Wanawake jifunzeni kwa Mbunge Catherine

Wanawake jifunzeni kwa Mbunge Catherine

Wanajifariji Hawa mwanaume alimpenda Cathy,hayo mengine story za vijiwen,mie mwenyewe nategemea kuolewa mke wa pili jamaa karidhia manake ya muislam,Ila inachelewa manake mkewe mkorofi ,aliambiwa Hilo akagoma,Ila jamaa bad Niko naye licha ya kupigwa na mkewe,na juzi tu jamaa kanipiga mkewe Hadi akapelekwa police na ndugu wa mke,Ila jamaa amesimamia msimamo ye ni muislam na anahitaj ongeza mke.
Nawe utadundwa ni suala la muda tu[emoji3]
 
Mume wa mtu akinitongoza halafu najua sio wangu na mchuna kama hana hela apite hivi .
Kwani nikimpa bure nasio wamalengo sishida tu .
Woi bora niwe single .
 
Hii ina apply pia kwa wanaume ukiona mke wa mtu anakutaka kwa kuikandia ndoa yake ujue si mkweli ni tamaa tu inamuongoza
 
Mwanaume akiishiwa mbinu zote, anakuja na hiyo ya kuonewa huruma😂😂.
Na dada zetu walivyo na huruma aisee anakususia mbususu kweli
 
Mimi sikuambiwa hayo. Akijifanya anamponda mke wake mpe shushu atulize mshono.
 
Back
Top Bottom