Sisi wanawake tuko werevu kuliko wanaume. Mwanamke akiwa na lake jambo, lazima litimie kwa gharama na njia yoyote. Halali au haramu.
Mwanamke akiwa mchawi anakuwa mchawi wa kutisha. Mwanamke akishaamua ashike mtutu wa bunduki asonge mbele, hakuna cha kumzuia.
Mwanamke akiamua kuuza "Papa" anauza mchana peupe, hadharani. Mwanamke ukimzingua, haoni hatari aitwe mjane, we jichanganye tu na umchukulie poa uone anavyokukata pumzi.
Mungu hakukosea alipowausieni muishi na mwanamke kwa akili!
Naona Wanawake mmekuwa kama Mandonga mtu kazi au wahaya kwa hii misifa.
Ila Mwanamke sio jasiri hivyo la kushika bunduki huliondoe
Ni Wanaume tu wakisema wakiwashe ujue Dunia haikaliki.
Hilo la kuuza Papa ndio asili yenu either uuze jumla au rejereja
Usisahau na kukopesha maana wakopeshwaji wengine hawalipi
Ila kumbuka toka kale wapo Malaya na Wapo wenye stara au Wafaao kuwa wake
Hili la ulozi
Toka kale Wanaume huwakilisha nguvu ya kulinda kaya, jamii au Taifa maana yake Uganga na Waganga asili yake ni Wanaume
Ila Uchawi, Ulozi na Uovu asili yake ni Mwanamke ndio maana mliweza kuzungumza na kiongozi wenu Shetani ana kwa ana[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kitu pekee Cha kuwahusia Mwanamke hana asili ya nguvu na akitumia haitakuwa na manufaa kwake.
Ila asili yake ni hila,uzandiki, unafiki, kijuso, kijicho na fitina ili kufanikisha mambo yake
N.B Mzaramo kalonga