Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Umekosea kuquote....umenishtua!!!Kifupi ni kwamba wewe unatembea na mme wa mtu hizo excuse unazotoa hazina mashiko
Enjoy mama ila ujue akikuoa baada ya miaka mitatu atataman mwingine huko nje na migogoro na wewe itaanza na atakuwa anamweleza wa nje exactly anavyokweleza kuhusu mkewe
Na atakupiga kama anavyofanya sahiz kwa mkewe na atlst atamuoa kama alivyokuoa wewe (ukijifunza kula nyama ya mtu huwez kula mara moja)