Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui huwa hawajiamini au ndivyo walivyoumbwa kama imani za dini zikizingatiwa!?Wanawake mna mambo mengi sana.
Kaka kuna wanawake ni wakarimu kwa wageni wa muda mfupi ila sio kwa mtu baki km maid au ndg wa mume aishi hapo, na nikwambie tu wanawake tuko vizuri kwenye ku-manipulate dramaNi kweli, ila basi tuseme alimfanyia roho mbaya sababu alimdharau,
Huyu mama hata wewe ukija kunitembelea nyumbani hutoamini kama alimfanyia hivyo house girl, ni mkarimu sana na ndo maana hadi leo anakaa kwangu otherwise angekua kapangiwa tu geto kama wengine nlowazalisha.
Ndo maana nasema dharau yake ilipelekea akawa na roho mbaya kwa huyo binti.
Na pole sana kuhusu hio issue ya nguo, najua inavyouma na ndo maana kuna muda mimi kama mm nilimfanyia shopping huyo binti
Naamini atakuwa amekaa naye na kumpa ukweli wa aliyoyatenda.Kaka kuna wanawake ni wakarimu kwa wageni wa muda mfupi ila sio kwa mtu baki km maid au ndg wa mume aishi hapo, na nikwambie tu wanawake tuko vizuri kwenye ku-manipulate drama
mkeo ana roho ya choyo na wivu, hata maza house naemsemea yuko hivyo hivyo
Nakubaliana na alisema mkeo ana roho ya ibilisi
Hawajifunzagi watu aina hiyo,,Naamini atakuwa amekaa naye na kumpa ukweli wa aliyoyatenda.
Lakini,yawezekana alipofushwa wakati ule ili awe mfano wa kujifunza kwa wengine.Apewe nafasi nyingine ya kujisahihisha na kuwa mtoa ushuhuda/funzo kwa familia na jamii.Na ni hapo atakapojua kwa vitendo UPENDO una rangi ipi!Hawajifunzagi watu aina hiyo,,
Ukitaka kujua hilo ona baada ya binti kufanikiwa analazimisha nae apate alivyo navyo huyu ni mjivuni kiburi dharau na choyo km vile mafanikio aliumbiwa yeye tu wengine hawastahili
Hamtujui wanawake bado,, hilo vaga litaendelea mpaka pale akiona binti hamuwezi tena ama la amroge,,, saiv kaona gari nae kataka subiri akiolewa kwa ndoa atamghasi mumewe nae wafunge ndoa na ndo hivi kashasem kwenye mada hana mpango wa kufunga nae ndo,,, drama ndo zimeanza sema nini mtoa mada abarikiwe sana kwa kumsaidia huyo bintiLakini,yawezekana alipofushwa wakati ule ili awe mfano wa kujifunza kwa wengine.Apewe nafasi nyingine ya kujisahihisha na kuwa mtoa ushuhuda/funzo kwa familia na jamii.Na ni hapo atakapojua kwa vitendo UPENDO una rangi ipi!
Duh!Sina la kuongeza ingawa sipendi kumuwekea mtu maneno mdomoni.Yaani mtu aliyeonewa na akaonewa haswa ndiye anawindwa adunishwe tena na kuapizwa washindane kwa visasi!Jamani,hayo mambo tuombe yapishe mbali.Tutatengeneza laana kwenye familia/koo/vizazi vyetu.Hamtujui wanawake bado,, hilo vaga litaendelea mpaka pale akiona binti hamuwezi tena ama la amroge,,, saiv kaona gari nae kataka subiri akiolewa kwa ndoa atamghasi mumewe nae wafunge ndoa na ndo hivi kashasem kwenye mada hana mpango wa kufunga nae ndo,,, drama ndo zimeanza sema nini mtoa mada abarikiwe sana kwa kumsaidia huyo binti
Sasa baadhi ya wanawake tuko hivyoDuh!Sina la kuongeza ingawa sipendi kumuwekea mtu maneno mdomoni.Yaani mtu aliyeonewa na akaonewa haswa ndiye anawindwa adunishwe tena na kuapizwa washindane kwa visasi!Jamani,hayo mambo tuombe yapishe mbali.Tutatengeneza laana kwenye familia/koo/vizazi vyetu.
Allahu-Akbar!Tuombe kheri!Sasa baadhi ya wanawake tuko hivyo
Kuna vitz naivizia ndo ataendesha hio sio zaidi ya hapo
Amesema hajamuoa. Na inavyoelekea hatmuoa.
Labda ni kweli sababu mie sikai sana pale, ngumu kuona anavyodeal na watuKaka kuna wanawake ni wakarimu kwa wageni wa muda mfupi ila sio kwa mtu baki km maid au ndg wa mume aishi hapo, na nikwambie tu wanawake tuko vizuri kwenye ku-manipulate drama
mkeo ana roho ya choyo na wivu, hata maza house naemsemea yuko hivyo hivyo
Nakubaliana na alisema mkeo ana roho ya ibilisi
Na huwezi amini sijawah kumwambia chochote zaidi ya onyo nlompa siku moja kwamba amjali huyo binti kama ndugu.Naamini atakuwa amekaa naye na kumpa ukweli wa aliyoyatenda.
Mzee nadhan mimi napenda K zaidi hata yako, lkn sijawah kumla yule binti, ni kama mdogo wangu. Yaan kuna muda ananipigia tu tuongee bila lengo la kuomba chochote kile, huo upendo wa kindugu ndo nataka kwake tu na ndugu zake nlofahamiana nao kabla yake yeye, ukianza mambo ya tunda hapo unaharibu kila kituSawa,ila unamla bloangu,uongo?
Na hilo murano si ajabu umemnunulia wewe
😂😂😂Hukai sana lakini umemtetea kweli,, hongera kwa kumpenda ila unyanyasaji aliofanya kwa huyo binti ni alert tu kaa chonjo bado kuna maisha mengi huko mbele atakustaajabisha siku mojaLabda ni kweli sababu mie sikai sana pale, ngumu kuona anavyodeal na watu
Hapo una pointi, huyu binti akiolewa zile ndoa za sifa nitapata sana shida kwa huyu mamaHamtujui wanawake bado,, hilo vaga litaendelea mpaka pale akiona binti hamuwezi tena ama la amroge,,, saiv kaona gari nae kataka subiri akiolewa kwa ndoa atamghasi mumewe nae wafunge ndoa na ndo hivi kashasem kwenye mada hana mpango wa kufunga nae ndo,,, drama ndo zimeanza sema nini mtoa mada abarikiwe sana kwa kumsaidia huyo binti
Yani ndo kumekucha utaona mengi kwa aina ya mkeo, ana wivu wa roho mbaya,, eti hadi mfanyakazi ana gari,,, hiyo kauli tu inaonyesha roho yake ilivyoHapo una pointi, huyu binti akiolewa zile ndoa za sifa nitapata sana shida kwa huyu mama