Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Huyo ni mtu na nusu, hanaga noma asee[emoji23]Countrywide umepata sana, hebu ongeza mahari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni mtu na nusu, hanaga noma asee[emoji23]Countrywide umepata sana, hebu ongeza mahari
Bila shaka haujaelewa uzi[emoji3526][emoji3526] HATUOI SINGO MAZA.
Ila hii nchi ni ngumu sana 😹😹😹Habari ndugu wanajf?
Kuna mjadala uaendelea humu JF kuhusu single maza, wanaume kwa pamoja tumekubaliana HATUOI single maza.
Turudi kwenu wanawake, hivi na nyinyi mkikuta mwanaume ana mtoto mnakataa kuolewa naye?? 🤔🤔
Lidada langu lina moyo mzuri sana, furahia mkuuHuyo ni mtu na nusu, hanaga noma asee[emoji23]
Yes mazuri mengi sanaLidada langu lina moyo mzuri sana, furahia mkuu
GoodYes mazuri mengi sana
[emoji3][emoji3][emoji3]Kukubali mpaka tuonyweshe kaburi la mama mtoto..
Wewe ndio hujanielewa.Bila shaka haujaelewa uzi
Swali limeelekezwa kwa Wanawake. Inabidi tuwasikie wanawake wajibu.Wewe ndio hujanielewa.
Wengi wanakubali na kumshawishi single Baba amtelekeze mtoto [emoji3525][emoji3525][emoji3525]Habari ndugu wanajf?
Kuna mjadala uaendelea humu JF kuhusu single maza, wanaume kwa pamoja tumekubaliana HATUOI single maza.
Turudi kwenu wanawake, hivi na nyinyi mkikuta mwanaume ana mtoto mnakataa kuolewa naye?? [emoji848][emoji848]
😉😉😉Ukweli ndio huo, me nimempenda baba yao hayo mengine ya kwao wao na mama zao!!
Na mama zao wakiwafundisha ujinga, nawapiga pin hakuna kwenda kwa mama zao wana tabia mbaya wataniharibia watoto wangu ( watoto wa mume)🤣🤣🤣🤣
Me ndio maza hausi wote wako chini yangu kasoro mume wangu
Sawa sawa kipenzi, hakuna kupepesa machoNinaolewa nae vizuri saaaaanaa. Tena huyo/g
Hao watoto nitawapenda kama wanangu wa kuwazaa,Ila kuna baadhi ya vitu vya msingi ni lazima aviweke wazi ni muhimu
Ongeza mahari acha kona kona 🤣🤣🤣Huyo ni mtu na nusu, hanaga noma asee[emoji23]
Lidada lenyewe sasa 🤭🤭😍😍Lidada langu lina moyo mzuri sana, furahia mkuu
😘😘😘💋Yes mazuri mengi sana