Wanawake hujifanya wana mood swings na kuitumia kutesa na kupelekesha wanaume mabwege

Wanawake hujifanya wana mood swings na kuitumia kutesa na kupelekesha wanaume mabwege

Mi nna pepo la kupenda nadhani au moyo dhaifu, nilihamua kuwa mtu wa ku-hit and run nimechemka, nimenasa kwa mtoto wa kizigua, week iliyopita tumezinguana, akasema kama vipi tuachane, mi nikamuambia poa, kiukweli nilitokwa na jasho baadae, nikimpigia simu hapokei tena, msg hajibu, nikakodi boda hadi kwao kimara usiku wa saa nne, kufika kumuona ndio presha ikashuka baada mzee kuhamua kuwa mpole,


MOyo dhaifu ni hatari sana kwenye mapenzi,, yule mzigua ashagundua udhaifu wangu sasaivi ataniendesha sana, nataka nimuwai kwa sheikh fulani anipe kombe nimsahau nirudi kwenye mfumo wa kula na kusepa(hit &run),
 
Mi nna pepo la kupenda nadhani au moyo dhaifu, nilihamua kuwa mtu wa ku-hit and run nimechemka, nimenasa kwa mtoto wa kizigua, week iliyopita tumezinguana, akasema kama vipi tuachane, mi nikamuambia poa, kiukweli nilitokwa na jasho baadae, nikimpigia simu hapokei tena, msg hajibu, nikakodi boda hadi kwao kimara usiku wa saa nne, kufika kumuona ndio presha ikashuka baada mzee kuhamua kuwa mpole,


MOyo dhaifu ni hatari sana kwenye mapenzi,, yule mzigua ashagundua udhaifu wangu sasaivi ataniendesha sana, nataka nimuwai kwa sheikh fulani anipe kombe nimsahau nirudi kwenye mfumo wa kula na kusepa(hit &run),

Ili uwe na moyo mgumu lazima utoe kafara kile ulichokipenda zaidi
 
Ni kama kumtia demu mimba, ukijifanya ndio mtu wa ku care ooh mara baby what do you need...bby unajisikiaje? aisee hiyo mimba itawatesa kinoma. Ila ukikojoa na kusepa zako utashanga had manzi anajifungua hata kichefuchefu hapati.
 
Ni kama kumtia demu mimba, ukijifanya ndio mtu wa ku care ooh mara baby what do you need...bby unajisikiaje? aisee hiyo mimba itawatesa kinoma. Ila ukikojoa na kusepa zako utashanga had manzi anajifungua hata kichefuchefu hapati.

😂😂😂

Watakubishia.
Wanawake wanajua kwenda na beat
 
Back
Top Bottom