Wanawake, hivi kupika vizuri lazima mjaze mafuta kibao kwenye chakula?

Wanawake, hivi kupika vizuri lazima mjaze mafuta kibao kwenye chakula?

mjinga kweli wewe...unatuhukumu wanawake woote kwa kosa la mwanamke wako? Pamabana na 'slay queen' wako huko!
BTW wanawake sio wa kupika tu, pikaga hata wewe siku nyengine
Haaaaaaaa mwambie huyo
 
Mwisho wa siku anaanza ....mbona unapiga kimoja tu....anakuwa amesahau kuwa ni yale mafuta anayozidisha kwenye msosi...
 
Jamani kuna jambo linanikera kwelikweli.
Kuna kasumba imeota mizizi kwa sasa, sijui niseme wanawake hawajui kupika au wanadhani wanaume tunapenda mafuta sana.

Hii tabia ya kumwaga mafuta kwenye chakula ni tabia ya hovyo mno, mtu unatoka mishe mishe una njaa unafika home unajisemea kimoyo chakula kije haraka nina njaa, hicho chakula kikiletwa ukitia mkono tu kama ni mboga basi mafuta yanang'aa yamewekwa kibao.

Hivi mnataka kukomoa mtu kupitia bajeti ya kununua mafuta au mnataka kukomoa mtu kiafya?
, kwa nyie wanawake mnaoamini kwamba mapishi mazuri ni lazima mafuta yawe kibao mtatuua kwa magonjwa nawambia.

Takwimu za watu wenye pressure na kisukari zimeongezeka, fanyeni research ndogo tu mtaani kwenu mnapokaa mtakubaliana na mimi.

Upishi mbaya ni kuangamiza afya ya mwanaume na familia pia, kibaya zaidi ni kwamba baada ya muda mwanaume anaweza kubaki mwanaume jina tu. (Mnielewe vizuri hapa).

Hebu badilikeni
Pole sana kwa kupata mwanamke asiyejua kupika, ila ingekuwa busara kama ungemuelimisha huko huko nyumbani kuliko kuja kumuanika huku. Nimejaribu kufikiria hicho kitambi chako kitakuwa cha aina gani kitambi mchongoko, mviringo au kile cha dizain ya utapia mlo [emoji28][emoji28]
 
Pole sana kwa kupata mwanamke asiyejua kupika, ila ingekuwa busara kama ungemuelimisha huko huko nyumbani kuliko kuja kumuanika huku. Nimejaribu kufikiria hicho kitambi chako kitakuwa cha aina gani kitambi mchongoko, mviringo au kile cha dizain ya utapia mlo [emoji28][emoji28]
Kitambi mpakato [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ha ha mkuu si uingie jikoni upike ha ha

Pole kiukweli Chakula kikijaa mafuta kinakera hadi kinakifu haraka.....ongea na bibie ajifunze mapishi...siku hizi binti akiwa hajui kupika ni ujinga wake mwenyewe....aingie youtube / group za FB za mapishi ajifunze.
Mkuu nimeshaongea nae mno lakini wapiiii
Ataacha leo kesho mafuta kedekede.
Sasa napata hasira kugombana na mke wangu kisa jambo dogo kama hili, yaani ni jambo dogo mno lakini mwenzangu haelewi kabisaaa.
 
Mkeo umeogopa kumwambia unakuja kutuambia sie? Utakuwa hujatatua tatizo na leo ukirudi utakutana na yale yale. Mwambie nini unapenda, simple!
Nimesema mno, mpaka kwa friends zangu naona huu ugonjwa upo karibia sehemu nyingi kwa sasa.
Kama kwako hakuna hili tatizo shukuru Mungu, jaribu kutembea nyumba mbili tatu utapata majibu.
Hapa JF kuna watanzania wengi sana lazima niwambie wajue na wachukue tahadhari, Sharing is caring
 
Hawa wanawake wanao vaa suruali, wanaopaka rangi kucha, mdomo, nywele na uso, hawajui kupika...
Wala hawapendi... Wakubali wakatae ukweli ndo huo
 
Nimesema mno, mpaka kwa friends zangu naona huu ugonjwa upo karibia sehemu nyingi kwa sasa.
Kama kwako hakuna hili tatizo shukuru Mungu, jaribu kutembea nyumba mbili tatu utapata majibu.
Hapa JF kuna watanzania wengi sana lazima niwambie wajue na wachukue tahadhari, Sharing is caring
Mi naambiwa mara moja nasikiliza. Ajiri mpishi maana ni mkeo huyo ataendelea kuwepo. Mvumilie ndo chaguo lako.
 
Jamani kuna jambo linanikera kwelikweli.
Kuna kasumba imeota mizizi kwa sasa, sijui niseme wanawake hawajui kupika au wanadhani wanaume tunapenda mafuta sana.

Hii tabia ya kumwaga mafuta kwenye chakula ni tabia ya hovyo mno, mtu unatoka mishe mishe una njaa unafika home unajisemea kimoyo chakula kije haraka nina njaa, hicho chakula kikiletwa ukitia mkono tu kama ni mboga basi mafuta yanang'aa yamewekwa kibao.

Hivi mnataka kukomoa mtu kupitia bajeti ya kununua mafuta au mnataka kukomoa mtu kiafya?
, kwa nyie wanawake mnaoamini kwamba mapishi mazuri ni lazima mafuta yawe kibao mtatuua kwa magonjwa nawambia.

Takwimu za watu wenye pressure na kisukari zimeongezeka, fanyeni research ndogo tu mtaani kwenu mnapokaa mtakubaliana na mimi.

Upishi mbaya ni kuangamiza afya ya mwanaume na familia pia, kibaya zaidi ni kwamba baada ya muda mwanaume anaweza kubaki mwanaume jina tu. (Mnielewe vizuri hapa).


Hebu badilikeni.

UPDATES;
Naona mnatoa povu wanawake na baadhi ya wanaume, ila hili suala sio kwangu tu, watu wengi mnakula misosi ya hovyo siku hizi.

Mimi siishi kisiwani, nina marafiki, nina ndugu na jamaa, katika tour za mara moja moja nimebaini mapishi ya nyumbani kwangu na huko kwingine matumizi ya mafuta yamefanana.

Nyie mnao ni attack endeleeni ila ujumbe mmeupata, lengo mbadilike, mke wangu nimeshazungumza nae sasa nazungumza na nyinyi msiokua wake zangu, nyie ni shemeji zangu huu ujumbe uchukueni, mtatuua hata kama hampendi kuambiwa ukweli ndio nawambia sasa.

Povu ruksa.
Mkeo ndio hajui kupika, unataka kuniambia hata aliyekuzaa au mlezi wako naye alikuwa anajaza mafuta hivyo hivyo? Kumbuka unapotaja wanawake unagusa wengi
 
Mkeo ndio hajui kupika, unataka kuniambia hata aliyekuzaa au mlezi wako naye alikuwa anajaza mafuta hivyo hivyo? Kumbuka unapotaja wanawake unagusa wengi
Acha kuleta weak arguments, wapi nimesema wanawake wote?

We kubali kataa hili ni tatizo jipya limejitokeza kama kwako halipo basi kwa baadhi ya ndugu zako lipo.
Ukinuna sawa ila huo ndio ukweli, kuna wanawake wengine ni hovyo mno.
 
Back
Top Bottom