stable woman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 3,884
- 4,479
Nawe utadundwa ni suala la muda tu[emoji3]Wanajifariji Hawa mwanaume alimpenda Cathy,hayo mengine story za vijiwen,mie mwenyewe nategemea kuolewa mke wa pili jamaa karidhia manake ya muislam,Ila inachelewa manake mkewe mkorofi ,aliambiwa Hilo akagoma,Ila jamaa bad Niko naye licha ya kupigwa na mkewe,na juzi tu jamaa kanipiga mkewe Hadi akapelekwa police na ndugu wa mke,Ila jamaa amesimamia msimamo ye ni muislam na anahitaj ongeza mke.
Aisee umekomaa nae,hadi nimeshindwa kuvumili[emoji23][emoji23]Bado uko mdogo mdogo....baba mtoto nae vipi, kishaoa? Au yupo yupo mara chache anakuja kuona watoto na kuwaletea maparachichi?
Na ndiyo inayoteseka kwa misuko sukoKikubwa tuendelee kupiga papuchi[emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu ategemee kuishi kwa Amani katika hiyo NDOA!Anaongeza mke sababu imani inamruhusu but hiyo iman inasemaje? Inasema uingie kwenye mahusiano na mme wa mtu mpk ipelekee ndoa yake iwe na migogoro na kupoteza aman halaf ndo uolewe mke wa pili?
Lazima nayeye dada zake watesekeMaana ile familia kaka yao anawatesa sana wanawake kisaikolojia