malogi1976
JF-Expert Member
- Apr 22, 2016
- 297
- 168
Haaaaaaaa mwambie huyomjinga kweli wewe...unatuhukumu wanawake woote kwa kosa la mwanamke wako? Pamabana na 'slay queen' wako huko!
BTW wanawake sio wa kupika tu, pikaga hata wewe siku nyengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaaaaaa mwambie huyomjinga kweli wewe...unatuhukumu wanawake woote kwa kosa la mwanamke wako? Pamabana na 'slay queen' wako huko!
BTW wanawake sio wa kupika tu, pikaga hata wewe siku nyengine
Pole sana kwa kupata mwanamke asiyejua kupika, ila ingekuwa busara kama ungemuelimisha huko huko nyumbani kuliko kuja kumuanika huku. Nimejaribu kufikiria hicho kitambi chako kitakuwa cha aina gani kitambi mchongoko, mviringo au kile cha dizain ya utapia mlo [emoji28][emoji28]Jamani kuna jambo linanikera kwelikweli.
Kuna kasumba imeota mizizi kwa sasa, sijui niseme wanawake hawajui kupika au wanadhani wanaume tunapenda mafuta sana.
Hii tabia ya kumwaga mafuta kwenye chakula ni tabia ya hovyo mno, mtu unatoka mishe mishe una njaa unafika home unajisemea kimoyo chakula kije haraka nina njaa, hicho chakula kikiletwa ukitia mkono tu kama ni mboga basi mafuta yanang'aa yamewekwa kibao.
Hivi mnataka kukomoa mtu kupitia bajeti ya kununua mafuta au mnataka kukomoa mtu kiafya?
, kwa nyie wanawake mnaoamini kwamba mapishi mazuri ni lazima mafuta yawe kibao mtatuua kwa magonjwa nawambia.
Takwimu za watu wenye pressure na kisukari zimeongezeka, fanyeni research ndogo tu mtaani kwenu mnapokaa mtakubaliana na mimi.
Upishi mbaya ni kuangamiza afya ya mwanaume na familia pia, kibaya zaidi ni kwamba baada ya muda mwanaume anaweza kubaki mwanaume jina tu. (Mnielewe vizuri hapa).
Hebu badilikeni
Kitambi mpakato [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole sana kwa kupata mwanamke asiyejua kupika, ila ingekuwa busara kama ungemuelimisha huko huko nyumbani kuliko kuja kumuanika huku. Nimejaribu kufikiria hicho kitambi chako kitakuwa cha aina gani kitambi mchongoko, mviringo au kile cha dizain ya utapia mlo [emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kitambi mpakato [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naubga mkono hoja, halafuu........ inaonesha yeye hajui kupikaPovu lazima, kama wanawake zake hawajui kupika asifikiri ni wote tena asirudie!
Nhhh naon umemaind imekugux nnSema hivi 'Mwanamke/Wanawake wangu hovyo sana' Sisi hatupiki hivyo eee.
Halafu ukikasirika sana pika mwenyewe ili usipate pressure hutaki lazima uote kitambi mbinuko.
Mkuu nimeshaongea nae mno lakini wapiiiiHa ha mkuu si uingie jikoni upike ha ha
Pole kiukweli Chakula kikijaa mafuta kinakera hadi kinakifu haraka.....ongea na bibie ajifunze mapishi...siku hizi binti akiwa hajui kupika ni ujinga wake mwenyewe....aingie youtube / group za FB za mapishi ajifunze.
Nimesema mno, mpaka kwa friends zangu naona huu ugonjwa upo karibia sehemu nyingi kwa sasa.Mkeo umeogopa kumwambia unakuja kutuambia sie? Utakuwa hujatatua tatizo na leo ukirudi utakutana na yale yale. Mwambie nini unapenda, simple!
Mi naambiwa mara moja nasikiliza. Ajiri mpishi maana ni mkeo huyo ataendelea kuwepo. Mvumilie ndo chaguo lako.Nimesema mno, mpaka kwa friends zangu naona huu ugonjwa upo karibia sehemu nyingi kwa sasa.
Kama kwako hakuna hili tatizo shukuru Mungu, jaribu kutembea nyumba mbili tatu utapata majibu.
Hapa JF kuna watanzania wengi sana lazima niwambie wajue na wachukue tahadhari, Sharing is caring
Hahahaaaa mkuu kuajiri mtu ni ngumu yeye ataelewa tu.Mi naambiwa mara moja nasikiliza. Ajiri mpishi maana ni mkeo huyo ataendelea kuwepo. Mvumilie ndo chaguo lako.
Kwanini mkuuMleta Mada Una Ujasiri Wa Hari Ya Juu
Mkeo ndio hajui kupika, unataka kuniambia hata aliyekuzaa au mlezi wako naye alikuwa anajaza mafuta hivyo hivyo? Kumbuka unapotaja wanawake unagusa wengiJamani kuna jambo linanikera kwelikweli.
Kuna kasumba imeota mizizi kwa sasa, sijui niseme wanawake hawajui kupika au wanadhani wanaume tunapenda mafuta sana.
Hii tabia ya kumwaga mafuta kwenye chakula ni tabia ya hovyo mno, mtu unatoka mishe mishe una njaa unafika home unajisemea kimoyo chakula kije haraka nina njaa, hicho chakula kikiletwa ukitia mkono tu kama ni mboga basi mafuta yanang'aa yamewekwa kibao.
Hivi mnataka kukomoa mtu kupitia bajeti ya kununua mafuta au mnataka kukomoa mtu kiafya?
, kwa nyie wanawake mnaoamini kwamba mapishi mazuri ni lazima mafuta yawe kibao mtatuua kwa magonjwa nawambia.
Takwimu za watu wenye pressure na kisukari zimeongezeka, fanyeni research ndogo tu mtaani kwenu mnapokaa mtakubaliana na mimi.
Upishi mbaya ni kuangamiza afya ya mwanaume na familia pia, kibaya zaidi ni kwamba baada ya muda mwanaume anaweza kubaki mwanaume jina tu. (Mnielewe vizuri hapa).
Hebu badilikeni.
UPDATES;
Naona mnatoa povu wanawake na baadhi ya wanaume, ila hili suala sio kwangu tu, watu wengi mnakula misosi ya hovyo siku hizi.
Mimi siishi kisiwani, nina marafiki, nina ndugu na jamaa, katika tour za mara moja moja nimebaini mapishi ya nyumbani kwangu na huko kwingine matumizi ya mafuta yamefanana.
Nyie mnao ni attack endeleeni ila ujumbe mmeupata, lengo mbadilike, mke wangu nimeshazungumza nae sasa nazungumza na nyinyi msiokua wake zangu, nyie ni shemeji zangu huu ujumbe uchukueni, mtatuua hata kama hampendi kuambiwa ukweli ndio nawambia sasa.
Povu ruksa.
Haya kila la kheri!Hahahaaaa mkuu kuajiri mtu ni ngumu yeye ataelewa tu.
Nhhh naon umemaind imekugux nn
Acha kuleta weak arguments, wapi nimesema wanawake wote?Mkeo ndio hajui kupika, unataka kuniambia hata aliyekuzaa au mlezi wako naye alikuwa anajaza mafuta hivyo hivyo? Kumbuka unapotaja wanawake unagusa wengi