Wanawake jifunzeni mapishi, mnatia aibu

Wanawake jifunzeni mapishi, mnatia aibu

Mada za kuwadhalilisha mama na dada zetu ifike mahali zikomeshwe .. Si kila kitu akiweze vingine ni kusaidiana.. Swala la mapishi hata mwanaume anaweza kufanya

Mkuu najua wanawake wengi wasiojielewa wataipenda hii post yako...

Mwanamke kwa asili kaumbwa kulea au kutunza watoto na familia na ndio maana anaitwa MAMA...

Moja ya hitaji muhimu la binadamu kati ya yale matatu ni chakula...

Mwanaume kaandikiwa kukitafuta chakula na kukileta kwa familia, mwanamke anamalizia kwa kuhakikisha namna familia itavyoweza kukitumia chakula hicho...
 
Amphibians hawaishi jangwani
22ef6680-3baa-4bf2-a982-cd05bebf12ce.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu najua wanawake wengi wasiojielewa wataipenda hii post yako...

Mwanamke kwa asili kaumbwa kulea au kutunza watoto na familia na ndio maana anaitwa MAMA...

Moja ya hitaji muhimu la binadamu kati ya yale matatu ni chakula...

Mwanaume kaandikiwa kukitafuta chakula na kukileta kwa familia, mwanamke anamalizia kwa kuhakikisha namna familia itavyoweza kukitumia chakula hicho...
Natambua kuna majukumu msingi kwa kila mmoja ndani ya ndoa lakini pia kuna majukumu shirikishi..
Majukumu msingi hubaki kwa jinsia husika na hayachangamani na jinsia kinzani.. Mfano kubeba mimba
Kwa maisha ya kisasa ishu za utafutaji ni majukumu shirikishi.. Hivyo mwenzako akienda kuhangaika kama wewe mwanaume una muda si mbaya kutoa msaada pale panapohitajika .. Na hili hufanyika kwa upendo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza: Kama hujamuoa usimpe majukumu ya mke, kupika ikiwemo si ndivyo tulivyojadili katika nyuzi kibao humu?

Pili: Kama ni mke na umemuoa umegundua hajui kupika mrudishe kwao akajifunze.

Tatu: Wanawake wote wa JF tunajua kupika, kwa reference zaidi kaangalie uzi wa vyakula. Hivyo hii mada haituhusu na kwa heshima na taadhima tunaomba muwaambie watu wenu huko huko.

Nne, wanaume wa JF wengi wenu mnafanya Online gender based violence (OGBV) as if hao wanawake zenu hawana jema hata moja.

Mwisho siku nikigundua shemeji yenu yupo humu, ntampa likizo ya miezi 6, agghr wanaume humu mna gubu bwana!
Nitoe kwa hiyo list tafadhali 🤣
 
Nitoe kwa hiyo list tafadhali 🤣
Yah wewe nakutoa, na hoja zako hata zikiwa against women zinakuwa very rational.

Hawa wengine “wengi wao” nadhani they find joy in attacking women, ndipo lilipo tatizo.
 
Natambua kuna majukumu msingi kwa kila mmoja ndani ya ndoa lakini pia kuna majukumu shirikishi..
Majukumu msingi hubaki kwa jinsia husika na hayachangamani na jinsia kinzani.. Mfano kubeba mimba
Kwa maisha ya kisasa ishu za utafutaji ni majukumu shirikishi.. Hivyo mwenzako akienda kuhangaika kama wewe mwanaume una muda si mbaya kutoa msaada pale panapohitajika .. Na hili hufanyika kwa upendo

Mkuu hakuna usasa kwenye kanuni za kiasili...

Mleta mada analalamika juu ya mwanamke kushindwa kutimiza kanuni ya asili...

Yes mwanaume anaweza kupika, anaweza kuwa msaada katika kuandaa maakuli, sasa iweje mwenye jukumu la kiasili ashindwe?
 
nilichogundua wanaume wengi wanaotetea wanawake kwenye ishu ya kupika kwenye huu uzi wengi wao wamejaa kwenye pm za hao wadada kujinadi, poleni.
 
Ukiwa na Pesa Kuna vitu huwezi lalamikia mwanamke[emoji23]
Pengine akaunti zangu za benki zimeshiba kuliko zako but i think its better tustick kwenye mada.
Mwanamke lazima ajue kupika.!!
 
Mbona nimefeel offended hapo kwenye upishi wa kimataifa wa chapati 🤣🤣
Kama wewe ni mpishi mzuri wa chapati najitolea kukuoa. Piab nakuahidi kuwa nawe hadi pale tabia mbaya ya mmoja wetu itakapotuachanisha.
 
Back
Top Bottom