😅😅😅😅😅😅😅yaaniHii thread wanawake tutacomment kwa uoga sana dah.....bora ungetuandikia pm tu 😂😂
Anyway Nazjaz acha mikwara 😁
Huyu mwanamke ni mpumbavu..anajisifu ujinga...eti ukahaba na uchawi...dah kweli wanaume tuna kazi ..imagine ni mke wa mtu huyu[emoji38]Mind your language blaza
Huyu mwanamke ni mpumbavu..anajisifu ujinga...eti ukahaba na uchawi...dah kweli wanaume tuna kazi ..imagine ni mke wa mtu huyu[emoji38]
Uko sahihi, maana tangu kuumbwa kwa dunia ni mwanamke pekee ndiye aliyeweza kufanya mjadala na shetani wa kumshawishi adamu kula tunda lililokatazwa na MUNGU, hatimaye laana ikaingia duniani, huenda hata Leo Bado wapo wanawake wanaofanya mijadala na shetani , ndio maana MUNGU alisema tukae nao kwa akili.Sisi wanawake tuko werevu kuliko wanaume. Mwanamke akiwa na lake jambo, lazima litimie kwa gharama na njia yoyote. Halali au haramu.
Mwanamke akiwa mchawi anakuwa mchawi wa kutisha.M wanamke akishaamua ashike mtutu wa bunduki asonge mbele, hakuna cha kumzuia.
Mwanamke akiamua kuuza "Papa" anauza mchana peupe, hadharani. Mwanamke ukimzingua, haoni hatari aitwe mjane, we jichanganye tu na umchukulie poa uone anavyokukata pumzi.
Mungu hakukosea alipowausieni muishi na mwanamke kwa akili!
Mbona wanaume kutwa huku wanajisifia uzinzi mkuu? Ni forum huru muache aandike anachojisikia hasa kama havunji sheriaHuyu mwanamke ni mpumbavu..anajisifu ujinga...eti ukahaba na uchawi...dah kweli wanaume tuna kazi ..imagine ni mke wa mtu huyu[emoji38]
Sure, hii itapunguza machungu, mioyo ya wanawake Ina majeraha, inavuja damu no wonder dada anandika maneno makali hivi Kuna Sababu nyuma ya andiko lake.Its a time to heal our women, to be real to our women
Sipingi na si bishi mwanamke ndio IBILISI mwwnyeweSisi wanawake tuko werevu kuliko wanaume. Mwanamke akiwa na lake jambo, lazima litimie kwa gharama na njia yoyote. Halali au haramu.
Mwanamke akiwa mchawi anakuwa mchawi wa kutisha. Mwanamke akishaamua ashike mtutu wa bunduki asonge mbele, hakuna cha kumzuia.
Mwanamke akiamua kuuza "Papa" anauza mchana peupe, hadharani. Mwanamke ukimzingua, haoni hatari aitwe mjane, we jichanganye tu na umchukulie poa uone anavyokukata pumzi.
Mungu hakukosea alipowausieni muishi na mwanamke kwa akili!
UMUGHAKA na Monica wakeTatizo mnamiliki limoyo ambalo halina breki kwenye kupenda, ukipenda unapenda kweli na hata huo uchawi wako unauacha au unaufanyia huko kila unapokutana na unaempenda.
Huwezi amini mwanamke mjeshi anapopumuliwa sikioni anavyosisimka mpaka unashangaa huyu ndo huwa anapiga mguu pande