Wanawake hebu kuweni makini na ikulu zenu kama kukiwa na harufu inakata mzuka wote

Huyu yupo kama dada mmoja anaitwa happy g, yaani sijawahi ona mnyakyusa ananuka vile. Air freshener iliisha yote.

Mkiwacha mnaogeza tatizo wapelekeni hospital na muwaambie wanaumwa sio normal mkiwaacha mnazidisha tatizo
 
Chakula kama chakula
Acha kuwaza ngono wewe
Umewahi kuniona nangonoka?
Mimi nimeamua kutuliaga kitambo sana.
Niko safi rohoni na mwilini🤣🤣
 
Nzi anakula vilivyo oza wewe umeshindwa harufu tu.
 

Ilikuchukua dakika ngapi tangu umemuona hadi kukutana nae!?
Ungemwambia mwenyewe huku ulikoleta hawezi kukusikia
 
Ilikuchukua dakika ngapi tangu umemuona hadi kukutana na Haruni!?
Ungemwambia mwenyewe huku ulikoleta hawezi kukusikia
Hivi Haruni ni nani hapo?
🤣🤣🤣🤣🤣watu mmepinda sana
 
Demi usinicheke kuacha uzinzi kazi sana.
Unapodhamiria kuacha ndio kwanza watoto wazuri wanakulegezea macho...unaanza kukemea shindwa🤣🤣🤣
 
We jiombee tu mwenyewe kwa kweli...
Kila mtu apambanie dhambi zake😅
Ongezea nguvu ndugu yangu.
Unajua wewe mutu muhimu kwangu.

Nimejikaza ssna nakujiombea hiki kikombe kisijirudie plz maombi yako muhimu😅😅😅
 
Demi usinicheke kuacha uzinzi kazi sana.
Unapodhamiria kuacha ndio kwanza watoto wazuri wanakulegezea macho...unaanza kukemea shindwa🤣🤣🤣
Naanzaje kukucheka? Ni jambo zuri unapaswa kupongezwa umefanya maamuzi sahihi. Hallelujah!
 
Ongezea nguvu ndugu yangu.
Unajua wewe mutu muhimu kwangu.

Nimejikaza ssna nakujiombea hiki kikombe kisijirudie plz maombi yako muhimu😅😅😅
Kumbe ulikuwaga mzinzi? Hata hufananii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…