Wanawake jifunzeni kwa Mbunge Catherine

Wanawake jifunzeni kwa Mbunge Catherine

Basi wanaume watageuka motivational speakers katika hili suala mpaka tukome aisee.

Cathe katukosti sana.

Ila na nyie tulizaneni viuno hivyo mnahangaika sana kuchomeka chomeka.

Mxxxiiieeeuu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1483]

Kawaharibia Sana husband snatchers[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1483]

Kawaharibia Sana husband snatchers[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
I really hope the wife finds peace after all that they have been through.

Katika vitu I value ni inner peace.

Without that you can never be truly happy.
 
Wanawake naomba kabla sijaenda kwenye mada muelewe hili Kila mme wa mtu atakayekutongoza lazima atamkandia mkewe.
  • Hana raha na ndoa
  • Hana amani
  • Mke anamnyima unyumba
  • Mke mkorofi
  • Mke anaongea sana
  • Mke kachepuka na mengine mengi
99% ya wanaume wanapotongoza nje ya ndoa hizo ndio point tunatumia(nikiwepo mimi) but unakuwa sio ukweli ni tamaa tu na papuchi yako so tunatafuta namna gani utatuelewa basi tunaona njia hiyo itakufanya unionee huruma na unipe mzigo kama unanisaidia vile.

But mara nyingi unakuta sababu hizo ni za uongo ni mara chache sana kukuta ni kweli.

Hivyo unapoamua kutembea na mme wa mtu hata akwambie nini juu ya mkewe we kipokee sikio hili kipitie linalofata mpe mzigo kama umemwelewa na mchune kwa nafasi yako but mweshimu yule mke wake maana ndo aliyemuona wa maana na akamuoa.

Mbunge (mchumba wa mtu) Huu upuuzi umenishangaza sana. Hivi unakuwaje mchumba wa mme au mke wa mtu? Takaka haijatoka mahakamani huyo ni mme wa mtu.

Hata wakigombana na kutengana miaka 20 wewe unapoenda kudate nae jua yule ni mme wa mtu so unaiba usiweke mahusiano yako hadharani mpaka pale talaka itakapotoka.

Bunge limenishangaza sana wanamchangia Catherine akamzike mchumba wake[emoji23][emoji23][emoji23] halafu mchumba ambaye ni mme wa mtu(talaka haijatoka) hata kama wametengana huo ni uzinzi na upuuzi hupaswi kutangaza.

Jifunzeni kwa mwenzenu tafadhali.
Mkuu usitoe siri za kambi hali ikawa ngumu kuzipata hizi papuchi.

Maana mechi za ugenini ni za muhimu kujua nini kinaendelea duniani si kila siku mechi za nyumbani.
 
Wanawake naomba kabla sijaenda kwenye mada muelewe hili Kila mme wa mtu atakayekutongoza lazima atamkandia mkewe.
Hakunaga mume wa MTU ktk mila na utamaduni wa waafrika. Mambo hayo yapo nchi za mashoga na wasagaji. Afrika tuna mume wa watu. Mwanaume anaruhusiwa kuwa na mke zaidi ya mmoja ili mradi awe na uwezo wa kuimudu familia yake. Tatizo wanawake wa sasa akishaongezewa mwenzake ana leta visa, fitina, hujuma, uzushi ugomvi hadi makaburini ili atambulike yeye tu.

Rais mstaafu Mzee Mwinyi ana wake wawili Bibi Khadija na Sitti Mwinyi, Jacob Zuma wa South Africa wake wanne hakuna jipya, watu waheshimu mapenzi ya marehemu kila mwanamke apewe heshima yake. Mungu ndiye atahukumu khiyama kama mke zaidi ya mmoja hairuhusiwi na ataeleza why aliruhusu manabii wawe na mke zaidi ya mmoja ila hakuwahi kuruhusu ushoga.

_89801838_thezumas_afp.jpg


JZ-wives-630x375.jpg.optimal.jpg


2021-05-29-09-58-01--1067306653.jpg


CmJMsfbWgAATBdZ.jpg
 
Talaka ilikuwa mahakaman jamen
Nyie mnasema tu mapenzi acheni tu ukimpenda mtu
Wanajifariji Hawa mwanaume alimpenda Cathy,hayo mengine story za vijiwen,mie mwenyewe nategemea kuolewa mke wa pili jamaa karidhia manake ya muislam,Ila inachelewa manake mkewe mkorofi ,aliambiwa Hilo akagoma,Ila jamaa bad Niko naye licha ya kupigwa na mkewe,na juzi tu jamaa kanipiga mkewe Hadi akapelekwa police na ndugu wa mke,Ila jamaa amesimamia msimamo ye ni muislam na anahitaj ongeza mke.
 
Wanajifariji Hawa mwanaume alimpenda Cathy,hayo mengine story za vijiwen,mie mwenyewe nategemea kuolewa mke wa pili jamaa karidhia manake ya muislam,Ila inachelewa manake mkewe mkorofi ,aliambiwa Hilo akagoma,Ila jamaa bad Niko naye licha ya kupigwa na mkewe,na juzi tu jamaa kanipiga mkewe Hadi akapelekwa police na ndugu wa mke,Ila jamaa amesimamia msimamo ye ni muislam na anahitaj ongeza mke.

Hapa hatuongelei kumpenda au kutompenda tunaongelea sheria za nchi
Unapodate na mtu ambaye ameoa hakikisha talaka imetoka ndo uweke mahusiano hayo wazi but kama talaka haijatoka we unajisumbua tu maana huyo ni mme wa mtu na ukumbuke kuwa issue ya talaka inachukua hatua ndefu(muda mrefu sana kutolewa)
 
Wanajifariji Hawa mwanaume alimpenda Cathy,hayo mengine story za vijiwen,mie mwenyewe nategemea kuolewa mke wa pili jamaa karidhia manake ya muislam,Ila inachelewa manake mkewe mkorofi ,aliambiwa Hilo akagoma,Ila jamaa bad Niko naye licha ya kupigwa na mkewe,na juzi tu jamaa kanipiga mkewe Hadi akapelekwa police na ndugu wa mke,Ila jamaa amesimamia msimamo ye ni muislam na anahitaj ongeza mke.
Na ugomvi unaweza kuja kati sababu ya mtu mwingine kuingilia (wewe) na wewe subiri uolewe uzoeleke na uletewe wa tatu ndo utayajua maumivu ya mwenzio aliyopitia sababu yako
 
Wanajifariji Hawa mwanaume alimpenda Cathy,hayo mengine story za vijiwen,mie mwenyewe nategemea kuolewa mke wa pili jamaa karidhia manake ya muislam,Ila inachelewa manake mkewe mkorofi ,aliambiwa Hilo akagoma,Ila jamaa bad Niko naye licha ya kupigwa na mkewe,na juzi tu jamaa kanipiga mkewe Hadi akapelekwa police na ndugu wa mke,Ila jamaa amesimamia msimamo ye ni muislam na anahitaj ongeza mke.

What goes around ... comes around endelea kujiona mjanja kutesa ndoa ya watu kisa umeahidiqa kuolewa but siku zaja ambazo utasaga meno

Malaya wewe
 
Hapa hatuongelei kumpenda au kutompenda tunaongelea sheria za nchi
Unapodate na mtu ambaye ameoa hakikisha talaka imetoka ndo uweke mahusiano hayo wazi but kama talaka haijatoka we unajisumbua tu maana huyo ni mme wa mtu na ukumbuke kuwa issue ya talaka inachukua hatua ndefu(muda mrefu sana kutolewa)
Huyu hatoi talaka anaongeza mke dini yake inatuhusu,hata kwa ndugu zake wote nishatambulishwa
 
Na ugomvi unaweza kuja kati sababu ya mtu mwingine kuingilia (wewe) na wewe subiri uolewe uzoeleke na uletewe wa tatu ndo utayajua maumivu ya mwenzio aliyopitia sababu yako
Hapana mie saivi Niko mkoa,yeye yuko dizim Sasa nasababishaje ugomvi hapo?mwanaume ni muislam na anasema dini yake inatuhusu,tatizo nini hapo?
 
Hakunaga mume wa MTU ktk mila na utamaduni wa waafrika. Mambo hayo yapo nchi za mashoga na wasagaji. Afrika tuna mume wa watu. Mwanaume anaruhusiwa kuwa na mke zaidi ya mmoja ili mradi awe na uwezo wa kuimudu familia yake. Tatizo wanawake wa sasa akishaongezewa mwenzake ana leta visa, fitina, hujuma, uzushi ugomvi hadi makaburini ili atambulike yeye tu. Rais mstaafu Mzee Mwinyi ana wake wawili Bibi Khadija na Sitti Mwinyi, Jacob Zuma wa South Africa wake wanne hakuna jipya, watu waheshimu mapenzi ya marehemu kila mwanamke apewe heshima yake. Mungu ndiye atahukumu khiyama kama mke zaidi ya mmoja hairuhusiwi na ataeleza why aliruhusu manabii wawe na mke zaidi ya mmoja ila hakuwahi kuruhusu ushoga.

View attachment 1801060

View attachment 1801061

View attachment 1801062

View attachment 1801063
Lakini cathy si alikuwa hajafikia kuwa mke? Ni hatua gani walikuwa nayo zaidi ya mahusiano ya kimapenzi? Na kwa vyovyote aliyezuia uwepo wa cathy ktk msiba nafikiri sio mke watakuwa ndugu wa mume......kwaivo alikuwa hawara tu kama mahawara wengine wanaoharibu ndoa za watu
 
Wanajifariji Hawa mwanaume alimpenda Cathy,hayo mengine story za vijiwen,mie mwenyewe nategemea kuolewa mke wa pili jamaa karidhia manake ya muislam,Ila inachelewa manake mkewe mkorofi ,aliambiwa Hilo akagoma,Ila jamaa bad Niko naye licha ya kupigwa na mkewe,na juzi tu jamaa kanipiga mkewe Hadi akapelekwa police na ndugu wa mke,Ila jamaa amesimamia msimamo ye ni muislam na anahitaj ongeza mke.
Yaan jamaa yako kapigwa na mkewe au kapingwa?
 
Back
Top Bottom