muvangulumemile
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 686
- 966
Kwani huna wazazi?Tusipowaambia tumwambie nani ?? Kuwa serious
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani huna wazazi?Tusipowaambia tumwambie nani ?? Kuwa serious
[emoji23][emoji23][emoji23]hiyo tuliikuta no matter whatKwani huna wazazi?
UNANIANDAMA SANA D 😂😂😂, KUBOLD IMEKUWA NONGWAIlaaaaaa 😂😂 acha kunifokea/ kuniboldia maneno
Acha kuomba omba dadaHi dear, nataka nikusahishe kama wewe ni mgeni humu, jf hua kuna ugomvi usioisha kati ya Me na Ke, ndio maana ukiona Me kaleta mada yake humu haijalishi basi Ke huicrush na Ke ni hivyo hivyo,
Kitu sijakielewa ni Ke kusapoti hiyo gender iliyokosa akili na utu, usiamini kila kinacholetwa humu, kama huyo mtoa mada unakuta mada yake ni ya kusadikika, na wengine wanapita nayo hivyo hivyo kuchangamsha genge,
Wewe kama unaitafuta ndoa kazana ila hakuna Me wa maana humu, wengi wananuka shida utosini hadi nyayoni, kwenda against your own gender hakukupi credit ya kuolewa na mwanaJF,
Thank you.
Huu uwekezaji utazalisha faida baadaye au utaendelea kukukamua tu?!Ungempa tu, uwekezaji mdogo mdogo😂
Bado unanifokea?UNANIANDAMA SANA D 😂😂😂, KUBOLD IMEKUWA NONGWA
NDIO UHALISIA WANGU NAPENDA KUFOKA FOKA SANA JAPO SIFANYI HIPHOP MUSIC 😂Bado unanifokea?
Kwanini capital letters?
Achana nae huyo dada lesbobo aka ladies and gentlemen! Ana hasira na wanaume mpaka kaamua kuwa huko aliko,anasema no hard feelings wakati maneno yake yanaonesha ana hard feelings za hatari kabisa! Afanye yooote ku bleed ataendelea kubleed mpaka anafika menopouse,na kamwe hatakuja kumiliki li.boloh! Age flani ikifika atarudi mwenyewe church mikono nyuma na mayai yote yatakuwa yameshaisha amekaangia chips kwa wanawake wenzake!ngoja nikujibu mojamoja, kua na mpenzi haimaanishi kwamba natafuta ndoa.. and by the way am too young for marriage (am only 22) which means I can't compete with anyone here, just was an advice to these girls ambao walikua wanatoa povu kwa mleta mada wakati kaongea kitu cha msingi... pia mitazamo yangu na yako ni tofauti cause naona kama una chuki binafsi na wanaume hadi ukaamua kua leisbian, so pole sana maana dawa yako mimi sina kipenzi...
Am Sorry kama nimetumia maneno magumu, lengo ni kukufanya tu uache kubishana na mimi kwasababu sipo kwenye hiyo mood 😊😘
Sometimes kama yupo vizuri, ila sometimes hadi hua nawaza atakua na shida mahali🤣🤣🤣... inaonekana yuko depressed sana, hajiamini na lifestyle yake🤦♀️🤦♀️Achana nae huyo dada lesbobo aka ladies and gentlemen! Ana hasira na wanaume mpaka kaamua kuwa huko aliko,anasema no hard feelings wakati maneno yake yanaonesha ana hard feelings za hatari kabisa! Afanye yooote ku bleed ataendelea kubleed mpaka anafika menopouse,na kamwe hatakuja kumiliki li.boloh! Age flani ikifika atarudi mwenyewe church mikono nyuma na mayai yote yatakuwa yameshaisha amekaangia chips kwa wanawake wenzake!
Ukishakuwa mtu wa vile kibongo bongo huwezi kuwa na amani na hiyo lifestyle! Amani full huwa wanaipata wanapokutana na LGBTQ wenzao kwenye vile vi party vyao! Wanakula kunywa na kusaza,ila wakishatoka hapo ni majuto makuu na kutokujiamini!! In short wako depressed sana ndo mana either unawakuta ni wapole sana hawana noma au ukimkuta wa kujifaragua ni ana jifaragua kweli kweli aonekane nae ana amani,kumbe walaa!! Ni wa kuwaonea huruma tu na kuwaombea!! No waySometimes kama yupo vizuri, ila sometimes hadi hua nawaza atakua na shida mahali🤣🤣🤣... inaonekana yuko depressed sana, hajiamini na lifestyle yake🤦♀️🤦♀️
Kwakweli tunatakiwa kuwaombea sana🤝Ukishakuwa mtu wa vile kibongo bongo huwezi kuwa na amani na hiyo lifestyle! Amani full huwa wanaipata wanapokutana na LGBTQ wenzao kwenye vile vi party vyao! Wanakula kunywa na kusaza,ila wakishatoka hapo ni majuto makuu na kutokujiamini!! In short wako depressed sana ndo mana either unawakuta ni wapole sana hawana noma au ukimkuta wa kujifaragua ni ana jifaragua kweli kweli aonekane nae ana amani,kumbe walaa!! Ni wa kuwaonea huruma tu na kuwaombea!! No way
aise wengine ni wagonjwa hatari kila ukiomba mbususu anaumwa tu kila ukijaribu kuomba appointment ya mgegedo pisi inagonjeka tu.....Nakumbuka niliwahi kuingia kwenye mahusiano na binti mmoja wa ki Arusha ambae tulijuana kupitia social media, yeye alikua Arusha na mimi nilikua Dar es salaam
Huyu binti kwanza alikua ananikera kitu kimoja, anapenda sana video call sasa sijui alikua anataka kugundua nini
Ingawa nilikua sipendi lakini nikaona anyway kwakua ndo tumeanza mahusiano wacha nimlizishe
Hali hiyo haikunisumbua sana mana nikajua kadri tutakavyozoeana nitamueleza ukweli kwamba mimi sio mpenzi sana wa video call
Tulipanga kuonana na nilimuahidi kwamba ningeenda Arusha kuonana nae
Huyu binti alinivunja moyo kitu kimoja, kabla hata sijaenda kuonana nae kwa mara ya kwanza akanipiga mzinga wa 80k akidai kioo cha simu yake kimepasuka hivyo anataka akakibadirishe.
Alivyonambia hivyo tu nikaona hapa hamna mtu, yani hata kuonana physically kwa mara ya kwanza bado hatujaonana lakini nishapewa invoice ya 80k wakati yeye mwenyewe anafanya kazi na ana kipato.
Nilikua na uwezo wa kumpa ile hela lakini niliona mbona mapema sana kashaanza kuleta matatizo yake it means yupo after something.
Huyu binti nilimkatia mawasiliano 100% mana niliona hana tofauti na Golddigger na safari yenyewe nilii cancel
Ni kweli wanawake mnahitaji kuhudumiwa na wawanaume ila jitahidini kuficha shida zenu mwanzoni tu mwa mahusiano mana mtajikuta watu wanapiga kisha wanatembea yani ni kama vile kununua malaya Riverside kisha kila mtu anachukua hamsini zake.
Hahahahah hatari sana 😂😂😂😂😂Pole sana mkuu vizinga kawaida sana ukiwa kwenye mahusiano na Vitukuu vya Nyerere.
Mi kutoa mwisho aftano tu niwe nishaanza kufaidi kipochi manyoya
View attachment 2799709
Hii noma ilishanikuta hiii 😂😂😂😂aise wengine ni wagonjwa hatari kila ukiomba mbususu anaumwa tu kila ukijaribu kuomba appointment ya mgegedo pisi inagonjeka tu.....
Nani ataoa mgonjwa sasa
We jidanganye nyie ndio wale wanawake ukiona mwanaume ana kupa pesa kwenye uchumba mnategeshea mimba kwa kutarajia kuolewa au ukikosa ndoa upate pesa za matunzo ya mtoto, mwisho wa siku mnabakia kuwa single mother na kuwasukumizia majukumu wanaume wengine.Nyota njema huonekana asubuhi,yaani kama unaona burden mwanzoni yakumsaidia mwanamke au kufanya majukum yako kama mwanaume ndo kwenye hiyo ndoa utaweza?,wacha maneno yako we huna hela tafuta sana la sivyo utaacha sana wanawake kwa ubahili wako..Najua wabahili wenzio watatokwa povu mno.
Afanye afanyavyo atakojoa amechuchumaa akijaribu kusimama atajikojolea [emoji23][emoji23]Achana nae huyo dada lesbobo aka ladies and gentlemen! Ana hasira na wanaume mpaka kaamua kuwa huko aliko,anasema no hard feelings wakati maneno yake yanaonesha ana hard feelings za hatari kabisa! Afanye yooote ku bleed ataendelea kubleed mpaka anafika menopouse,na kamwe hatakuja kumiliki li.boloh! Age flani ikifika atarudi mwenyewe church mikono nyuma na mayai yote yatakuwa yameshaisha amekaangia chips kwa wanawake wenzake!