Mi nna pepo la kupenda nadhani au moyo dhaifu, nilihamua kuwa mtu wa ku-hit and run nimechemka, nimenasa kwa mtoto wa kizigua, week iliyopita tumezinguana, akasema kama vipi tuachane, mi nikamuambia poa, kiukweli nilitokwa na jasho baadae, nikimpigia simu hapokei tena, msg hajibu, nikakodi boda hadi kwao kimara usiku wa saa nne, kufika kumuona ndio presha ikashuka baada mzee kuhamua kuwa mpole,
MOyo dhaifu ni hatari sana kwenye mapenzi,, yule mzigua ashagundua udhaifu wangu sasaivi ataniendesha sana, nataka nimuwai kwa sheikh fulani anipe kombe nimsahau nirudi kwenye mfumo wa kula na kusepa(hit &run),
MOyo dhaifu ni hatari sana kwenye mapenzi,, yule mzigua ashagundua udhaifu wangu sasaivi ataniendesha sana, nataka nimuwai kwa sheikh fulani anipe kombe nimsahau nirudi kwenye mfumo wa kula na kusepa(hit &run),