Wanawake jifunzeni mapishi, mnatia aibu

Wanawake jifunzeni mapishi, mnatia aibu

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Kwakweli ndio maana mna flat tummy
Mie bila ubwabwa sitoboi ila wadada wengi wanajua kupika tatizo muda tu
Kiukweli muda ni kikwazo....hv nitoke kwenye mihangaiko yangu saa mbili usiku nianze kusukuma chapati wakati Kuna tambi na mayai 🀣🀣🀣🀣🀣
 
Ninamfahamu binti harusi yake nilihudhuria (wazazi wake tunatoka kijiji kimoja) aliolewa na mkenya yule binti hakukaa hata mwezi jamaa alirudisha kwao wamfundishe kupika na kufanya usafi wa nyumba na wake pia,utakapotaka ajifunze atakwambia weka house maid ayafanye hayo coz kwao hawakuwa wakipika wala kufua.

Aged 24 anarundika chupi kwenye tenga zinakaa mwezi kisa anazo nyingi kuchemsha hata maji kwenye gas hajui aanzie wapi,haya ni mambo yapo sisi wenye familia leo inabidi tuzingatie sana kwamba tunapofanya jukumu la malezi tujue tunalea mume wa mtu na mke wa mtu wa kesho
bado hunishawishi, sidhani kama kuna mwanamke atakubali ndoa yake ivunjike kisa hajui kupika, labda hakupendi

ni kumpa muda tu ajifunze
 
Mara utasikia mna michirizi



Sasa matiti wanataka yasimame yatundike koti au na wanavyoyanyonya pumbavu hawa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Yani mtu anavuta chuchu na mijino yake 32 afu anataka yabaki hivo hivo [emoji57][emoji57]
 
Wanawake wa sikuizi sijui mmekuja kuwaje kwenye suala la mapishi ya jikoni. Ivi mnajua kwanini mwanaume akioa waswahili tunasema Kavuta Jiko?

Unakuta kijana umeopoa dem au mchumba wako kabisa yupo geto ila unalazimika kwenda restaurant kutafuta msosi ili upeleke mle pamoja kisa mpenzi wako hajui kupika. Unaweza kuta foleni ya vijana wa kiume kwenye vibanda vya chips ukazani ni wao wanakula kumbe wameagizwa na wale wa kuitwa pisi kali uko magetoni.

Kitu pekee mnachojitaidi kupika ni wali [kwenye rice cooker] na kuchemsha chai kwenye jagi.

Kuna wengine baadhi wapo kwenye ndoa ila linapokuja suala la kupika kwao ni kipengele, wanawapakazia wafanyakazi wa ndani.

Tatizo ni kubwa sana hususani kwa hawa wanawake waliofika chuo, tena usiombe ukute kabandika tips kwenye kucha.!!

Basi kama huwezi kupika ugali jitaidi kabla hujaolewa angalau uwe unajua kupika chapati laini za kusukuma.!! na pakujifunzia ni ukuku magetoni maana uko majumbani kwenu kila kazi mmewatelekezea wadada wa kazi.!!

Mnafanya baadhi ya wanaume tunaojielewa na waowaji kuwa hit & run.!!!
Eeeewe unaweza kupika nn
 
Ni mwendo wa kukaanga mayai...kigetogeto
Kwenye friji hukosi mayai na mkate na juice ya ceres just in case of anything[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Me nimejikomboa nimeweka binti nikitamani chakula namwambia, wageni wakija anafanya mambo basi akuuuu sio shida zangu!!!
Kila jmos naenda stereo kumkusanyia mazaga yote ya jikoni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na nikiolewa naenda naye akanisaidie kupika kwa mume
 
Kiukweli muda ni kikwazo....hv nitoke kwenye mihangaiko yangu saa mbili usiku nianze kusukuma chapati wakati Kuna tambi na mayai 🀣🀣🀣🀣🀣
Kweli kabisa ni ngumu wengine hatuna kazi za kutubana pia ni hobby tunapika hata usiku wa manane 🀣🀣🀣
 
Me nimejikomboa nimeweka binti nikitamani chakula namwambia, wageni wakija anafanya mambo basi akuuuu sio shida zangu!!!
Kila jmos naenda stereo kumkusanyia mazaga yote ya jikoni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na nikiolewa naenda naye akanisaidie kupika kwa mume
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Ya nn kujitesa mwaya anaoa mke sio mpishi
 
Me nimejikomboa nimeweka binti nikitamani chakula namwambia, wageni wakija anafanya mambo basi akuuuu sio shida zangu!!!
Kila jmos naenda stereo kumkusanyia mazaga yote ya jikoni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na nikiolewa naenda naye akanisaidie kupika kwa mume
Hili wqzo konki ngoja na mie nitafute binti jamani nachoka sana sasa binti awe anajua kupika maana napo mtihani
 
Mapishi Sanaa aisee
Kuna namna ukiwa na vitu tayar akili ishajua unachopika kinakuwaje ndio maana rahis hata kukadiria chumvi bila kuonja

Ubunifu muhimu Sana Kuna demu nilikuwa nampikia chakula anabaki kushangaa wiki mbili alizokula msosi wangu alipendeza Sana kiufupi chakula ni kitu muhimu kwa MAISHA ya binadamu sio busara Mwanamke kaolewa anaanza kuchukulia kawaida akiamini uchi wake ndo utampa Maisha .

Mtu anayekula vizuri kwanza anakuaga na furaha na tabasamu Sana sema wanawake hawajui
 
Hili wqzo konki ngoja na mie nitafute binti jamani nachoka sana sasa binti awe anajua kupika maana napo mtihani

Tafuta wa kutoka Tanga au Malawi utaenjoy [emoji23][emoji23][emoji23]
Ninaye wa kutoka Tanga anapika balaa, na usafi yuko vizuri!! Sema Kantry akija anamtolea macho kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Itabidi nichague mmoja dada au Kantry nishaona dalili mbaya bff
 
Hakunaga tuzo ya mtesekaji bora wasaidizi muhimu sana
Kuna kuteseka na kuishi standard life katika vitu ambavyo unabidi kuwa navyo makini ni Pamoja na chakula usikubali kula ilimradi anda chakula bora ambacho akitakupa madhara na utabaki na Mwili mzuri


Nadhani. Mnawaona wanawake jinsi wanavyoteseka na maradhi ambayo chanzo ni Life style so tujitahidi kuzingatia hapo .

Unakuta binti yupo Around 20s lakini anaonekana kashaisha amechoka balaa
 
bado hunishawishi, sidhani kama kuna mwanamke atakubali ndoa yake ivunjike kisa hajui kupika, labda hakupendi

ni kumpa muda tu ajifunze
Iko hivi,ktk ukuaji kuna vitu sisi watoto huvirithi moja kwa moja kutoka kwa wazazi wetu na hivi kama mtu hakufanikiwa kurithi vilivyo vyema huwezi leo wewe mtu baki kumfundisha avifanye sawa sawa eti kwa sababu anakupenda,hata kama anakupenda atakukinai kwa sababu utakuwa unamtaka awe mtu ambae anajua hawezi kuwa.

Yeye naye atakuja na hoja yake mezani kwamba sisi kwetu tulikuwa moja mbili tatu so na sisi tufanye kama vile kwa sababu hakuna hasara wewe tafuta hela weka hausigel wakati wewe umeona mama yako akiwajibika moja kwa moja kwenye familia lazima utataka huyu awe kama mama kitu ambacho hakukiishi ndiyo maana nikasema hata sisi wazazi tuwe makini na watoto wetu kimalezi.
 
Back
Top Bottom