Wanawake, hivi kupika vizuri lazima mjaze mafuta kibao kwenye chakula?

Wanawake, hivi kupika vizuri lazima mjaze mafuta kibao kwenye chakula?

Hahahaha
Yaani wanaume mnachekesha jamaani..... Alivyokuwa anakuja kwako mkiwa wachumba si ulikuwa waenda mnunulia chakula eee!!! Pambana na ndoa yako,wengine lita tano twatumia miezi miwili na wiki moja na siku tatu!!
 
Hahahaha
Yaani wanaume mnachekesha jamaani..... Alivyokuwa anakuja kwako mkiwa wachumba si ulikuwa waenda mnunulia chakula eee!!! Pambana na ndoa yako,wengine lita tano twatumia miezi miwili na wiki moja na siku tatu!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sitamuacha mke wangu kwa sabab ya mafuta kwenye chakula, ila hali hii inakwaza sana mkuu.
Ngoja nipambane na hali yangu.
 
Ni kweli kabisa....wanawake wengi wanajisifu wanajua kupika lakini wanachofanya ni kurundika mafuta kwenye mboga.....mimi nilikishaa chaga kula nyumbani...nakula mara chache sana...hata hivyo mke wangu huwa haingii jikoni kabisa....nilishamshindwaga ..yeye na wadogo zake wote ni hivyohivyo...hapa nawasema mahouse girls

Kama ndio utetezi wako, sijatukana mtu hapa.
Nawambia ukweli baadhi ya wanawake wanaotuletea magonjwa kizembe.
Kama unawatetea endelea kuwatetea na uunde chama cha kutetea wanawake wanaopika vibaya.
Tatizo lenu mnaoa sura zikiwakifu mnakuja kulalamika JF tena mnatumia lugha mbovu utafikiri mlilazimishwa kuoa, ndio mpambane na hali zenu kuna aliyewachagulia?
 
Acha kuleta weak arguments, wapi nimesema wanawake wote?

We kubali kataa hili ni tatizo jipya limejitokeza kama kwako halipo basi kwa baadhi ya ndugu zako lipo.
Ukinuna sawa ila huo ndio ukweli, kuna wanawake wengine ni hovyo mno.
Umeruhusu povu halafu linakuwasha soma heading hapo
 
Asa sie watu wa pwan ambao kila kitu naz waume zetu wasemeje... Sema na mke wako maandiko hapa hayakusaidii kitu
 
Teh teh !! Khaaa bwana wewe!! Si umwambie mkeo nini kuja kumsemea huku!??? Hee!!!
 
Eti mfundishe
Mwanamke hatakiwi fundishwa pika
 
Asa sie watu wa pwan ambao kila kitu naz waume zetu wasemeje... Sema na mke wako maandiko hapa hayakusaidii kitu
Najua hapa haisaidii lolote maana mke wangu hayupo humu ila nimeandika wanawake wenye tabia kama hii waache.
Kwa namna moja najaribu kusaidia jamii yangu kupitia andiko hili

Unadhani kila mtu akiamua kufanya mambo yake yeye kama yeye humu jf kuna mada italetwa?

Ndio maana jf ni darasa na jf ni user generated content (ndio maana tunaandika humu)
 
Hawa wanawake wanaojifunza Google kupika au ITV kwenye mapishi ya bi Chau unafikiri wanajali afya za waume zao ?
Kikubwa ule tu hata ukifa na pressure yeye hajui hilo ukiishiwa pumzi kitandani wanasema umechepuka.
Shida tupu.
 
Kosa la wazazi kutokufundisha mabinti zao kupika.
Unatengewa chakula mezani kila ukizungusha macho yako kwenye chakula SUMU TUPU
Kesho kiharusi hicho ofisini.
Na misibani wanalia kama ving'ora vya msafara wa rais kumbe wameua bila kukusudia
 
Huwa nawaambia mkipika unaweka nazi usiweke mafuta au mafuta yawe kidogo sana kwa mbali, asilimia kubwa ya mogonjwa ya moyo ni kula mafuta mengi sana yenye cholestrol
Wanawake wengi,n wabishi eti,
Hata ukila migahawani,vyakula vyingi vimejaa mafuta,

Hii kweli inaudhi sana,kama n nyama imejaa mafuta kibao,ikipoa tu,yameganda.
Si wakati wote m/me utaingia jikon I umuelekeze au upoke mwenyewe.
Wengine hata nazi hawawezi kuitumia,wanasema hawawezi kukuna.Really?,
Halafu Mzee akiishiwa nguvu,wanakuja kulalama hapa Jf,.
Piken vyakula vizuri,visivyojaa mafuta,kuziweka afya za waume zenu na zenu better
 
Tena Yale mamwanamke manene manene ndo yanapenda kupika na Mafuta meengi! Yanajifanya yamepika chakula cha gharama, yanakuwaga yananuka kuanzia mdomoni mpaka kila sehemu! mpaka roho imenichafuka khaa!
Wewe na mtoa mada mnaumwa ugonjwa unoafanana
 
Mkeo umeogopa kumwambia unakuja kutuambia sie? Utakuwa hujatatua tatizo na leo ukirudi utakutana na yale yale. Mwambie nini unapenda, simple!
Amwambie wakati mkewe ndio breadwinner hajitaki! Ndio maana mwenzio anaishia kupumulia humu..
 
Amwambie wakati mkewe ndio breadwinner hajitaki! Ndio maana mwenzio anaishia kupumulia humu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pole sana kwa kupata mwanamke asiyejua kupika, ila ingekuwa busara kama ungemuelimisha huko huko nyumbani kuliko kuja kumuanika huku. Nimejaribu kufikiria hicho kitambi chako kitakuwa cha aina gani kitambi mchongoko, mviringo au kile cha dizain ya utapia mlo [emoji28][emoji28]


hahahahaha ney jaman dah
 
Back
Top Bottom