Wanawake hivi mkiachana kwenye mapenzi ni lazima muwe maadui?

Wanawake hivi mkiachana kwenye mapenzi ni lazima muwe maadui?

Eddy Love

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2011
Posts
13,654
Reaction score
8,564
Unakuta mwanamke hujawai kutembea naye wala kumfanyia baya lolote lile lakini bahati mbaya mahusiano yamevunjika tu ghafla, hakuna mawasiliano pande zote mbili lakini siku unamuona online umemtumia tu ujumbe wa kumsalimu povu linamtoka vibaya na tena haliishii hapo atatoa nyuzi zinazokuhusu wewe kila kukicha kwenye mitandao ya kijamii na unajaribu kuomba myamalize ili mtoe tofauti zenu bado povu linamtoka.

Je, hii inamaanisha nini?

1627885878259.png
 
Kama Wanawake Mnamajibu Ya Hovyo Mnasafari Ndefu kweli
 
Yaani kama wewe mwanaume unatafuta demu mkali mpaka aliye kuacha atajiona mitakataka
 
Baelezee baelewe ba mutu ya kuvuja damu kila kumwezi!!! Mzee umenikumbusha mbali kdogo nikiwa chuo kikuu mwaka wa kwanza kuna mtoto mmoja hiv wa kike alitokea kunielewa,nikawa nampigisha story tu namwacha na kila cku akawa ananiletea vtaarifa vya udaku Mara m2 flani kanitongoza...

Hapo ananionyesha mpaka msg za huyo aliyemtongoza.Nikawa namchunguza taratbu baadae nikagundua ni mwingi wa habari beki hazkabi,nikaanza kujiepusha nae taratbu kabla cjala 'the river between yake'.Nakumbuka cku moja boom likawa limetoka akaanza 'oooooohhhhh ninunulie smartphone ya laki sita mm cm ya imeharbika' hapo ndyo nikajitenga nae moja kwa moja, sasa kilichofuatia akaanza kunichafulia jina akidai mm huwa namtongoza kila mwanamke lakn ukwel haukuwa hivyo kwa kuwa ckuwa mtongoza mwanamke yeyote ktk mazngira ya chuo hata yeye mwenyewe ckuwahi kumvua chupi.
 
Du m mwenyew imenitokea..demu tunakaa nae house moja,..tulipoachana hata salam yangu hapokei .nimeamua na mimi kumpotezea hata salamu..mana akiniona hata njia anageuza
 
Hapo hapo Mimi kila mwezi mwanaume niliye achana nae hawezi pitisha hajanitukana jmn alfu sasa akikaa wiki anakuja kukuomba samahani anaanza kukumbushia mapnz yenu yalivyokuwa yani anachosha vby
 
Hi ishu ni kwl dada zet wanatoaga mapovu sana lkn ss tukitafutwa na maex wetu full shangwe
 
Back
Top Bottom