Wanawake jifunzeni kwa Mbunge Catherine

Wanawake jifunzeni kwa Mbunge Catherine

UWe makini kwenye cheti cha ndo. Kunakuwa na option pale
Ndoa za wake wengi au ndoa ya mke mmoja ukiona tik kwenye mke mmoja kaa ujue ww ni mchepuko tu. Ukiona tik kwenye wake wengi na upewe copy ya cheti ili kuepuka migogoro ya baadae.
sio mnafunga ndoa za maneno tu bila vigezo mwishoni mnadhalilika kama Cathe
Wanajifariji Hawa mwanaume alimpenda Cathy,hayo mengine story za vijiwen,mie mwenyewe nategemea kuolewa mke wa pili jamaa karidhia manake ya muislam,Ila inachelewa manake mkewe mkorofi ,aliambiwa Hilo akagoma,Ila jamaa bad Niko naye licha ya kupigwa na mkewe,na juzi tu jamaa kanipiga mkewe Hadi akapelekwa police na ndugu wa mke,Ila jamaa amesimamia msimamo ye ni muislam na anahitaj ongeza mke.
 
Ni vyema kumuachia Mungu sasa inatosha
Wakat unamnyoshea mwinzio kidole embu tazama na ww vidole vingap vinakutazama
 
Fresh tu kwani yule mwenzie wa kuimba wanawake na maendeleo tusonge mbele si alichangiwa harusi akavaa shela mara janki hakuibuka kanisani….bunge la vimbwanga na wabunge wa matukio unategemea nini ?
 
Back
Top Bottom