Wanawake huwa hatuna shoo mbovu


Na ndio maana huwa nawaambia WASIOE...
Nashukuru kwa kukazia agenda yangu.

YNWA
 
La muhimu muonyeshe mwanamke kuwa unaweza kuishi bila yeye
 
Naona Wanawake mmekuwa kama Mandonga mtu kazi au wahaya kwa hii misifa.

Ila Mwanamke sio jasiri hivyo la kushika bunduki huliondoe
Ni Wanaume tu wakisema wakiwashe ujue Dunia haikaliki.

Hilo la kuuza Papa ndio asili yenu either uuze jumla au rejereja
Usisahau na kukopesha maana wakopeshwaji wengine hawalipi
Ila kumbuka toka kale wapo Malaya na Wapo wenye stara au Wafaao kuwa wake

Hili la ulozi
Toka kale Wanaume huwakilisha nguvu ya kulinda kaya, jamii au Taifa maana yake Uganga na Waganga asili yake ni Wanaume
Ila Uchawi, Ulozi na Uovu asili yake ni Mwanamke ndio maana mliweza kuzungumza na kiongozi wenu Shetani ana kwa ana[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Kitu pekee Cha kuwahusia Mwanamke hana asili ya nguvu na akitumia haitakuwa na manufaa kwake.

Ila asili yake ni hila,uzandiki, unafiki, kijuso, kijicho na fitina ili kufanikisha mambo yake

N.B Mzaramo kalonga
 
Mwanamke mmoja mke wa mtu alinipa Siri. MUMEWE. LKN baadae alijitudi na wanaishi japo mumewe jogoo habweki
 
Atayekuja kumuoa mleta mada Basi ajiandae kupigwa na kitu kizito kichwani.
Huyu dada ametisha Sana sijawahi ona.
 
Shetani anapoanza kumtumia mtu huwa haangalii jinsia, na vitendo viovu vya gizani na nuruni vyote ni vitendo viovu.
 
Uzuri ni kuwa mwanamke anaexpire date wakati Sisi wanaume hatuna.
 
Mwanamke anataka hakisawa,

Ukimwambia njoo tufanye kazi ya kubeba taka au kuchimba Mtaro hawezi....

Haki sawa yake yeye ni ya kukaa Bungeni na Maofisini tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…