama nishuke.
Aisee!!!View attachment 797387
Naomba kuwasilisha.....
Duuuuh kidogo niseme sijui ni mbibi gani[emoji1] [emoji1]Aisee!!!
Jamani mimi ni mwanamke lkn siyapendi hayo makitu na kusema kweli wengi hawapendezi na hawajui kuyatunza.Sidhani kama kuna mwanaume mwenye akili timamu anapenda mkewe avae haya , huwa mnaforce tu.
Binafsi nilishampiga marufuku wife ole wake ajaribu kuyavaa.
Halafu mbona huwa hampendezi au sisi vipofu?
Nikikutana na manzi mwenye hayo mawigi ya rangi rangi, automaticaly siwezi siwezi kumuheshimu.kuna yale yanakua na rangi sijui ndo tuseme blonde au njano au kaki ile sina uhakika sana unakua kama kichaa fulanj hivi aliye chovya kichwa chake kwenye ndoo ya rangi dah
Na sisi wavaa mawig hatuwajali wala nini. Mimi bf wangu ananinunulia nywele mwenyewe. Sasa ndo niache kuvaa kweli kisa mwanaume wa JF kasema wakati hata hajui gharama yake.I am yet to meet a man who has anything positive to say about wigs 😛😛😛😛😛
Bado sana kukutana na mwanamme yeyote aliesifia mawigi
View attachment 797387
Naomba kuwasilisha.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dawa yake ukimkuta kalivaa unamvua halafu unakimbia nalo
Ningekuwa na uwezo ningeweka sheria ili mwanamke anunue wigi ajaze maelezo kwenye form maalumu(Log book) yenye maneno yasiyopungua 1,000,000 akieleza ni kwanini anataka kununua wigi, kisha hiyo form ikapitishwe na rais au baraza la mawaziri ndio aweze kununua, madubwasha yanakera sana hayo japo wao wanayapenda ili kubana matumizi ukizingatia wanaume siku hizi hatuhongi pesa.Nauliza hivyo maana nilikuwa nimepanda hiace nimekaa na dada siti moja ameyashonea hayo madubwasha yanatoa harufu kali.
Halafu sijui nani aliwadanganya kuwa yanawapendeza maana wengine wakiyavaa utafikiri wametundika kwenye mti.
unanikuta niko kariakoo nakutiming nakuvua huyo naanza kukatisha mitaa kisha naenda kulichoma moto hasa hivi viless wigi vya bei rahisi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu nakubaliana na wewe, mwanamke anapendeza zaidi akiwa natural.Hapa naona wamependeza sana wakiwa hawajayavaa.
Mwanamke akifunga "mchicha" au "twende kilioni" ndio huwa anapendeza zaidi.
We teteaa lakini mnatunukisha uvundoo.Tapika zaidi ila hatuvai kwa ajili yenu. Wakato wewe unatapika mwanaume mwenzio ndo ananinunulia bby nivae