Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
[emoji28] [emoji28] [emoji28]
Tupumzisheni aiseee!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28] [emoji28] [emoji28]
Mara wenye matiti yaliyolala ni maskini[emoji23][emoji23][emoji23]Mapumziko muhimu aisee watatutoa roho [emoji23][emoji23]
Fundi sana[emoji119][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bora unitetee hun wangu watanitoa roho
Kwani kuna ubaya gani mkisaidiana kupika na mkeo/ mpenzi wako?? Mimi najua kupika kila chakula lakini baba watoto wangu huwa ananisaidia kupika ugali kila tukiwa na mlo huo mimi nitaandaa mboga. Sio kwamba siwezi kupika lah bali anaona kuna haja ya kusaidiana. Hakuna ubayaKwaili kaka umekosea kwaiyo unataka kusema tuwekeane zamu na mwanamke kuhusu kupika na kama sina uwezo wa kuweka house girl inakuaje tena unakuta maali yenyewe wamekomaa millioni 3 hawajapunguza hata mia alafu jitu lenyewe box kupika zero
Jamaa mkenya sio rizkivideo imekaa kiupinde au ni mimi tu😂
Kwakweli tunaonewa sana kila kitu sisi tuuu khaa too much kila uzi ni sisi tuMada za kuwadhalilisha mama na dada zetu ifike mahali zikomeshwe .. Si kila kitu akiweze vingine ni kusaidiana.. Swala la mapishi hata mwanaume anaweza kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
usijali, hela zikiwepo naamini haya mambo madogo hayaleti stress
Si unamfundisha tuMwanamke asiyejua kupika hana sifa ya kuwa mke
Hakuna kitu wanaume tunafurahia kama kula mapishi ya mkeo anayejua kupika
[emoji23][emoji23]Mapumziko muhimu aisee watatutoa roho [emoji23][emoji23]
Watoto sikuiz wanapikiwa vyakula havina lishe, kila siku mtoto anakula tambi, ubwabwa na sembe kila siku unategemea watakua lini? Unakutana na mtoto unafikiri yuko shule ya msingi kumbe sekondari tena form 4.!!Mwanamke kujua kupika ni muhimu sana kwa ustawi wa afya ya mwili na akili za watoto.
Asipojua kupika kashapoteza sifa ya kuwa mama bora wa watoto wako
Sana yaani Wana gubu sanaaaaa utadhani wao malaikaKwanza: Kama hujamuoa usimpe majukumu ya mke, kupika ikiwemo si ndivyo tulivyojadili katika nyuzi kibao humu?
Pili: Kama ni mke na umemuoa umegundua hajui kupika mrudishe kwao akajifunze.
Tatu: Wanawake wote wa JF tunajua kupika, kwa reference zaidi kaangalie uzi wa vyakula. Hivyo hii mada haituhusu na kwa heshima na taadhima tunaomba muwaambie watu wenu huko huko.
Nne, wanaume wa JF wengi wenu mnafanya Online gender based violence (OGBV) as if hao wanawake zenu hawana jema hata moja.
Mwisho siku nikigundua shemeji yenu yupo humu, ntampa likizo ya miezi 6, agghr wanaume humu mna gubu bwana!
Kabisa yaani hatari sana hawana jema 😀😀Watuue wabaki wenyewe bas tujue moja [emoji23][emoji23][emoji23]
Fundi sana[emoji119]
Baada ya kuraruliwa kule misri umekua mjumbe wa dawati 😅😅😅Mada za kuwadhalilisha mama na dada zetu ifike mahali zikomeshwe .. Si kila kitu akiweze vingine ni kusaidiana.. Swala la mapishi hata mwanaume anaweza kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna hawa dada zetu wa migombani wanajua kupika mtori tu wengi wamejificha kwenye kivuli cha mabeki tatu ila mapishi yamewapitia kushoto sana
Tutapumzika mbunguni wallah yaani kukikucha Kuna jipya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mtuache tupumue uku, mjifunze kupika, kwingine muache kuomba hela, kule muoshe papuchi TUMECHOKAAAAA [emoji119][emoji119]
Umeandika upupu.Jomba unaoa mke mjenge familia au unaoa mpishi akupikie? Kama mkeo hawezi kupika si umpeleke hata kozi fupi VETA ya mapishi? Au mtafutie mtaalamu amfundishe. Pengine hata wewe mwenyewe umfundishe baadhi ya vitu. Ifike sehemu wanaume tuwe na vifua vya kuficha madhaifu ya wenza wetu. Ishu ya kupika ni ndogo sana kiasi cha kuwaza upumbavu wa kufungua uzi wa kuwaponda wanawake. Ninashauri Mods wawe wanafuta hizi nyuzi za kudhalilisha wanawake. Hapa JF sasa zimezidi.
Mara katika watatu wawili wana harufu[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bora unitetee hun wangu watanitoa roho