Wanawake hivi mnapendea nini sauti nzito?

Wanawake hivi mnapendea nini sauti nzito?

Sauti nzito tamu hasa mwenye nayo akiwa anafika mshindo, nahisi kudeka na usalama mikononi mwa Simba dume.

Ni Kama muungurumo wa Simba tu hasa Kama uliwahi kuusikia live ile hisia unapata ndo hiyo wanawake tunaojua maana ya besi tunavyofeel tukiwasikia.
Teh teh teh!
 
Yaishe maana tunapoelekea siko, na mm uwa sikawii kujipotezea heshima yangu.
Mi sijali chochote kukuhusu ujipotezee heshima au usijipotezee, na ktk hayo hakuna ambapo unaweza kufanya niipoteze heshima yangu😂😂Kama ndo lilikuwa lengo lako
 
Mi sijali chochote kukuhusu ujipotezee heshima au usijipotezee, na ktk hayo hakuna ambapo unaweza kufanya niipoteze heshima yangu😂😂Kama ndo lilikuwa lengo lako
si yaishe basi no body care.
 
Sauti nzito sauti ya mamlaka..
Inaniongezea nyege na mdeko wakati wa kupigwa miti..navurugwa dudu ya baba chanja ikiwa ndani yangu akiwa anapiga mikito yake na kunisemea masikioni mwangu..😋..acha tu
Nakuonba na nakusihi sana,Kama umeolewa usiwe unatoa komenti za namna hii,nakuomba ndugu yangu.
Mchango wako umeeleweka ingawa umenisababishia usumbufu.
 
Mimi binafsi sauti langu nalichukia yaani unakuta siku lisauti linakuwa lizito kama umemeza kokoto, cha kushangaza eti kuna lidada limoja huwa linaniambiaga anapenda sauti yangu ilivyo yani hadi namshangaa.

Hivi mnapendea nini sauti nzito yaani inakuwa inawapa feeling gani sisi wenyewe hatupendi hii misauti nyie mnapenda.

Kuna mwingine ana video za Obama kibao ukimuuliza kwanini anasema eti anapenda sauti yake tu sasa hii misauti mizito yetu nyie iweje muipende.
Sasa me niongee kisauti chembama na mwanaume na yey kisauti chembamba.... Mhh si balaa hilo
 
HV Kwan mabausa wengi wabasauti ndogo Sana leo nimekutana jamaa kijeba kweli sauti yake Sasa ndogo hata awez kuongeaa nilimsikitiki kwa ubansa bila sauti ya kiumee
 
Mimi binafsi sauti langu nalichukia yaani unakuta siku lisauti linakuwa lizito kama umemeza kokoto, cha kushangaza eti kuna lidada limoja huwa linaniambiaga anapenda sauti yangu ilivyo yani hadi namshangaa.

Hivi mnapendea nini sauti nzito yaani inakuwa inawapa feeling gani sisi wenyewe hatupendi hii misauti nyie mnapenda.

Kuna mwingine ana video za Obama kibao ukimuuliza kwanini anasema eti anapenda sauti yake tu sasa hii misauti mizito yetu nyie iweje muipende.
Niwe na sauti nyooooo na wewe uwenasauti nyororo,sauti ya mamalaka hiyo
 
Sauti nzito sauti ya mamlaka..
Inaniongezea nyege na mdeko wakati wa kupigwa miti..navurugwa dudu ya baba chanja ikiwa ndani yangu akiwa anapiga mikito yake na kunisemea masikioni mwangu..😋..acha tu
Umeua dydadya,sasa imagine dyudyu ya baba chanja iwe ndani Halafu sauti inatoka ya we a sepetu
 
Ni ukweli usiojificha aseee sauti nzito ni tam,,inatia hamasa saana yaani inasisimua haswaaaa. Na hao vijana wenye saut nzito ni kama wachache vile
 
Mimi binafsi sauti langu nalichukia yaani unakuta siku lisauti linakuwa lizito kama umemeza kokoto, cha kushangaza eti kuna lidada limoja huwa linaniambiaga anapenda sauti yangu ilivyo yani hadi namshangaa.

Hivi mnapendea nini sauti nzito yaani inakuwa inawapa feeling gani sisi wenyewe hatupendi hii misauti nyie mnapenda.

Kuna mwingine ana video za Obama kibao ukimuuliza kwanini anasema eti anapenda sauti yake tu sasa hii misauti mizito yetu nyie iweje muipende.

You should pay for this advert
 
Back
Top Bottom