MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Huu ni uamuzi usiohojika au kuna sababu?Mimi sitaki kuolewa na wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni uamuzi usiohojika au kuna sababu?Mimi sitaki kuolewa na wewe
This is pure manipulation, una wa-manipulate wenzio ili wakuunge mkono?nilichogundua wanaume wengi wanaotetea wanawake kwenye ishu ya kupika kwenye huu uzi wengi wao wamejaa kwenye pm za hao wadada kujinadi, poleni.
📌📌Huu ni uamuzi usiohojika
Yaani umeshindwa kunionea huruma yatima mimi?
Nilijifunza kupika kwasababu sipendi vyakula vya mitaani(Chipsi+Vyakula vya mamantilie) na industrial made foods.Umelelewa vizuri. Big up kwa wazazi wako. Wenzako ndo maana ndoa zinawashinda maana wanaoa ili wapikiwe chakula na kufuliwa nguo. Wa.atakiwa kuajiri wapishi...wamejaa tele na wamesomea fani hiyo.
🤣🤣🤣 Kwani kuna tuzo?Vp tenaa.... Kupika ndo basi[emoji3]
Mzee ukimsoma vizuri mleta mada ni wale vijana wa kuleta visichana magetoni..Mkuu hakuna usasa kwenye kanuni za kiasili...
Mleta mada analalamika juu ya mwanamke kushindwa kutimiza kanuni ya asili...
Yes mwanaume anaweza kupika, anaweza kuwa msaada katika kuandaa maakuli, sasa iweje mwenye jukumu la kiasili ashindwe?
Vizuri mkuu hata siku wife akiumwa hushindwi kumpikia uji, sasa hawa wenzako majanga tupu kuchemsha maji hawaweziNilijifunza kupika kwasababu sipendi vyakula vya mitaani(Chipsi+Vyakula vya mamantilie) na industrial made foods.
Hio ndio iliyo ni motivate nianze kupika mwenyew.
unachekeshaThis is pure manipulation, una wa-manipulate wenzio ili wakuunge mkono?
Zoea kupingwa it’s not personal, not necessarily atakayewatetea wanawake akawa ana shinda kwenye PM zao.
Wewe nafaham vzr uwezo wako wa mapishi..😂😂😂Kwakweli tusichoshane
upo kama mimi mkuu, mimi kwenye suala la kupika niko vizuri sana ila izo kazi kama unavojua sisi wanaume hatufit.Mwanamke ambae hajui kupika SITAKI hata kumuona. Kwanini?
Mimi najua kupika sana, na napenda kula vizuri. Sasa kuoa Mwanamke ambae hajui kupika sitaki kulisikia hilo swala. Sitaki kuishi kibachela wakati nimeoa.
Yes nakubali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaka yangu, usisahau kaskazini hatokagi phaller...!!
Achana na kilimo, njoo tuweke mikeka tubet[emoji23]Usinifanyie hivyo shem,fanya nipate miguu kadhaa nilime nanasi ya mpingo nijikwamue shemeji yako
Yaan Wanawake wengi hawajui kupika siku hizi. Hata hao wa vijijini ni mabomu kabisa maana kuna beki 3 wetu hapa aisee anapika roast kama anachemsha supu.upo kama mimi mkuu, mimi kwenye suala la kupika niko vizuri sana ila izo kazi kama unavojua sisi wanaume hatufit.
sasa kuna stage mwanaume unafikia inabidi uvute msaidizi wa kukusaidia majukumu kama hayo ili ionekane kweli umeaga ubachela af unakutana na changamoto kama iyo, like wtf.!!
Sio kweli siwez chochoteWewe nafaham vzr uwezo wako wa mapishi..
HeheeeeMada za kuwadhalilisha mama na dada zetu ifike mahali zikomeshwe .. Si kila kitu akiweze vingine ni kusaidiana.. Swala la mapishi hata mwanaume anaweza kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo hapa nakula wali wa rice cookerKwanza: Kama hujamuoa usimpe majukumu ya mke, kupika ikiwemo si ndivyo tulivyojadili katika nyuzi kibao humu?
Pili: Kama ni mke na umemuoa umegundua hajui kupika mrudishe kwao akajifunze.
Tatu: Wanawake wote wa JF tunajua kupika, kwa reference zaidi kaangalie uzi wa vyakula. Hivyo hii mada haituhusu na kwa heshima na taadhima tunaomba muwaambie watu wenu huko huko.
Nne, wanaume wa JF wengi wenu mnafanya Online gender based violence (OGBV) as if hao wanawake zenu hawana jema hata moja.
Mwisho siku nikigundua shemeji yenu yupo humu, ntampa likizo ya miezi 6, agghr wanaume humu mna gubu bwana!