Wanawake jitahidini kutoweka wazi shida zenu mapema mnapoingia kwenye penzi jipya

Wanawake jitahidini kutoweka wazi shida zenu mapema mnapoingia kwenye penzi jipya

Okay.....Alikuwa bonge la fighter yaani ila maisha hayatabiriki,story yake ni very touching...... mahusiano ya ndoa ndio yamemfikisha hapo
KUna wakati yaliyopita hayakubebi....kwasasa una beba nini kichwani na moyoni?

Imeandikwa... hata sasa ufalme wa Mungu unatekwa na wenye nguvu...hata sasa..zingatia hili
 
Hoja yangu ni kutokua serious sana na mambo ya humu, ukiona mtu kaweka comment yake isiyokupendeza wewe pita kimya kimya, kulazimisha mawazo ya wote yafanane huo ni upuuzi na kuingilia uhuru wa kujieleza,
mpe wewe maua yake kwa ndoa maana anaitafuta kwa bidii ila nimemwambia sio humu hatopata zaidi atakuja kuanikwa tu kama walotangulia.
Unatafuta Ligi tu! Hapa mtu lazima uwe huru! Kuna wanaokejeli, kuna waelimisha, kuna tunaojifunza etc. Hivyo si kila msomaji au mtoa mada hayupo serious!

Ni haki yako kuhisi unavyohisi, lakini usilazimishe mawazo au mtizamo wako kwa wanawake wote wa JF. Kama ulipigwa na kitu Kizito hapa JF, usikariri kuwa kila dume ni hivyo, likewise mtu akiliwa nauli asifikiri wanawake wote wa JF ni wala nauli.

Tuheshimu mawazo ya wenzetu ili wawe huru kuwepo JF. Kwangu napenda kujifunza hapa JF!
 
Hoja yangu ni kutokua serious sana na mambo ya humu, ukiona mtu kaweka comment yake isiyokupendeza wewe pita kimya kimya, kulazimisha mawazo ya wote yafanane huo ni upuuzi na kuingilia uhuru wa kujieleza,
mpe wewe maua yake kwa ndoa maana anaitafuta kwa bidii ila nimemwambia sio humu hatopata zaidi atakuja kuanikwa tu kama walotangulia.
Ila watu 😂😂😂... aliyekwambia mimi natafuta ndoa nani?😃😃
 
KUna wakati yaliyopita hayakubebi....kwasasa una beba nini kichwani na moyoni?

Imeandikwa... hata sasa ufalme wa Mungu unatekwa na wenye nguvu...hata sasa..zingatia hili
Hapana,sikuungi mkono hata kidogo kwenye hili,mwenzako akianguka sio unampa farewell,, haiwezekani,hiyo ni type ya mtu unaemjali akiwa na kitu au ukiwa unabenefit kitu kwake,,, Kwenye maisha Kuna seasons,kiangazi,masika,kipupwe na vuli....Huwa namwambiaga kila siku,unapitia Haya purposely Mungu anataka akuonyeshe true colors ya watu wako wa Karibu,na kaziona....Mapenzi na Imani aliyomwamini mume wake ndio imemfikisha hapo,amekata mtaji,na kabaki na deni kubwa benki
 
Hapana,sikuungi mkono hata kidogo kwenye hili,mwenzako akianguka sio unampa farewell,, haiwezekani,hiyo ni type ya mtu unaemjali akiwa na kitu au ukiwa unabenefit kitu kwake,,, Kwenye maisha Kuna seasons,kiangazi,masika,kipupwe na vuli....Huwa namwambiaga kila siku,unapitia Haya purposely Mungu anataka akuonyeshe true colors ya watu wako wa Karibu,na kaziona....Mapenzi na Imani aliyomwamini mume wake ndio imemfikisha hapo,amekata mtaji,na kabaki na deni kubwa benki
Hujanielewa hadi utakaponielewa.
Na sijamaanisha ulivyomaanisha.
 
Hapana,sikuungi mkono hata kidogo kwenye hili,mwenzako akianguka sio unampa farewell,, haiwezekani,hiyo ni type ya mtu unaemjali akiwa na kitu au ukiwa unabenefit kitu kwake,,, Kwenye maisha Kuna seasons,kiangazi,masika,kipupwe na vuli....Huwa namwambiaga kila siku,unapitia Haya purposely Mungu anataka akuonyeshe true colors ya watu wako wa Karibu,na kaziona....Mapenzi na Imani aliyomwamini mume wake ndio imemfikisha hapo,amekata mtaji,na kabaki na deni kubwa benki
Tofautisha kuambatana na kusaidia...ndipo utanielewa
 
Tofautisha kuambatana na kusaidia...ndipo utanielewa
Niko tofauti kidogo,Sina namna ya kumsaidia financially,ila siwezi kukosa kumpa faraja.... sometime tunahitaji watu wa kutuambia tu it's okay litapita hili.....simple tu hainicost chochote to be a good person
 
Niko tofauti kidogo,Sina namna ya kumsaidia financially,ila siwezi kukosa kumpa faraja.... sometime tunahitaji watu wa kutuambia tu it's okay litapita hili.....simple tu hainicost chochote to be a good person
Huko sio kuambatana...una safari ndefu kunielewa
 
Umesema ukweli kiongozi na ninakusapoti 100%.. sema usishangae wadada wengi humu wanakutolea povu , wengi ni njaa kali( elewa neno njaa kali)
Wadada tubadilike tutakosa watu wa maana kwa kuweka nao malengo kwa kuendekeza shida na mizinga ya kipuuzi puuzi..
Nipo hapa mawe na matusi ruksa[emoji41][emoji41]
Nimesha tubu kwanzia leo vizinga basi.
 
Tuko tofauti,Ina maana wewe ni type ya watu mnaotaka only team winners right? life Ina upside down nyingi sana, ,you never know kesho destiny Yako ikoje....Huwezi kuwa mjanja muda wote....be good haikupunguzii chochote
Nasema...unajisemea tu.
Zingatia neno...kuambatana acha mahubiri...kwanza sina team
 
Tuko tofauti,Ina maana wewe ni type ya watu mnaotaka only team winners right? life Ina upside down nyingi sana, ,you never know kesho destiny Yako ikoje....Huwezi kuwa mjanja muda wote....be good haikupunguzii chochote
UKiwa hujaelewa...usijibu utakosea, endelea hivyo hivyo kubwabwaja
 
Umesema ukweli kiongozi na ninakusapoti 100%.. sema usishangae wadada wengi humu wanakutolea povu , wengi ni njaa kali( elewa neno njaa kali)
Wadada tubadilike tutakosa watu wa maana kwa kuweka nao malengo kwa kuendekeza shida na mizinga ya kipuuzi puuzi..
Nipo hapa mawe na matusi ruksa😎😎
Dogo anakuwaga na akili sana
 
Back
Top Bottom