kijana wa leo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 2,921
- 7,173
Mkuu mimi sikuishia kwenye kupiga marufuku tu bali nilimpeleka kwa mwanasheria akasign mkataba wakutokuvaa wigi maisha yake yote tutakayoishi pamoja kisha akala na kiapo juu............Sidhani kama kuna mwanaume mwenye akili timamu anapenda mkewe avae haya , huwa mnaforce tu.
Binafsi nilishampiga marufuku wife ole wake ajaribu kuyavaa.
Halafu mbona huwa hampendezi au sisi vipofu?
Huyo anaekununulia itakua ni mwanaume wa Dar.Na sisi wavaa mawig hatuwajali wala nini. Mimi bf wangu ananinunulia nywele mwenyewe. Sasa ndo niache kuvaa kweli kisa mwanaume wa JF kasema wakati hata hajui gharama yake.
Sasa we ukisikia uvundo unanihusu nini wakati hatulali wote.We teteaa lakini mnatunukisha uvundoo.
Kwenye dala dala tunapanda woteSasa we ukisikia uvundo unanihusu nini wakati hatulali wote.
Da vinci sio mwanamke, jana aliweka uzi wa kukanusha kuwa sio mwanamke, japo baadae mods walifanya yao kwenye huo uzi. Alisema yeye anatumia hiyo ID na mwanamke hivyo kuna wakati huyo mwanamke anaweka post zake kwa mfano ile ya kutafuta kazi.Ina maana wanawake wote hao umeona mwenye rangi nyekundu tu??
Dunia ikisimama na mie nitag nishuke nishajichokeaWanawake kama wana laana fulani. Wanakaa nayo kichwani hadi yananuka au kutoa vumbi yeye hata hasikii harufu, kila siku asubuhi anapilizia manukato. Mvua ikinyesha ananunua mfuko warambo anavaa kichwani.
Siyapendi, siyapendi, siyapendi. Nikiliona nahisi kutapika. Yakinyeshewa yakalowana yananika kama Vyoo vya sokoni.
Dunia simama nishuke.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu mimi sikuishia kwenye kupiga marufuku tu bali nilimpeleka kwa mwanasheria akasign mkataba wakutokuvaa wigi maisha yake yote tutakayoishi pamoja kisha akala na kiapo juu............
Mkurya wa NyamongoHuyo anaekununulia itakua ni mwanaume wa Dar.
Mvumilie maana hatushindi siku nzimaKwenye dala dala tunapanda wote
Na sisi wavaa mawig hatuwajali wala nini. Mimi bf wangu ananinunulia nywele mwenyewe. Sasa ndo niache kuvaa kweli kisa mwanaume wa JF kasema wakati hata hajui gharama yake.
Wewe hautumii hizo kitu?Aisee!!!
hahaha, nywele zangu asili kama tunavyotunza misitu yetu ya asili. hahahahahahahWewe hautumii hizo kitu?
Nitajibu kwa sababu sina nywele.Pengine ukiulizwa, kwa nini unavaa mawigi?Utajibu nini?
Inaelekea hawayapendi ila kutuambia live wanashindwa.I am yet to meet a man who has anything positive to say about wigs πππππ
Bado sana kukutana na mwanamme yeyote aliesifia mawigi
[emoji23] [emoji23] [emoji23]View attachment 797387
Naomba kuwasilisha.....