Hii thread wanawake tutacomment kwa uoga sana dah.....bora ungetuandikia pm tu ππ
Anyway Nazjaz acha mikwara π
Sisi wanawake tuko werevu kuliko wanaume. Mwanamke akiwa na lake jambo, lazima litimie kwa gharama na njia yoyote. Halali au haramu.
Mwanamke akiwa mchawi anakuwa mchawi wa kutisha. Mwanamke akishaamua ashike mtutu wa bunduki asonge mbele, hakuna cha kumzuia.
Mwanamke akiamua kuuza "Papa" anauza mchana peupe, hadharani. Mwanamke ukimzingua, haoni hatari aitwe mjane, we jichanganye tu na umchukulie poa uone anavyokukata pumzi.
Mungu hakukosea alipowausieni muishi na mwanamke kwa akili!
Naona Wanawake mmekuwa kama Mandonga mtu kazi au wahaya kwa hii misifa.Sisi wanawake tuko werevu kuliko wanaume. Mwanamke akiwa na lake jambo, lazima litimie kwa gharama na njia yoyote. Halali au haramu.
Mwanamke akiwa mchawi anakuwa mchawi wa kutisha. Mwanamke akishaamua ashike mtutu wa bunduki asonge mbele, hakuna cha kumzuia.
Mwanamke akiamua kuuza "Papa" anauza mchana peupe, hadharani. Mwanamke ukimzingua, haoni hatari aitwe mjane, we jichanganye tu na umchukulie poa uone anavyokukata pumzi.
Mungu hakukosea alipowausieni muishi na mwanamke kwa akili!
Mwanamke mmoja mke wa mtu alinipa Siri. MUMEWE. LKN baadae alijitudi na wanaishi japo mumewe jogoo habwekiSisi wanawake tuko werevu kuliko wanaume. Mwanamke akiwa na lake jambo, lazima litimie kwa gharama na njia yoyote. Halali au haramu.
Mwanamke akiwa mchawi anakuwa mchawi wa kutisha. Mwanamke akishaamua ashike mtutu wa bunduki asonge mbele, hakuna cha kumzuia.
Mwanamke akiamua kuuza "Papa" anauza mchana peupe, hadharani. Mwanamke ukimzingua, haoni hatari aitwe mjane, we jichanganye tu na umchukulie poa uone anavyokukata pumzi.
Mungu hakukosea alipowausieni muishi na mwanamke kwa akili!
Pole kwa yaliyokukuta.True
Shetani anapoanza kumtumia mtu huwa haangalii jinsia, na vitendo viovu vya gizani na nuruni vyote ni vitendo viovu.Sisi wanawake tuko werevu kuliko wanaume. Mwanamke akiwa na lake jambo, lazima litimie kwa gharama na njia yoyote. Halali au haramu.
Mwanamke akiwa mchawi anakuwa mchawi wa kutisha. Mwanamke akishaamua ashike mtutu wa bunduki asonge mbele, hakuna cha kumzuia.
Mwanamke akiamua kuuza "Papa" anauza mchana peupe, hadharani. Mwanamke ukimzingua, haoni hatari aitwe mjane, we jichanganye tu na umchukulie poa uone anavyokukata pumzi.
Mungu hakukosea alipowausieni muishi na mwanamke kwa akili!
Inawezekana akawa tayari ni mke wa mtu huyu! Namhurumia sana huyu mwanaume anayeishi na huyu kiumbe anaweza kufa kabla ya siku zake!Atayekuja kumuoa mleta mada Basi ajiandae kupigwa na kitu kizito kichwani.
Huyu dada ametisha Sana sijawahi ona.
Sawa kabisaMwisho kabisa, Mwanamke ni wa kupuuzwa.
Uzuri ni kuwa mwanamke anaexpire date wakati Sisi wanaume hatuna.Sisi wanawake tuko werevu kuliko wanaume. Mwanamke akiwa na lake jambo, lazima litimie kwa gharama na njia yoyote. Halali au haramu.
Mwanamke akiwa mchawi anakuwa mchawi wa kutisha. Mwanamke akishaamua ashike mtutu wa bunduki asonge mbele, hakuna cha kumzuia.
Mwanamke akiamua kuuza "Papa" anauza mchana peupe, hadharani. Mwanamke ukimzingua, haoni hatari aitwe mjane, we jichanganye tu na umchukulie poa uone anavyokukata pumzi.
Mungu hakukosea alipowausieni muishi na mwanamke kwa akili!
Afu umekuja ghafla sanaUzi wa kibabe sana huu