Wanawake huwa hatuna shoo mbovu

Wanawake huwa hatuna shoo mbovu

Tatizo mnamiliki limoyo ambalo halina breki kwenye kupenda, ukipenda unapenda kweli na hata huo uchawi wako unauacha au unaufanyia huko kila unapokutana na unaempenda.

Huwezi amini mwanamke mjeshi anapopumuliwa sikioni anavyosisimka mpaka unashangaa huyu ndo huwa anapiga mguu pande
 
Sisi wanawake tuko werevu kuliko wanaume. Mwanamke akiwa na lake jambo, lazima litimie kwa gharama na njia yoyote. Halali au haramu.

Mwanamke akiwa mchawi anakuwa mchawi wa kutisha.M wanamke akishaamua ashike mtutu wa bunduki asonge mbele, hakuna cha kumzuia.
Mwanamke akiamua kuuza "Papa" anauza mchana peupe, hadharani. Mwanamke ukimzingua, haoni hatari aitwe mjane, we jichanganye tu na umchukulie poa uone anavyokukata pumzi.

Mungu hakukosea alipowausieni muishi na mwanamke kwa akili!
Uko sahihi, maana tangu kuumbwa kwa dunia ni mwanamke pekee ndiye aliyeweza kufanya mjadala na shetani wa kumshawishi adamu kula tunda lililokatazwa na MUNGU, hatimaye laana ikaingia duniani, huenda hata Leo Bado wapo wanawake wanaofanya mijadala na shetani , ndio maana MUNGU alisema tukae nao kwa akili.
 
Akili zenu zimeishia hapo ona mnavyo comment
 
Huyu mwanamke ni mpumbavu..anajisifu ujinga...eti ukahaba na uchawi...dah kweli wanaume tuna kazi ..imagine ni mke wa mtu huyu[emoji38]
Mbona wanaume kutwa huku wanajisifia uzinzi mkuu? Ni forum huru muache aandike anachojisikia hasa kama havunji sheria

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Sisi wanawake tuko werevu kuliko wanaume. Mwanamke akiwa na lake jambo, lazima litimie kwa gharama na njia yoyote. Halali au haramu.

Mwanamke akiwa mchawi anakuwa mchawi wa kutisha. Mwanamke akishaamua ashike mtutu wa bunduki asonge mbele, hakuna cha kumzuia.

Mwanamke akiamua kuuza "Papa" anauza mchana peupe, hadharani. Mwanamke ukimzingua, haoni hatari aitwe mjane, we jichanganye tu na umchukulie poa uone anavyokukata pumzi.

Mungu hakukosea alipowausieni muishi na mwanamke kwa akili!
Sipingi na si bishi mwanamke ndio IBILISI mwwnyewe
 
Tatizo mnamiliki limoyo ambalo halina breki kwenye kupenda, ukipenda unapenda kweli na hata huo uchawi wako unauacha au unaufanyia huko kila unapokutana na unaempenda.

Huwezi amini mwanamke mjeshi anapopumuliwa sikioni anavyosisimka mpaka unashangaa huyu ndo huwa anapiga mguu pande
UMUGHAKA na Monica wake
 
Back
Top Bottom