Wanawake jitahidini kutoweka wazi shida zenu mapema mnapoingia kwenye penzi jipya

Ngamia kwa kujichoresha ??
 
Nyie wadada mkiombwa sex mapema na wanaume mnaowapenda, hamuoni shida kuwapa papuchi ndani ya masaa, ila mkiombwa sex na wanaume msiowataka, mnakuwa wakali na kuanza kulaumu hao wanaume, na kuanza kuwawekea vikwazo na demands nyingi @suzie_barbie
 
Urithi wa bibi ndio unaoleta yote hayo [emoji1787][emoji1787]
Ila sagodi alitupendelea kutuwekea kile kitufe tunatamba tyuuu!! [emoji2222][emoji2222]
Inategemea na mwanaume unaekutana nae, na mvuto ulionao, uwe na sura mbovu half flat screen, utegemee utanichuna, hehee mbona utakula vumbi Lamomy
 
Wanajidhalilisha sana ndio maana wengine tukishaona vizinga vingi tunapiga na kusepa
Wewe uendelee tu kupata hao mademu wazee wa vizinga mana mwenyewe unadai huna muda wa kutulia na mwanamke, hutaki ndoa ni mzee wa chapa ilale so hao hao ndio wanakufaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi mmoja nilipomwambia tuonane tu akaumwa akataka 10 aende hospital nikamwambia sina nikachezeq block [emoji1787][emoji1787]. Siku hizi demu akiomba hela mapema na mir naomba mzigo nakula mbususu nalala mbele
Ukiona hivyo ujue hupendwi ndugu yangu. Mtu akikupenda kwanza anakua na huruma hawezi tanguliza shida zake mbele kiasi hicho. Tafakari, chukua hatua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie wadada mkiombwa sex mapema na wanaume mnaowapenda, hamuoni shida kuwapa papuchi ndani ya masaa, ila mkiombwa sex na wanaume msiowataka, mnakuwa wakali na kuanza kulaumu hao wanaume, na kuanza kuwawekea vikwazo na demands nyingi @suzie_barbie
Correct.

Vilevile mwanaume ukimpenda mwanamke na akaomba msaada wa hela, msiwe mnaona shida kutoa.

Kama hamtaki kuombwa hela, then hudumieni wapenzi wenu. Mnataka wanawake wazuri, wanaonukia, wanaopendeza mnadhani ni kazi nyepesi kupendeza,??? Kuwa mwanamke anayejipenda ni gharama.
 
Mi mmoja nilipomwambia tuonane tu akaumwa akataka 10 aende hospital nikamwambia sina nikachezeq block [emoji1787][emoji1787]. Siku hizi demu akiomba hela mapema na mir naomba mzigo nakula mbususu nalala mbele
Yaani 10k ndo yakumnyima mtu??? Hata kama ni mtu baki anaumwa unashindwa msaidia kama uwezo nao...

Aibu gani hii???
 
Mademu wa kibongo ni michosho tu, mnakutana leo hii mchana na mnapeana namba ya simu....utashangaa usiku anakupigia simu huku akilia eti mwenye nyumba anataka kumtimua usiku ule ule anomba milioni 10 kodi ya mwaka mzima. Akiwa na busara atasubiri mpaka kesho ndipo akupigie simu na kukuambia kachoka kutembea anataka umnunulie Range.
 
Elfu 80 kwako ni pesa ya kawaida sanaaa..!!!
Hongera sanaa Binti.

#YNWA
 
Suala hapa ni changudoa si mke......kumbuka changudoa hana thamani na haghalamiwi hata siku moja because yeye kaamua kuwa mpambanaji wa kimwili tayari.
 
"Baby tuma na ya kutolea"

-Kaveli-
Diamond huyu mtoto ni wako, nimepima DNA privately nimeambiwa mtoto ni wako. Sumu ya machangudoa wote ni DNA tu, mtu unazaa na kibaka huko mitaani kwa sababu ya tamaa za kijinga eti mwisho wa siku unakuja kunipa mimi majukumu ya kutunza mtoto wa kibaka, akija kunikaba je huko mbeleni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…