Wanawake jifunzeni mapishi, mnatia aibu

Wanawake jifunzeni mapishi, mnatia aibu

Wanawake wa siku hizi sijui mmekuja kuwaje kwenye suala la mapishi ya jikoni. Ivi mnajua kwanini mwanaume akioa waswahili tunasema Kavuta Jiko?

Unakuta kijana umeopoa dem au mchumba wako kabisa yupo geto ila unalazimika kwenda restaurant kutafuta msosi ili upeleke mle pamoja kisa mpenzi wako hajui kupika. Unaweza kuta foleni ya vijana wa kiume kwenye vibanda vya chips ukazani ni wao wanakula kumbe wameagizwa na wale wa kuitwa pisi kali uko magetoni.

Kitu pekee mnachojitaidi kupika ni wali [kwenye rice cooker] na kuchemsha chai kwenye jagi.

Kuna wengine baadhi wapo kwenye ndoa ila linapokuja suala la kupika kwao ni kipengele, wanawapakazia wafanyakazi wa ndani.

Tatizo ni kubwa sana hususani kwa hawa wanawake waliofika chuo, tena usiombe ukute kabandika tips kwenye kucha.!!

Basi kama huwezi kupika ugali jitaidi kabla hujaolewa angalau uwe unajua kupika chapati laini za kusukuma.!! na pakujifunzia ni ukuku magetoni maana uko majumbani kwenu kila kazi mmewatelekezea wadada wa kazi.!!

Mnafanya baadhi ya wanaume tunaojielewa na waowaji kuwa hit & run.

Eti mpk Leo mtu unamuonea aibu mwanaume kupika chakula kwake kisa et mwanaume anapika chakula kitam zaid hii kitaalam tunaitaje mliosoma cuba
 
😁Sasa mnabidi mfundishane ,maana Kuna watu hawajui kuwa chakula kinachukua Sehemu kubwa katika Maisha ya Binadamu ikiwemo mwonekano na Afya ya mwili kiujumla.


Ikiwa hali itaendelea hivi tutegemee kuwaona vijana Kama wazee na wazee Kama vijana.
Kumfundisha mtu ambaye anaona ufahari kula migahawani hiyo ni kazi ngumu sana,anataka apige picha chakula aweke na location unadhani Kuna jambo hapo?
 
Sii utani tuu jmn [emoji16], Ila wanajua kupka vitafunwa...

Ila esha buhetii mboga za majani alochanganya utumbo alooh.....

Em kina dada mjue kupika..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mbavu zangu hoi kwa kucheka
 
Wanawake wa siku hizi sijui mmekuja kuwaje kwenye suala la mapishi ya jikoni. Ivi mnajua kwanini mwanaume akioa waswahili tunasema Kavuta Jiko?

Unakuta kijana umeopoa dem au mchumba wako kabisa yupo geto ila unalazimika kwenda restaurant kutafuta msosi ili upeleke mle pamoja kisa mpenzi wako hajui kupika. Unaweza kuta foleni ya vijana wa kiume kwenye vibanda vya chips ukazani ni wao wanakula kumbe wameagizwa na wale wa kuitwa pisi kali uko magetoni.

Kitu pekee mnachojitaidi kupika ni wali [kwenye rice cooker] na kuchemsha chai kwenye jagi.

Kuna wengine baadhi wapo kwenye ndoa ila linapokuja suala la kupika kwao ni kipengele, wanawapakazia wafanyakazi wa ndani.

Tatizo ni kubwa sana hususani kwa hawa wanawake waliofika chuo, tena usiombe ukute kabandika tips kwenye kucha.!!

Basi kama huwezi kupika ugali jitaidi kabla hujaolewa angalau uwe unajua kupika chapati laini za kusukuma.!! na pakujifunzia ni ukuku magetoni maana uko majumbani kwenu kila kazi mmewatelekezea wadada wa kazi.!!

Mnafanya baadhi ya wanaume tunaojielewa na waowaji kuwa hit & run.

Mwanamke asiyejua kupika hastahili hata dakika moja tu kwenye nyumba yangu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbavu zangu hoi kwa kucheka
Kwann Tena uchekee.....

Mimi napenda misosii Tena uwe mtamu
 
Wakati mnarudi nyumbani saa 4 uck
Saa ngapi mnakula hayo mapishi?
Sa mtu ushajua ratiba ya mkeo kuwa usiku ni lazima apike wali maharage nawewe ni mtu wa tungi unategemea nini, nani anapenda kurudisha chenji? 😅
 
Kumfundisha mtu ambaye anaona ufahari kula migahawani hiyo ni kazi ngumu sana,anataka apige picha chakula aweke na location unadhani Kuna jambo hapo?
Hakuna jambo apo, hakuna.!!

Tena ukute kaja na ki iPhone X chake basi ni shida tupu.!!
 
Sa mtu ushajua ratiba ya mkeo kuwa usiku ni lazima apike wali maharage nawewe ni mtu wa tungi unategemea nini, nani anapenda kurudisha chenji? [emoji28]
Ukirudii kunywa unakula ? Mimi nikishatia pombee silagii tenaa.... Labda supu Ila sio sijui wali, au ndiz no
 
Ukirudii kunywa unakula ? Mimi nikishatia pombee silagii tenaa.... Labda supu Ila sio sijui wali, au ndiz no
mimi bado bachelor ila mara mojamoja nikipata ugeni nikirudi nikakuta wali sili, iyo kwangu ni NEVER maana kitakakochofuata baada ya apo ni kutapika
 
mimi bado bachelor ila mara mojamoja nikipata ugeni nikirudi nikakuta wali sili, iyo kwangu ni NEVER maana kitakakochofuata baada ya apo ni kutapika
Yaaan nakula bfoo kunywa Ila baada ya hapo siwezii Tena ukute sio nyama.....
 
Mada za kuwadhalilisha mama na dada zetu ifike mahali zikomeshwe .. Si kila kitu akiweze vingine ni kusaidiana.. Swala la mapishi hata mwanaume anaweza kufanya

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh mkuu mbususu zote hizo za jf unazotafuna hauchoki tu 😅🤣🤣🤣.

Hapo unataka dem mwingine apagawe na comment yako umle tena wengine utuachie basi 😂😂
 
Back
Top Bottom