Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Wee hiyo sijaiona aisee 😀😀Mara wenye matiti yaliyolala ni maskini[emoji23]
Watatuua Hawa viumbe looh😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee hiyo sijaiona aisee 😀😀Mara wenye matiti yaliyolala ni maskini[emoji23]
Kidawa naomba ufungue cooking class tushachambwa huku hatujui kupika😀😀
Hilo alitakiwa ajifunze akiwa kwao.Si unamfundisha tu
Tutapumzika mbunguni wallah yaani kukikucha Kuna jipya
😂😂Dadaangu Mimi mwenyew tia maji tia maji mtaachwa kabisa kama mm ndo Mwalimu wa hayo mapishi 😂😂😂Kidawa naomba ufungue cooking class tushachambwa huku hatujui kupika
Fanya au toa utafiti utende haki badala ya mjumuisho ambao ni ushahidi wazi wa ukilaza mwananguWanawake wa sikuizi sijui mmekuja kuwaje kwenye suala la mapishi ya jikoni. Ivi mnajua kwanini mwanaume akioa waswahili tunasema Kavuta Jiko?
Unakuta kijana umeopoa dem au mchumba wako kabisa yupo geto ila unalazimika kwenda restaurant kutafuta msosi ili upeleke mle pamoja kisa mpenzi wako hajui kupika. Unaweza kuta foleni ya vijana wa kiume kwenye vibanda vya chips ukazani ni wao wanakula kumbe wameagizwa na wale wa kuitwa pisi kali uko magetoni.
Kitu pekee mnachojitaidi kupika ni wali [kwenye rice cooker] na kuchemsha chai kwenye jagi.
Kuna wengine baadhi wapo kwenye ndoa ila linapokuja suala la kupika kwao ni kipengele, wanawapakazia wafanyakazi wa ndani.
Tatizo ni kubwa sana hususani kwa hawa wanawake waliofika chuo, tena usiombe ukute kabandika tips kwenye kucha.!!
Basi kama huwezi kupika ugali jitaidi kabla hujaolewa angalau uwe unajua kupika chapati laini za kusukuma.!! na pakujifunzia ni ukuku magetoni maana uko majumbani kwenu kila kazi mmewatelekezea wadada wa kazi.!!
Mnafanya baadhi ya wanaume tunaojielewa na waowaji kuwa hit & run.!!!
Inasikitisha sana. Shida inaanzia kwa mwanamke asipojua kupika watoto watapikiwa mivyakula ya hovyo sanaWatoto sikuiz wanapikiwa vyakula havina lishe, kila siku mtoto anakula tambi, ubwabwa na sembe kila siku unategemea watakua lini? Unakutana na mtoto unafikiri yuko shule ya msingi kumbe sekondari tena form 4.!!
Mara katika watatu wawili wana harufu[emoji23]
Mwingine anasema wenye matiti yaliyolala ni maskini
Ujumbe umefika lknAlie rekodi hii sauti ya katuni ni mwanaume, ila sidhani kama ni rijali
Mnapigwa left and rightWee hiyo sijaiona aisee [emoji3][emoji3]
Watatuua Hawa viumbe looh[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hatareee
Sasa matiti wakitaka yaendelee kusimama waache kuyanyonya!! Na wewe ni mmojawapo [emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini ni ishu ya kuelekezana ila nyie hamtaki kurekebisha ndio shidaHilo alitakiwa ajifunze akiwa kwao.
Sema hawa mabinti waliokulia kwenye hizi familia zilizokuwa na mabeki tatu na hakukuwa na zamu ya kupika nyumbani chumba chake anafanyiwa usafi anafuliwa ni bomu hawajui KUPIKA wala USAFI
Tukishtuka pumzi zinabana tunaamkia Muhimbili wametupania balaa 😂Mnapigwa left and right
Wanawake wa sikuizi sijui mmekuja kuwaje kwenye suala la mapishi ya jikoni. Ivi mnajua kwanini mwanaume akioa waswahili tunasema Kavuta Jiko?
Unakuta kijana umeopoa dem au mchumba wako kabisa yupo geto ila unalazimika kwenda restaurant kutafuta msosi ili upeleke mle pamoja kisa mpenzi wako hajui kupika. Unaweza kuta foleni ya vijana wa kiume kwenye vibanda vya chips ukazani ni wao wanakula kumbe wameagizwa na wale wa kuitwa pisi kali uko magetoni.
Kitu pekee mnachojitaidi kupika ni wali [kwenye rice cooker] na kuchemsha chai kwenye jagi.
Kuna wengine baadhi wapo kwenye ndoa ila linapokuja suala la kupika kwao ni kipengele, wanawapakazia wafanyakazi wa ndani.
Tatizo ni kubwa sana hususani kwa hawa wanawake waliofika chuo, tena usiombe ukute kabandika tips kwenye kucha.!!
Basi kama huwezi kupika ugali jitaidi kabla hujaolewa angalau uwe unajua kupika chapati laini za kusukuma.!! na pakujifunzia ni ukuku magetoni maana uko majumbani kwenu kila kazi mmewatelekezea wadada wa kazi.!!
Mnafanya baadhi ya wanaume tunaojielewa na waowaji kuwa hit & run.!!!
Na wakwende🤣🤣
Mzee we usijali, wewe fanya usafi wa mwili wako vizur na usafi wa ghetto.Sio kupika tu hata usafi hawafanyi usafi wao wa Mwili Mimi nilivyogundua hili Jambo niliamua kuchukua kadi kwa dronedrake .
Maana Ukila chakula unaishia kuhrisha ukimgusa Mwili unakula UTI Sugu shida tupu
Hamna muda wa kuelekezana.Lakini ni ishu ya kuelekezana ila nyie hamtaki kurekebisha ndio shida
Umefika mama wala usijali, mi najua kupika kwaio hata mwanamke asipojua kupika mi kwangu sawa tuu.Ujumbe umefika lkn