Baelezee baelewe ba mutu ya kuvuja damu kila kumwezi!!! Mzee umenikumbusha mbali kdogo nikiwa chuo kikuu mwaka wa kwanza kuna mtoto mmoja hiv wa kike alitokea kunielewa,nikawa nampigisha story tu namwacha na kila cku akawa ananiletea vtaarifa vya udaku Mara m2 flani kanitongoza...
Hapo ananionyesha mpaka msg za huyo aliyemtongoza.Nikawa namchunguza taratbu baadae nikagundua ni mwingi wa habari beki hazkabi,nikaanza kujiepusha nae taratbu kabla cjala 'the river between yake'.Nakumbuka cku moja boom likawa limetoka akaanza 'oooooohhhhh ninunulie smartphone ya laki sita mm cm ya imeharbika' hapo ndyo nikajitenga nae moja kwa moja, sasa kilichofuatia akaanza kunichafulia jina akidai mm huwa namtongoza kila mwanamke lakn ukwel haukuwa hivyo kwa kuwa ckuwa mtongoza mwanamke yeyote ktk mazngira ya chuo hata yeye mwenyewe ckuwahi kumvua chupi.