Wanawake jifunzeni mapishi, mnatia aibu

Wanawake jifunzeni mapishi, mnatia aibu

Wanawake wa siku hizi sijui mmekuja kuwaje kwenye suala la mapishi ya jikoni. Ivi mnajua kwanini mwanaume akioa waswahili tunasema Kavuta Jiko?

Unakuta kijana umeopoa dem au mchumba wako kabisa yupo geto ila unalazimika kwenda restaurant kutafuta msosi ili upeleke mle pamoja kisa mpenzi wako hajui kupika. Unaweza kuta foleni ya vijana wa kiume kwenye vibanda vya chips ukazani ni wao wanakula kumbe wameagizwa na wale wa kuitwa pisi kali uko magetoni.

Kitu pekee mnachojitaidi kupika ni wali [kwenye rice cooker] na kuchemsha chai kwenye jagi.

Kuna wengine baadhi wapo kwenye ndoa ila linapokuja suala la kupika kwao ni kipengele, wanawapakazia wafanyakazi wa ndani.

Tatizo ni kubwa sana hususani kwa hawa wanawake waliofika chuo, tena usiombe ukute kabandika tips kwenye kucha.!!

Basi kama huwezi kupika ugali jitaidi kabla hujaolewa angalau uwe unajua kupika chapati laini za kusukuma.!! na pakujifunzia ni ukuku magetoni maana uko majumbani kwenu kila kazi mmewatelekezea wadada wa kazi.!!

Mnafanya baadhi ya wanaume tunaojielewa na waowaji kuwa hit & run.

View attachment 2791693

Kwahizo kucha simtakula ma** duh yan mtu unapikaje na mikucha mirefu hivo uchafu hata unawe vipi
 
kwa hiki umeandika hapa akili huna ndugu! Maisha yamerahisishwa. Mkeo hajui kupika kwanini usimlipie miezi 2-3 ajifunze mapishi? acha roho mbaya ya kusema vibaya wanawake wewe, kuwa na adabu. Kuna vifaa sikuhizi vinafanya karibu kila kitu Cha jikoni kwann usimnunulie mkeo?

Upendo huna na mkeo nyauuu wewe

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Nyie ndo tunawagongea wake zenu kila siku kwa kuwadekeza kwaiyo inamaana alikuwa hajui majukumu yake ya kuolewa ni nini ni pamoja na kumuhudumia mume wake pamoja na kupika yani nikuoe alafu eti nikupeleke ukasomee mapishi iv akili zako kipo kichwani au ziko makalioni mama yake alikuwa na majukumu gani kwa binti yake Kwaiyo alimuoza aje nikamlipie course ya mapishi brother kwa huluma zako hizo utagongewa mkeo kila cku life inataka misimamo
 
kiislam mwanamke anaolewa sababu ya kuongeza familia tu.
Hayo ya mapishi ni kujiongeza kwake.
 
Kwaili kaka umekosea kwaiyo unataka kusema tuwekeane zamu na mwanamke kuhusu kupika na kama sina uwezo wa kuweka house girl inakuaje tena unakuta maali yenyewe wamekomaa millioni 3 hawajapunguza hata mia alafu jitu lenyewe box kupika zero
Hapana sijasema hivyo kakini kwenye ndoa sio mambo fulani yafanywe na mmoja tu utadhani ni sheria kumbuka
Kuna kuchoka
Kuna kuumwa
Kuna dharura nk
Ni lazima na ni muhimu siku moja moja naye afurahie pishi lako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hujui hujui tu

Mfano ukitaka kupika mchuzi mzito unafanyaje

Tumia tui la Nazi au viazi mviringo ,karoti kiufupi wanawake hawajui kupika unamletea Nyama ili apike then anaishia kujaza maji kibao Nyama zinelea juuu juu
Kuna wanawake hawapiki,wanachemsha!mtu hajui hata chai anapika mbichi huyo nae mtu
 
Wanawake wa siku hizi sijui mmekuja kuwaje kwenye suala la mapishi ya jikoni. Ivi mnajua kwanini mwanaume akioa waswahili tunasema Kavuta Jiko?

Unakuta kijana umeopoa dem au mchumba wako kabisa yupo geto ila unalazimika kwenda restaurant kutafuta msosi ili upeleke mle pamoja kisa mpenzi wako hajui kupika. Unaweza kuta foleni ya vijana wa kiume kwenye vibanda vya chips ukazani ni wao wanakula kumbe wameagizwa na wale wa kuitwa pisi kali uko magetoni.

Kitu pekee mnachojitaidi kupika ni wali [kwenye rice cooker] na kuchemsha chai kwenye jagi.

Kuna wengine baadhi wapo kwenye ndoa ila linapokuja suala la kupika kwao ni kipengele, wanawapakazia wafanyakazi wa ndani.

Tatizo ni kubwa sana hususani kwa hawa wanawake waliofika chuo, tena usiombe ukute kabandika tips kwenye kucha.!!

Basi kama huwezi kupika ugali jitaidi kabla hujaolewa angalau uwe unajua kupika chapati laini za kusukuma.!! na pakujifunzia ni ukuku magetoni maana uko majumbani kwenu kila kazi mmewatelekezea wadada wa kazi.!!

Mnafanya baadhi ya wanaume tunaojielewa na waowaji kuwa hit & run.

Hiyo chapati ndio slay queen anasema ukitaka yenye shepu nzuri hiyo kazi iachie Ituruki🤣
 
Maisha haya
Wanaojua kukarangiza waume zao hata nyumbani kurudi tu mbinde
Vyakula wanapika wanakula wenyewe
 
Kuna wanawake hawapiki,wanachemsha!mtu hajui hata chai anapika mbichi huyo nae mtu
😁Sasa mnabidi mfundishane ,maana Kuna watu hawajui kuwa chakula kinachukua Sehemu kubwa katika Maisha ya Binadamu ikiwemo mwonekano na Afya ya mwili kiujumla.


Ikiwa hali itaendelea hivi tutegemee kuwaona vijana Kama wazee na wazee Kama vijana.
 
Kwaili kaka umekosea kwaiyo unataka kusema tuwekeane zamu na mwanamke kuhusu kupika na kama sina uwezo wa kuweka house girl inakuaje tena unakuta maali yenyewe wamekomaa millioni 3 hawajapunguza hata mia alafu jitu lenyewe box kupika zero
kumbe unalipa 'maali' ili ununue mpishi?
 
"....na pakujifunzia ni ukuku magetoni maana uko majumbani kwenu kila kazi mmewatelekezea wadada wa kazi.!!"😂😂
 
Nipo salama kabisa, kutoka mitaa ya jangwani
Aah kumbe ndio maana [emoji23]
bd78571d-313b-471a-9b3b-bbc05c6a4b6d.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake wa siku hizi sijui mmekuja kuwaje kwenye suala la mapishi ya jikoni. Ivi mnajua kwanini mwanaume akioa waswahili tunasema Kavuta Jiko?

Unakuta kijana umeopoa dem au mchumba wako kabisa yupo geto ila unalazimika kwenda restaurant kutafuta msosi ili upeleke mle pamoja kisa mpenzi wako hajui kupika. Unaweza kuta foleni ya vijana wa kiume kwenye vibanda vya chips ukazani ni wao wanakula kumbe wameagizwa na wale wa kuitwa pisi kali uko magetoni.

Kitu pekee mnachojitaidi kupika ni wali [kwenye rice cooker] na kuchemsha chai kwenye jagi.

Kuna wengine baadhi wapo kwenye ndoa ila linapokuja suala la kupika kwao ni kipengele, wanawapakazia wafanyakazi wa ndani.

Tatizo ni kubwa sana hususani kwa hawa wanawake waliofika chuo, tena usiombe ukute kabandika tips kwenye kucha.!!

Basi kama huwezi kupika ugali jitaidi kabla hujaolewa angalau uwe unajua kupika chapati laini za kusukuma.!! na pakujifunzia ni ukuku magetoni maana uko majumbani kwenu kila kazi mmewatelekezea wadada wa kazi.!!

Mnafanya baadhi ya wanaume tunaojielewa na waowaji kuwa hit & run.

Hiyo ni pisi kali au kibaka?Hata kukupikia supu ya kabeji hawezi?🤔
 
Back
Top Bottom