Wanawake jifunzeni mapishi, mnatia aibu

Wanawake jifunzeni mapishi, mnatia aibu

Yaaan nakula bfoo kunywa Ila baada ya hapo siwezii Tena ukute sio nyama.....
Basi wewe sio mnywaji 😅

Mimi Bar naingia saa 9 au 10 alasiri almost kila siku apo lunch unakuta tayari, usiku lazima nipate mchemsho wowote ndo nilale.
 
Duuh mkuu mbususu zote hizo za jf unazotafuna hauchoki tu [emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Hapo unataka dem mwingine apagawe na comment yako umle tena wengine utuachie basi [emoji23][emoji23]
Mkuu Penseli 4 kwanza heshima mbele.. Nakuapia kwa mizimu ya Kilingeni Msata sijawahi kubanyuka na mnyange yeyote hapa JF.. Nawaheshimu mno na naishi maisha ya usafi wa kiroho kupita maelezo
Ajitokeze mmoja atoe ithibati ya kumnyandua nitampa 200K

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi,eti unakuta pisi zinajadiliana kuangalia mapishi You Tube,hivi mdada kupika unashindwa?
Yaani ndomaana baadhi wanatumika,halafu wanaachwa bila kuambiwa sababu, matokeo yake,wanajazana kwa Mwamposa.
 
Mkuu Penseli 4 kwanza heshima mbele.. Nakuapia kwa mizimu ya Kilingeni Msata sijawahi kubanyuka na mnyange yeyote hapa JF.. Nawaheshimu mno na naishi maisha ya usafi wa kiroho kupita maelezo
Ajitokeze mmoja atoe ithibati ya kumnyandua nitampa 200K

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani watajitokeza sasa hata ukitoa 200k? Ila nikiwa mbaba nataka nije kuwa kama ww.

Teach me your ways Babu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.

Unawalamba sana mi najua hilo.
 
Kumfundisha mtu ambaye anaona ufahari kula migahawani hiyo ni kazi ngumu sana,anataka apige picha chakula aweke na location unadhani Kuna jambo hapo?
Nikutokujua na kutoelewa ila chakula Cha kuandaa mwenyewe kinakuwa bora Sana, maana unazingatia mahitaji yote ya msingi .


Chakula ni muhimu Sana
 
Back
Top Bottom