Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Wakati mnarudi nyumbani saa 4 uckMwanamke asiyejua kupika hana sifa ya kuwa mke
Hakuna kitu wanaume tunafurahia kama kula mapishi ya mkeo anayejua kupika
Saa ngapi mnakula hayo mapishi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati mnarudi nyumbani saa 4 uckMwanamke asiyejua kupika hana sifa ya kuwa mke
Hakuna kitu wanaume tunafurahia kama kula mapishi ya mkeo anayejua kupika
Naroga mtu[emoji35] mawazo yangu yaheshimiweHeheeee
Wee
Hujapigwa mawe kweli?
Eti mpk Leo mtu unamuonea aibu mwanaume kupika chakula kwake kisa et mwanaume anapika chakula kitam zaid hii kitaalam tunaitaje mliosoma cubaWanawake wa siku hizi sijui mmekuja kuwaje kwenye suala la mapishi ya jikoni. Ivi mnajua kwanini mwanaume akioa waswahili tunasema Kavuta Jiko?
Unakuta kijana umeopoa dem au mchumba wako kabisa yupo geto ila unalazimika kwenda restaurant kutafuta msosi ili upeleke mle pamoja kisa mpenzi wako hajui kupika. Unaweza kuta foleni ya vijana wa kiume kwenye vibanda vya chips ukazani ni wao wanakula kumbe wameagizwa na wale wa kuitwa pisi kali uko magetoni.
Kitu pekee mnachojitaidi kupika ni wali [kwenye rice cooker] na kuchemsha chai kwenye jagi.
Kuna wengine baadhi wapo kwenye ndoa ila linapokuja suala la kupika kwao ni kipengele, wanawapakazia wafanyakazi wa ndani.
Tatizo ni kubwa sana hususani kwa hawa wanawake waliofika chuo, tena usiombe ukute kabandika tips kwenye kucha.!!
Basi kama huwezi kupika ugali jitaidi kabla hujaolewa angalau uwe unajua kupika chapati laini za kusukuma.!! na pakujifunzia ni ukuku magetoni maana uko majumbani kwenu kila kazi mmewatelekezea wadada wa kazi.!!
Mnafanya baadhi ya wanaume tunaojielewa na waowaji kuwa hit & run.
Mnakulana ndio mle 🤣Wakati mnarudi nyumbani saa 4 uck
Saa ngapi mnakula hayo mapishi?
Kumfundisha mtu ambaye anaona ufahari kula migahawani hiyo ni kazi ngumu sana,anataka apige picha chakula aweke na location unadhani Kuna jambo hapo?😁Sasa mnabidi mfundishane ,maana Kuna watu hawajui kuwa chakula kinachukua Sehemu kubwa katika Maisha ya Binadamu ikiwemo mwonekano na Afya ya mwili kiujumla.
Ikiwa hali itaendelea hivi tutegemee kuwaona vijana Kama wazee na wazee Kama vijana.
🤣🤣🤣🤣✍️Kumfundisha mtu ambaye anaona ufahari kula migahawani hiyo ni kazi ngumu sana,anataka apige picha chakula aweke na location unadhani Kuna jambo hapo?
Ipo hujaona EATV, mshindi wa chapati sijui andaz Temeke[emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwani kuna tuzo?
Acha uongo zile pisi za uswahili vile maandazi zinaweka nyama umo umo sijawai ona😄Ipo hujaona EATV, mshindi wa chapati sijui andaz Temeke[emoji3]
Sii utani tuu jmn [emoji16], Ila wanajua kupka vitafunwa...Acha uongo zile pisi za uswahili vile maandazi zinaweka nyama umo umo sijawai ona[emoji1]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mbavu zangu hoi kwa kuchekaSii utani tuu jmn [emoji16], Ila wanajua kupka vitafunwa...
Ila esha buhetii mboga za majani alochanganya utumbo alooh.....
Em kina dada mjue kupika..
Mwanamke asiyejua kupika hastahili hata dakika moja tu kwenye nyumba yangu.Wanawake wa siku hizi sijui mmekuja kuwaje kwenye suala la mapishi ya jikoni. Ivi mnajua kwanini mwanaume akioa waswahili tunasema Kavuta Jiko?
Unakuta kijana umeopoa dem au mchumba wako kabisa yupo geto ila unalazimika kwenda restaurant kutafuta msosi ili upeleke mle pamoja kisa mpenzi wako hajui kupika. Unaweza kuta foleni ya vijana wa kiume kwenye vibanda vya chips ukazani ni wao wanakula kumbe wameagizwa na wale wa kuitwa pisi kali uko magetoni.
Kitu pekee mnachojitaidi kupika ni wali [kwenye rice cooker] na kuchemsha chai kwenye jagi.
Kuna wengine baadhi wapo kwenye ndoa ila linapokuja suala la kupika kwao ni kipengele, wanawapakazia wafanyakazi wa ndani.
Tatizo ni kubwa sana hususani kwa hawa wanawake waliofika chuo, tena usiombe ukute kabandika tips kwenye kucha.!!
Basi kama huwezi kupika ugali jitaidi kabla hujaolewa angalau uwe unajua kupika chapati laini za kusukuma.!! na pakujifunzia ni ukuku magetoni maana uko majumbani kwenu kila kazi mmewatelekezea wadada wa kazi.!!
Mnafanya baadhi ya wanaume tunaojielewa na waowaji kuwa hit & run.
Mwanamke asiyejua kupika atakuwa anajua kitu gani kingine cha kike ?Mada za kuwadhalilisha mama na dada zetu ifike mahali zikomeshwe .. Si kila kitu akiweze vingine ni kusaidiana.. Swala la mapishi hata mwanaume anaweza kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwann Tena uchekee.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbavu zangu hoi kwa kucheka
Ah wap... wacha ninyamazeSio kweli siwez chochote
Sa mtu ushajua ratiba ya mkeo kuwa usiku ni lazima apike wali maharage nawewe ni mtu wa tungi unategemea nini, nani anapenda kurudisha chenji? 😅Wakati mnarudi nyumbani saa 4 uck
Saa ngapi mnakula hayo mapishi?
Hakuna jambo apo, hakuna.!!Kumfundisha mtu ambaye anaona ufahari kula migahawani hiyo ni kazi ngumu sana,anataka apige picha chakula aweke na location unadhani Kuna jambo hapo?
Ukirudii kunywa unakula ? Mimi nikishatia pombee silagii tenaa.... Labda supu Ila sio sijui wali, au ndiz noSa mtu ushajua ratiba ya mkeo kuwa usiku ni lazima apike wali maharage nawewe ni mtu wa tungi unategemea nini, nani anapenda kurudisha chenji? [emoji28]
mimi bado bachelor ila mara mojamoja nikipata ugeni nikirudi nikakuta wali sili, iyo kwangu ni NEVER maana kitakakochofuata baada ya apo ni kutapikaUkirudii kunywa unakula ? Mimi nikishatia pombee silagii tenaa.... Labda supu Ila sio sijui wali, au ndiz no
Yaaan nakula bfoo kunywa Ila baada ya hapo siwezii Tena ukute sio nyama.....mimi bado bachelor ila mara mojamoja nikipata ugeni nikirudi nikakuta wali sili, iyo kwangu ni NEVER maana kitakakochofuata baada ya apo ni kutapika
Duuh mkuu mbususu zote hizo za jf unazotafuna hauchoki tu 😅🤣🤣🤣.Mada za kuwadhalilisha mama na dada zetu ifike mahali zikomeshwe .. Si kila kitu akiweze vingine ni kusaidiana.. Swala la mapishi hata mwanaume anaweza kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app