witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Km 1200 kutoka Dar otea hiyo location [emoji16][emoji16]We Witty location ya nini tena, muache bi mdogo ainjoi [emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Km 1200 kutoka Dar otea hiyo location [emoji16][emoji16]We Witty location ya nini tena, muache bi mdogo ainjoi [emoji23][emoji23]
😂😂😂😂 Esma kiranga chote kwisha, alidhani atakua bi mdogo wa taifa.....Msizwa mpumbafuu ila alitukomesheaa
Mmh dear mbona uko mbali sana na hubby?[emoji848]Mkoani,dar nimemwachia bi mkubwa.
Wala,mie nakula kwa nafasi yangu na natambua uwepo wake Kama bi mkubwa.Hizo tafran anazofanya hazina hata nafasi kwenye penzi letu,sie tunamuheshimu,kumtmbua na tumekaa kimya tukifanya yetu na muda utaongea.Yani haumvimbii yeye, ila unavimba ukiwa ndani kwako bi mdogo huku wanukia udi.... moyoni wajichekea
Maana ile familia kaka yao anawatesa sana wanawake kisaikolojia😂😂😂😂 Esma kiranga chote kwisha, alidhani atakua bi mdogo wa taifa.....
Mno hata wifi nae....yani yamemrudiaMaana ile familia kaka yao anawatesa sana wanawake kisaikolojia
Yap tuko ofc moja,dar nishaishi na kupachoka kitambo.Mmh dear mbona uko mbali sana na hubby?[emoji848]
Jitahidi usogee sogee karibu na hili jiji la maraha....
Au mbebez anafanya kazi huko uliko?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Esma nae ana kagundu, ....but mi nilimuelewa anasema msizwa alikuwa amekuja kumchuna pesa na hakuwa na shida na ndoa, alitaka Shem( domo) ampe mil200 akatanue business zake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Esma kiranga chote kwisha, alidhani atakua bi mdogo wa taifa.....
Huogopi kulogwaa?Wala,mie nakula kwa nafasi yangu na natambua uwepo wake Kama bi mkubwa.Hizo tafran anazofanya hazina hata nafasi kwenye penzi letu,sie tunamuheshimu,kumtmbua na tumekaa kimya tukifanya yetu na muda utaongea.
Wacha weeee bi mdogo akeeeeeWala,mie nakula kwa nafasi yangu na natambua uwepo wake Kama bi mkubwa.Hizo tafran anazofanya hazina hata nafasi kwenye penzi letu,sie tunamuheshimu,kumtmbua na tumekaa kimya tukifanya yetu na muda utaongea.
Duh hapo utajinafasiYap tuko ofc moja,dar nishaishi na kupachoka kitambo.
Ana mdomo mno plus kiherehere mingi kwenye mahusiano ya kaka ake.....Esma nae ana kagundu, ....but mi nilimuelewa anasema msizwa alikuwa amekuja kumchuna pesa na hakuwa na shida na ndoa, alitaka Shem( domo) ampe mil200 akatanue business zake
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kashajaribu Mara kibao,mwishoni ndo akanipa kichapo,alinikuta sehemu na wadau,akiwa na mumewe,kitendo cha kuniona pale alinirukia na kunipiga sana,nimemsamehe na kwa hilo nikaamua niendelee na jamaa kufidia kipigo,manake nilikuwa nishapanga kumwacha huyo mine wake.
Hakuna aliyempokonya,tunashare tu,naye nafasi yake kwa jamaa ipo Sana tu,sema anajistukia tu.Duh hapo utajinafasi
Bi mkubwa analo asee, usingizi wake umepokonywa [emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Na kuna watu hawatakagi ujinga....
Kumbe nawe uko vizuri, umejipanga kwakifupi haulogeki....Kashajaribu Mara kibao,mwishoni ndo akanipa kichapo,alinikuta sehemu na wadau,akiwa na mumewe,kitendo cha kuniona pale alinirukia na kunipiga sana,nimemsamehe na kwa hilo nikaamua niendelee na jamaa kufidia kipigo,manake nilikuwa nishapanga kumwacha huyo mine wake.
Kashajaribu Mara kibao,mwishoni ndo akanipa kichapo,alinikuta sehemu na wadau,akiwa na mumewe,kitendo cha kuniona pale alinirukia na kunipiga sana,nimemsamehe na kwa hilo nikaamua niendelee na jamaa kufidia kipigo,manake nilikuwa nishapanga kumwacha huyo mine wake.
Case yako na ya kety ni tofauti ila na wewe jiandaeHapana mie saivi Niko mkoa,yeye yuko dizim Sasa nasababishaje ugomvi hapo?mwanaume ni muislam na anasema dini yake inatuhusu,tatizo nini hapo?
Na kuna watu hawatakagi ujinga....
Kuna mama mmoja kazikwa miezi miwili iliyopita, siku hiyo katoka ferry kufata samaki aanze biashara zake kafikisha mzigo ndani, kuingia bafuni akaanguka dakika chache tu akadanja.
Za mtaani sasa eti alikua anachukua mali ya mtu, mwenye mume yupo rufiji na kishamkanya sana mama haelewi sijui ni kweli sijui chai za mtaa
No simkomeshi ni mapenzi Kati yangu na jamaa,nilipanga nimwache kimya kimya kupunguza vurugu zake manake akisikia Niko dizim ni ugomvi nyumbani kwake daily,Hadi niondoke,Sasa hiyo siyo sawa kudhalilishana mtaani.Aaah kwa hiyo umeamua kuolewa ili umkomeshe bi mkubwa eeh?